Kati ya mdomo wa Wema na Hamisa upi umekaa vizuri kula Ndizi iliyoiva au kunyonya Pipi Kidungu?

Kati ya mdomo wa Wema na Hamisa upi umekaa vizuri kula Ndizi iliyoiva au kunyonya Pipi Kidungu?

Watu wa Mara ni zao kutumia miguvu mingi kuua sisimizi kuliko busara.
Huyu tumemzoea wala asikuharibie siku.
Kama ungemtukana ndio angekuona wewe mjanja

Wewe wala sikugusi ' Mtani ' na una haki zote za ' Kimila ' kunipiga Mimi ' madongo ' uyatakayo na nimekuruhusu pia ila siyo kwa hao ' Wapuuzi ' wa Makabila mengine ambapo wakijipendekeza tu huwa siwabakishi na nawapa tu ' dozi ' zao murua.
 
Wa wema mzuri

Hata Mimi naona Mkuu kwa nahisi Ndizi mdomoni mwake inaweza ikaingia nzima nzima na hata akitaka kuitema pia inaweza kutoka vivyo hivyo kwa Pipi Kidungu ( Lollipop ) ila hata Hamisa nae si haba Mkuu. Midomo yao inanichanganya mno halafu yote naipenda.
 
Hata Mimi naona Mkuu kwa nahisi Ndizi mdomoni mwake inaweza ikaingia nzima nzima na hata akitaka kuitema pia inaweza kutoka vivyo hivyo kwa Pipi Kidungu ( Lollipop ) ila hata Hamisa nae si haba Mkuu. Midomo yao inanichanganya mno halafu yote naipenda.
Mi kura kwa wema tu ana lips tamu sana za hamisa hapana
 
Hivi sasa nipo busy sana nabuni ' Tangazo ' la Biashara ambalo litarushwa katika Runinga / Mkadage ambalo linahusisha Ulaji wa Ndizi iliyoiva kwa afya bora na lingine linahusisha Unyonyaji wa Pipi Kidungu ( Lollipop ) ambapo natafuta Mwanamke ' maarufu ' na mwenye ' mvuto ' nchini ili aweze kuyacheza yote mawili.

Katika Uchunguzi wangu huwa navutiwa sana na midomo ya hawa Wanawake wawili ' maarufu ' nchini Wema Sepetu na Hamisa Mobeto hadi kuhisi kwamba nikiwashirikisha na hili ' dili ' langu basi ' nitatusua ' na Tangazo litabamba mno ila bado sijajua ni yupi anafaa zaidi ya mwenzake.

Je Wadau wangu wa JamiiForums mnadhani kati ya Wema Sepetu na Hamisa Mobeto ni nani ana mdomo mzuri wa Kula Ndizi iliyoiva na Kulamba Pipi Kidungu au Lollipop? Nitawashukuruni nyote kwa majibu yenu ambayo yatapelekea Mimi kufanya Kazi za Kimatangazo na mmoja wao hapo.

Nawasilisha.
Mtani umepagawa wewe si bure baada ya jana kukamatwa na mzee baba Yanga kileleni.
 
Mi kura kwa wema tu ana lips tamu sana za hamisa hapana

Ila kuna Mtu hapa kaniambia kuwa kwa Kula Ndizi mdomo wa Wema unafaa na anaweza ila kwa Kunyonya ipasavyo Pipi Kidungu yenye ' Kidungu ' cheusi na laini hawezi na kwamba Hamisa ndiyo mpango mzima. Yaani Mkuu huwezi amini hadi sasa nachanganyikiwa nifanye Kazi na nani kati ya Wawili hawa.
 
Ila kuna Mtu hapa kaniambia kuwa kwa Kula Ndizi mdomo wa Wema unafaa na anaweza ila kwa Kunyonya ipasavyo Pipi Kidungu yenye ' Kidungu ' cheusi na laini hawezi na kwamba Hamisa ndiyo mpango mzima. Yaani Mkuu huwezi amini hadi sasa nachanganyikiwa nifanye Kazi na nani kati ya Wawili hawa.
Heheheh basi chagua anaekufaa
 
Mtani umepagawa wewe si bure baada ya jana kukamatwa na mzee baba Yanga kileleni.

Yaani ukitaka tu uipandishe sasa hivi ' Mizimu ' yangu ya Kizanaki na Kitutsi Wewe nitajie Timu nisiyoipenda ya Yanga SC.
 
Wewe wala sikugusi ' Mtani ' na una haki zote za ' Kimila ' kunipiga Mimi ' madongo ' uyatakayo na nimekuruhusu pia ila siyo kwa hao ' Wapuuzi ' wa Makabila mengine ambapo wakijipendekeza tu huwa siwabakishi na nawapa tu ' dozi ' zao murua.
Hahaha umeniweza, kila nitakalo kwambia halitakua na nguvu kwani huwezi kupigana na ASIYEKUPIGA, nitaonekana mwonevu
 
Siku ukiondoka jf jua hakuna wa kuliziba hili pengo,,ubaki milele unanipaga raha sana

Akhsante na Shukran kwa hizi Sifa pamoja na Pongezi zako. Nilikuwa sijui kama nina huu umuhimu na mvuto. Ashukuriwe sana na mno Mwenyezi Mungu kwa kumfanya GENTAMYCINE awe hivi alivyo ila na Mimi nawashukuru kupita maelezo Waanzilshi wote wa huu Mtandao wangu pendwa na uliotukuka wa JamiiForums akina Maxence Melo Mtani wangu kabisa na Mike Mushi Shemeji yangu kabisa pasipo kuwasahau na Watendaji wengine wote Wakuu wa Kampuni nzima ya Jamii Media. Nawe pia Mama Sabrina ubarikiwe na Maulana na usiache kuwepo humu Jamvini ili uzidi kuburudika, kujifunza na kuelimika pia.

Ila kaa tu ukijua kwamba Sifa na Pongezi zako hizi ulizonipa kuna Watu utakuwa umewaumiza mno kwani furaha yao Kwao ni kuona nasemwa kwa mabaya humu au kuchukiwa. Ila pia andaa na majibu ya kumpa Shunie kwani ana Wivu sijapata kuona na amehangaika sana Makanisani hadi Milingotini kwa Waganga kunipata Mimi sasa leo tena akiona Mama la Mama unapata mvuto wa namna hii Kwangu ' atakinukisha ' muda wowote humu.
 
Back
Top Bottom