Kuna wanaume wema wengi
Waliotenda mema kwa wake zao
Zaidi ya Siti karibu na usukani.
Ila Sasa uzeeni wanakufa peke Yao
Wanakufa kihayawani
Wanadhalilishwa na Wake zao
Ambao kwao waliwaona tunu
Wapo wanaume waliowatweza Wazazi
Wakapapalikia Mke, Wakwe
Ila walipopata maswahibu wakabaki na
Wakwao.
Wapo wanaume walioona walio wekeza
Kubwa kwa watoto
Nao wakajisahau maendeleo yao
Nao mbunga likapita,
Wakajikuta wanyonge, wakiwa wakati Wana wao wakitumbua maisha.
Hawa silika hii ya wanawake kizazi hiki
Mwana akiwa mdogo ni wako
Utasikia Mtoto wako
Mimba yako
Baba naniiii
Hii silika ya Wanawake mtoto akikua
Anakuwa kashapandikiza sumu
Mtoto ni wake
Na jamii yake
Mabaya yako yatatangazwa
Hata ikiwa ni urongo
Usimwone Mkeo ni wa tofauti
Fuata haki
Na subiri
Asili iongee
Ila huna uhakika kama watakuwa nawe uzeeni kwako Wala huo upendo
Ila wazazi wako unajua washajitoa kwa mangapi?
N.B Wanaume tutakaa mbele
Kila mtu ana umuhimu wake
Ila mpe mzazi kile roho inapenda.
View attachment 2448457