Anawajaribu ajue ni yupi ktk hao wanadamu ni mwenye kufanya yale aliyoamrisha na kuacha aliyokataza na hapa ndipo watakapo patikana wa peponi na wa motoni baada ya kutizamwa matendo yetu mmoja mmoja yapi yatazidi mengine kati ya mema na mabaya.
Kwa nn mwalimu anakupa mtihani ikiwa amefundisha na ana hakika mlimuelewa vema?