Hilo gari Mkuu acha tu,manufacturer kakomesha mbaya,ukija kwenye VOGUE kisu,SPORT ndio usintanie kabisa,ndio maana hata masuperstar mbele wanapush mandinga haya, na brand zingine kama HUMMER,LAMBOGRIN,BUGGATI,etc,huwakuti wakipush mi-land cruiser aisee
Unafanya vizuri mdau kula uhondo tu, baadhi yao badala ya kula uhondo walianza kuwatukana wengine..Mimi sina hata baiskeli, ila nimeganda kwenye huu uzi nakula nondo.
Unafanya vizuri mdau kula uhondo tu, baadhi yao badala ya kula uhondo walianza kuwatukana wengine..
Hilo gari ni la kikazi zaidi, hata A/C nyuma haifiki bhana.Gari ngumu na imara ni hii, landcruiser 1hzj78r/79r mengine yote magumashi.
mkuu me sidhani...nissan anajitahidi ila toyota kamzidi.. nissan ambayo imetisha so far ni nissan gtr35 ila cheki vitu ka toyota ft1 design ni hatari
Hilo gari ni la kikazi zaidi, hata A/C nyuma haifiki bhana.
Hilo gari Mkuu acha tu,manufacturer kakomesha mbaya,ukija kwenye VOGUE kisu,SPORT ndio usintanie kabisa,ndio maana hata masuperstar mbele wanapush mandinga haya, na brand zingine kama HUMMER,LAMBOGRIN,BUGGATI,etc,huwakuti wakipush mi-land cruiser aisee
Mambo si haya sasa yanafunguka hebu weka adress mkuu kuna watu hizi mambo ndio zinawapa raha . . . .
wakuu...itapendeza sana kama mtu akishamaliza kuisifia gari anayoiamini amalizie pointi zake kwa kuelezea uhusiano alionao na gari husika...mfano...sifia gari hiyo gari weeee mwisho sema...mimi ninayo range rover ya kwangu....mwingine aseme....vx v8 kiboko bana..mimi ni dereva wa mheshimiwa flani....mwingine aseme...nakuambia hakuna kama nissan patrol...mimi ni fundi gereji wa dt dobie.... maana kuna wengine wanasifia vitu kwa kuviona rodini kama mimi! sawa jamani?haya twende kazini sasa:smile-big::smile-big::smile-big:
Your opinion, sure!!that thing is DAMN UGLY[my opinion].....haina chochote kizuri,big engine lakini very slow ukifananisha na SUV nyingine, bad handling like a tank! in short kama hujui gari ndio utanunua HUMMER!!!!!
Your opinion, sure!!
The secret behind kutumika jeshini ni ugumu au endurance??!!
Sawa, mwingineeeee....Ha ha hahaaaa umeua . . . . .mie dereva bana kutoa bandarini mpaka nchi zisizo na bandari. . . . Manailoni ya kwenye viti yananifahamu kwa jina
Sawa, mwingineeeee....
Mkuu umenifurahisha sana umekuwa muwazi.Kwa hiyo mkuu the fact kiwa hatuna ndio mna quantify nini wenzetu??!!!
Sawa, mwingineeeee....