GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #21
Mkuu, umefanya tathmini ukabaini hilo?Kulikoni, mbona nyuz za makaburu zimekua nyng sn wiki hi?
Mkuu umeukimbia uzi wakoMkuu dhambi ya makaburu ilikua ubaguzi tu...
Hata Zanu PF wameharibu Zimbabwe
Nipo ughaibuni mkuu sijatulia hukuMkuu umeukimbia uzi wako
Mtani kwahiyo unatusimanga wakati tunaijenga nchiCCM imeharibu Tanzania
Maweee πMtani kwahiyo unatusimanga wakati tunaijenga nchi
π€£π€£π€£Mkuu umeukimbia uzi wako
πCCM imeharibu Tanzania
Basi mkuu! Imetosha sasa!Angalia UK ,alivyo ijenga DSM, vizuri Tu jiji aliliweka vizuri.
Tulivyo pata Uhuru, ukawa ni Uhuru wa manyani.
Kila kitu shaghabaghala.
Huwezi kuungoza nchi alafu uwachie citizens wafanye wanavyoweza bila muungozo wa serikali na kusimamia kiamilifu
Hiyo ni failed State,
πWaafrika wanaoenda sana Sherehe na ngoma, wakishakula wakashiba maisha yao yameisha
Badala ya kuwaza kuwang'oa ccm waliokufanya uwe maskini unashadadia mambo ya South AfricaKura yangu ingeenda kwa Mkaburu kwa sababu zifuatazo:
1. Uongozi wao ndiyo uliyoiwezesha Afrika Kusini kuwa miongoni mwa nchi zilizoendelea duniani
2. Makaburu wanaonekana ni wachapa kazi tofauti na "Wazulu" wanaoonekana ni wavivu na wapenda starehe
3. Tokea "Wazulu" washike hatamu, inaonekana kama kasi ya maendeleo ya Afrika Kusini imepungua
4. "Wazulu" wameshindwa kutokomeza uhalifu
5. "Wazulu" hawawapendi Waafrika wenzao
Kura yako ingeenda wapi na kwa nini?
Mkuu, itakuwa vizuri kama na wewe utaupandisha uzi unaouona unafaa ili uchangiwe na wadau. Mimi nimeupandisha huu kwa kuwa nimejiridhisha kwa kadiri ya uelewa wangu kuwa ni uzi sahihi kwa watu sahihi kwa wakati sahihi mahali sahihi.Badala ya kuwaza kuwang'oa ccm waliokufanya uwe maskini unashadadia mambo ya South Africa
πMtani kwahiyo unatusimanga wakati tunaijenga nchi
"South Africa is the product of Boers, and Boers is the product of South Africa."Kura yangu ingeenda kwa Mkaburu kwa sababu zifuatazo:
1. Uongozi wao ndiyo uliyoiwezesha Afrika Kusini kuwa miongoni mwa nchi zilizoendelea duniani
2. Makaburu wanaonekana ni wachapa kazi tofauti na "Wazulu" wanaoonekana ni wavivu na wapenda starehe
3. Tokea "Wazulu" washike hatamu, inaonekana kama kasi ya maendeleo ya Afrika Kusini imepungua
4. "Wazulu" wameshindwa kutokomeza uhalifu
5. "Wazulu" hawawapendi Waafrika wenzao
Kura yako ingeenda wapi na kwa nini?
Boers just practiced the POSITIVE DISCRIMINATION for the betterment of South Africa.Mkuu dhambi ya makaburu ilikua ubaguzi tu...
Hata Zanu PF wameharibu Zimbabwe
TrueBoers just practiced the POSITIVE DISCRIMINATION for the betterment of South Africa.
"Tuliwakataa, tuliwatenga na kuwaengua kabisa watu weusi katika mchakato wa maedeleo ya nchi na Ujenzi wake kwa sababu hawana akili nzuri, endapo kama tungewajumuisha basi wangetuharibia mambo yetu mazuri yaliyopo Afrika ya Kusini leo hii."
Pueter W. Botha, aliyekuwa Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini enzi za ubaguzi wa rangi.
β β β ππ¨Mkaburu