Kati ya Mkulima na CCM nani anastahili ruzuku?

Kati ya Mkulima na CCM nani anastahili ruzuku?

demolisher

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
37
Reaction score
100
Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi, kumekuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa. CCM imekuwa ikichukua lion's share. Hapohapo mkulima wa Tanzania anayezalisha chakula hapati ruzuku ya pembejeo. Kati ya mkulima na vyama vya siasa nani anastahili ruzuku?
 
Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi, kumekuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa. CCM imekuwa ikichukua lion's share. Hapohapo mkulima wa Tanzania anayezalisha chakula hapati ruzuku ya pembejeo. Kati ya mkulima na vyama vya siasa nani anastahili ruzuku?
Kilimo ni siasa..

Tumegeuza siasa ndio ajira muhimu kuliko zote nchini ndio maana wanajipa ruzuku kubwa kuliko sekta muhimu kama Kilimo.
 
Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi, kumekuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa. CCM imekuwa ikichukua lion's share. Hapohapo mkulima wa Tanzania anayezalisha chakula hapati ruzuku ya pembejeo. Kati ya mkulima na vyama vya siasa nani anastahili ruzuku?
Mkulima ndiyo anastahili ruzuku.Sijuwi kwanini sekta muhimu kana hii wanaiwekea bajeti ndogo.
 
Kuna vitu vingi ukivifikiria unashindwa kuelewa hao watu walikuwa wanawaza nini.
 
CCM ni chama cha Wakulima na Wafanyakazi na Jembe huwakilisha Wakulima na Nyundo Wafanyakazi

Ruzuku kwa CCM ni ruzuku kwa Wakulima na Wafanyakazi
Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi, kumekuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa. CCM imekuwa ikichukua lion's share. Hapohapo mkulima wa Tanzania anayezalisha chakula hapati ruzuku ya pembejeo. Kati ya mkulima na vyama vya siasa nani anastahili ruzuku?
 
Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi, kumekuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa. CCM imekuwa ikichukua lion's share. Hapohapo mkulima wa Tanzania anayezalisha chakula hapati ruzuku ya pembejeo. Kati ya mkulima na vyama vya siasa nani anastahili ruzuku?

Katibu Mkuu wa CCM kuna swali la kujibu hapa mshirikishe na Samia mpate jibu sahihi :​

Kati ya Mkulima na CCM nani anastahili ruzuku?​

 
kwenye Bajeti hii Pembejeo za Korosho, Alizeti na Michikichi ni bure kabisa kwa Wakulima wa nchi nzima hii ikimaanisha ni ruzuku kwa Wakulima
Wakulima wataendelea Kuteswa Miaka yote na CCM CCM haina Huruma na Wakulima kwani MATESO na SHIDA za Wakulima ndio MTAJI wa CCM KISIASA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mkulima ndiyo anastahili ruzuku.Sijuwi kwanini sekta muhimu kana hii wanaiwekea bajeti ndogo.
CCM ndiyo anasitahili kupata Ruzuku,sababu anatumia akili Rushwa wakati wa u haguzi na ulaghai,

Mkulima hasitahili kupata Ruzuku kwa sababu,anatumia nguvu zake mwenyewe ukiwemo ujinga!
 
ccm inatambua watz walivyo mazuzu hivyo wanatengeneza matatizo halafu wanajifanya wanayatatua then mazuzu yanashangilia tena. Hadi tutakapoamka na kujitambua, acha wale.
 
Back
Top Bottom