Kati ya Mungu na binadamu, je ni nani ampe mwenzake pesa?

Kati ya Mungu na binadamu, je ni nani ampe mwenzake pesa?

Dhahabu, mali na fedha vyote ni mali ya Mungu, na labda nyongeza ni kuwa, Mungu alifanya njia ya kupata baraka na laana kwa njia ya matendo binafsi ya mtu, kwamba ukitenda wema kwa watu wakakutamkia ya kheri, baraka I juu yako! Ukiwaudhi watu na wakakutamkia ubaya, mabalaa yanakuandama! Yaani hata ukiamini na ukawatendea vema watumishi na wakakutamkia ya kheri kwa dhati, utabarikiwa!
Yote ya yote,toa kwa moyo upokee baraka!
 
Walishachuma vya kutosha, inatakiwa watupe pesa ili tujiunge na imani zao, sio sisi kutoa pesa.
 
Amejitosheleza wala haitaji cjchote kutoka kwetu na akisema hvo umtolee ni ktk kukujaribu kama utafanya analotakaa. Na kwa imani yangu kumtolea huko ni ktk watu nao kufurahia mfno kwa kuwapa masikini, fukara yatima nk
Maelezo yako yanamashaka mashaka
 
Dhahabu, mali na fedha vyote ni mali ya Mungu, na labda nyongeza ni kuwa, Mungu alifanya njia ya kupata baraka na laana kwa njia ya matendo binafsi ya mtu, kwamba ukitenda wema kwa watu wakakutamkia ya kheri, baraka I juu yako! Ukiwaudhi watu na wakakutamkia ubaya, mabalaa yanakuandama! Yaani hata ukiamini na ukawatendea vema watumishi na wakakutamkia ya kheri kwa dhati, utabarikiwa!
Yote ya yote,toa kwa moyo upokee baraka!
Kwamba tumpe pesa mungu
 
Tunamtolea Mungu pesa mnanunua helkopta

Mnatuambia tumpe buku tutapaþa buku mbili mbinguni
 
Hii mada tamu sana aiseee ntarudi comment zikisha kuwa nyingi
 
Wapo bize kueneza injili nani atawalisha.
Hivi mfano Padri akatafute vibarua Ili ale au ashinde njaa atafanyaje Kazi ya Mungu.Wao awatakiwi kufanya Kazi nje ya kueneza neno la Mungu muda wao wote yafaa wautumie kuponya roho za watu.
Basi wawe wazi kuwa tuwape wao sadaka sio kumpa Mungu,wanamsingizia Mungu bure,
 
yeye hupuma pumzi na nguvu za kutafuta hiyo hela, yeye hukupa urahisi wa kuipata hiyo hela ukitenda vyema, yeye hukupima imani yako na uaminifu wako kwake kwa kukutaka utoe sadaka dhidi ya wale watesekao baada ya yeye kukubariki, ni kipimo tu cha imani yako...mwisho siku hizo fedha haziendi kwake bali husaidia ndugu na jamaa zako duniani hapa na kujenga sehemu nzuri za ibada...
 
Hapo ndipo mnapopigwa. Yeye anasindwaje kuwalisha hao watenda kazi wake mpaka watuombe sadaka kupitia jina lake na vitisho vingi?
Dawa ni kutoa sadaka ile tu inayokuhusu. Mambo ya mtaa A mtaa B, fungu la kumi, shukrani ya wiki, ebenezer, sadaka ya sakrament, ahadi nakadhalika na kadhalika waachie wenyewe.
====
Lakini mleta mada ashauriwe abadilishe chanzo cha kijiti akitumiacho...! Kijiti hiki ni hatari sana kwa afya ya ubongo.
 
kwahiyo nawewe unachoelewa zile pesa anapelekewa Mungu[emoji28][emoji28][emoji28].

dah.
 
Kati ya Mungu na binadamu ni yupi ampe mwenzake pesa?

Lama ni Mungu ndio anatakiwa ampe binadamu pesa! Kwanini mnatuambia tumtolee Mungu pesa?
Hizi ni formula za kidunia, dunia inaendeshwa na wajanja wachache ni ngumu sana kuishi nje ya formula yao.

Wewe jiulize tu viwanda vya pesa vipo kwa nini tunapata shida? Si wachapishe tugawane tu maisha yawe rahisi?

Ukifikiri vizuri basi wewe hii dunia ombea tu isimame wewe ushuke.
 
Basi wawe wazi kuwa tuwape wao sadaka sio kumpa Mungu,wanamsingizia Mungu bure,
Maandiko ndo usema hivyo na Mkristo yeyeto anajua hayo.
Sadaka ni shukrani kwa Mungu baada ya kukujalia mema
 
Kati ya Mungu na binadamu ni yupi ampe mwenzake pesa?

Lama ni Mungu ndio anatakiwa ampe binadamu pesa! Kwanini mnatuambia tumtolee Mungu pesa?
Kuna sadaka ya kujimaliza yaani unatoa yote uliyonayo, wadada wengi wanakosa nauli ya kurudi nyumbani.
 
Back
Top Bottom