Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Hizi ni kutokana na kwao magharibi huko, Afrika off-road ni tofauti na huko. Peleka gari hizo huko Namtumbo, kisha uone kama kwenye off-road ziko kamili gado!
Range Rover ni the best SUV in the world, ila kiafrika afrika na mazingira yetu, Land Cruiser VX ni the beast na the best!

Off-road ni off-road tu kaka
 
Magari haya yote ni over-engineered kwa nchi kama Tanzania. Ni ghali na pia hayafai kwa serious offroading. Pichani ni model ya Land Cruiser ambayo hukuhofia kwenda nayo kijijini na kupita pasipo barabara. Jaribu kufanya hivi na VX V8. Ukipasua bumper la plastiki itakugharimu milioni kadhaa kulirudishia (kama gari ni lako).

whitebull80A.jpg
 
Magari haya yote ni over-engineered kwa nchi kama Tanzania. Ni ghali na pia hayafai kwa serious offroading. Pichani ni model ya Land Cruiser ambayo hukuhofia kwenda nayo kijijini na kupita pasipo barabara. Jaribu kufanya hivi na VX V8. Ukipasua bumper la plastiki itakugharimu milioni kadhaa kulirudishia (kama gari ni lako).

whitebull80A.jpg
kaka wewe usiangalie bumper,angalia uwezo wa gari
 
Magari haya yote ni over-engineered kwa nchi kama Tanzania. Ni ghali na pia hayafai kwa serious offroading. Pichani ni model ya Land Cruiser ambayo hukuhofia kwenda nayo kijijini na kupita pasipo barabara. Jaribu kufanya hivi na VX V8. Ukipasua bumper la plastiki itakugharimu milioni kadhaa kulirudishia (kama gari ni lako).

whitebull80A.jpg

mkuu wewe unanunua gari ili kupita sehemu kama hio???

cc: OLESAIDIMU MANI Bulldog
 
Last edited by a moderator:
Sijatumia Range ila Nissan na Vx nimeendesha. . . . . .VX iachwe iitwe VX!!!
Power, Grip, Take off yake pia ni hatari, braking system ni poa sana na inashika haswaa na haiyumbi upon braking, milimani ni kama uko tambarare. . . . .Ingawa kwa Nissan wana toleo la 4.5 petrol nayo si haba kwa mpambano wa speed!!!

My money on VX

Mkuu twende kote ila hapo kwenye RANGE ROVER lazima ukae na utulie kabisa mkuu, kuanzia , comfortability, Horce power, taking off, ni habari nyingine mkuu.
 
aisee....asante kwa elimu.

The Jaguar Cars and Land Rover businesses were first united under a single entity by Ford Motor Company in 2002.[SUP][6][/SUP] Ford had acquired Jaguar Cars in 1989 and Land Rover from BMW in 2000.[SUP][7][/SUP][SUP][8][/SUP]

In 2006 Ford purchased the Rover brand name and logos from BMW for around £6 million. This reunited the Rover and Land Rover brands for the first time since the Rover group was broken up by BMW in 2000, and also brought Jaguar into the same stable as Rover/Land Rover more than 15 years after it was spun out from the former British Leyland in 1984.

In 2008, the Jaguar Land Rover company was established when Tata Motors acquired the Jaguar and Land Rover businesses from Ford.[SUP][9][/SUP]

In March 2011, Jaguar Land Rover announced that it would be hiring an additional 1,500 staff at its Halewood plant, and signed over £2 billion of supply contracts with UK-based companies, to enable production of its new Range Rover Evoque model.[SUP][10][/SUP][SUP][11][/SUP] In September 2011, the company confirmed that it would be investing £355 million in the construction of a new engine plant at the i54 business park near Wolverhampton, central England, to manufacture a family of four-cylinder petrol and diesel engines.[SUP][12][/SUP][SUP][13][/SUP] In November 2011 Jaguar Land Rover announced that it would be creating 1,000 new jobs at its Solihull plant, a 25 per cent increase in the size of the workforce at the site.[SUP][14][/SUP][SUP][15][/SUP]
In March 2012, Jaguar Land Rover announced the creation of 1,000 new jobs at its Halewood plant, and a shift to 24-hour production at the plant.[SUP][16][/SUP][SUP][17][/SUP] In the same month, Jaguar Land Rover and the China-based carmaker Chery agreed to invest an initial US$2.78 billion in a new joint venture the activities of which will include the manufacture of Jaguar and Land Rover vehicles and engines, the establishment of a research and development facility, the creation of a new automobile marque, and sales of vehicles produced by the company.[SUP][18][/SUP][SUP][19][/SUP] Jaguar Land Rover plans to create 4,500 manufacturing and engineering jobs in the UK over the next five years.[SUP][20][/SUP]

ndugu bado unasema kuanzia 1994-2012 BMW ndio walikuwa wanatengeneza LR RR??? Kiwanda kiko Solihull,Midlands UK.

Jaguar Land Rover - Wikipedia, the free encyclopedia


Timeline


  • 1947: Rover's chief designer Maurice Wilks and his associates create a prototype using Jeep chassis and components[SUP][26][/SUP]
  • 1948: The first Land Rover was officially launched 30 April 1948, at the Amsterdam Motor Show
  • 1958: Series II launched
  • 1961: Series IIA began production
  • 1967: Rover becomes part of Leyland Motors Ltd, later British Leyland (BL) as Rover Triumph
  • 1970: Introduction of the Range Rover
  • 1971: Series III launched
  • 1974: Land Rover abandons US market, facing competitive pressure from Japanese 4x4 brands [SUP][27][/SUP]
  • 1975: BL collapses and is nationalised, publication of the Ryder Report recommends that Land Rover be split from Rover and be treated as a separate company within BL and becomes part of the new commercial vehicle division called the Land Rover Leyland Group
  • 1976: One-millionth Land Rover leaves the production line
  • 1978: Land Rover Limited formed as a separate subsidiary of British Leyland[SUP][28][/SUP]
  • 1980: Rover car production ends at Solihull with the transfer of SD1 production to Cowley, Oxford; Solihull is now exclusively for Land Rover manufacture. 5-door Range Rover introduced.
  • 1983: Land Rover 90 (Ninety)/110 (One-Ten)/127 (renamed Defender in 1990) introduced
  • 1986: BL plc becomes Rover Group plc; Project Llama started
  • 1987: Range Rover is finally introduced to the US market, following many years of demand being filled by grey market sales [SUP][29][/SUP] [SUP][30][/SUP]
  • 1988: Rover Group is privatised and becomes part of British Aerospace, and is now known simply as Rover
  • 1989: Introduction of Discovery
  • 1994: Rover Group is taken over by BMW. Introduction of second-generation Range Rover. (The original Range Rover was continued under the name 'Range Rover Classic' until 1995)
  • 1997: Land Rover introduces the Special Edition Discovery XD with AA Yellow paint, subdued wheels, SD type roof racks, and a few other off-road upgrades directly from the factory. Produced only for the North American market, the Special Vehicles Division of Land Rover created only 250 of these bright yellow SUV's.
  • 1997: Introduction of Freelander
  • 1998: Introduction of second generation of Discovery
  • 2000: BMW breaks up the Rover Group and sells Land Rover to Ford for £1.8 billion[SUP][31][/SUP]
  • 2002: Introduction of third-generation Range Rover
  • 2004: Introduction of third-generation Discovery/LR3
  • 2005: Introduction of Range Rover Sport
  • 2005: Adoption of Jaguar AJ-V8 engine to replace the BMW M62 V8 in the Range Rover
  • 2005: Land Rover 'founder' Rover, collapses under the ownership of MG Rover Group
  • 2006: Announcement of a new 2.4-litre diesel engine, 6-speed gearbox, dash and forward-facing rear seats for Defender. Introduction of second generation of Freelander (Freelander 2). Ford acquires the Rover trademark from BMW, who previously licensed its use to MG Rover Group
  • 8 May 2007: 4,000,000th Land Rover rolls off the production line, a Discovery 3 (LR3), donated to The Born Free Foundation
  • 12 June 2007: Announcement from the Ford Motor Company that it plans to sell Land Rover and also Jaguar Cars
  • August 2007: Tata Motors and Mahindra and Mahindra as well as financial sponsors Cerberus Capital Management, TPG Capital and Apollo Global Management expressed their interest in purchasing Jaguar Cars and Land Rover from the Ford Motor Company.[SUP][32][/SUP]
  • 26 March 2008: Ford agreed to sell their Jaguar Land Rover operations to Tata Motors.[SUP][7][/SUP]
  • 2 June 2008: Tata Motors finalised their purchase of Jaguar and Land Rover from Ford.[SUP][9][/SUP]
  • 2010: Introduction of fourth-generation Discovery/LR4
  • 2011: The Range Rover Evoque introduced
  • 2012: Fourth-generation Range Rover was exhibited at the 2012 Paris Motor Show
  • 2014: The New Discovery Range exhibited at the 2014 New York Motor show[SUP][33][/SUP]
[SUP]
Land Rover - Wikipedia, the free encyclopedia
[/SUP]

Umekopi bitu vingi sana lkn inaelekea haujaelewa point yangu! Nilichosema ni kwamba Range Rover second and third generation

View attachment 228979View attachment 228980

Zilikuwa Developed na BMW kuanzia design mpaka engine hivyo Ford walinunua tu Jina la Range Rover lakni Ford kama Ford hawakutengeneza Range Rover yoyote kati ya Second and third Generation, ni kama vile tu TATA wao wamenunua Hisa lkn siyo kwamba Engine ya Range Rover inatengenezwa na TATA!

Na ndiyo maana hizo range mbili hapo juu zina share engine moja na BMW X5 pmj luxury za BMW 7 Series!


Range Rover (L322) - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Umekopi bitu vingi sana lkn inaelekea haujaelewa point yangu! Nilichosema ni kwamba Range Rover second and third generation

View attachment 228979View attachment 228980

Zilikuwa Developed na BMW kuanzia design mpaka engine hivyo Ford walinunua tu Jina la Range Rover lakni Ford kama Ford hawakutengeneza Range Rover yoyote kati ya Second and third Generation, ni kama vile tu TATA wao wamenunua Hisa lkn siyo kwamba Engine ya Range Rover inatengenezwa na TATA!

Na ndiyo maana hizo range mbili hapo juu zina share engine moja na BMW X5 pmj luxury za BMW 7 Series!


Range Rover (L322) - Wikipedia, the free encyclopedia

ha ha naona unakwepa kivuli chako......haya mkuu jioni njema.
 
U.S. News Best Cars, sasa tuwekee na All terrain/Africa New Best Cars

terrain ya africa ipi?? wamiliki wa rr na landcruiser vx v8 wengi wanaishi mjini na wanatumia hayo magari muda mwingi hapa hapa/humu humu mjini sasa mimi huwa sioni hio sehemu ambayo land cruiser v8 itapita lakini rr isipite,kifupi hakuna!

hii habari ya vx ni gari ngumu ya porini ni kasumba tu wamiliki wengi wa hayo magari tunawaona mijini ndio maana siku hizi zinawekwa kila kitu ambacho utakikuta kwenye luxury executive saloon.
 
Alafu elewa kitu kimoja izo turbocharger,supercharger na twinturbo unawezakufunga hata kwenye corola au starlet coz siku izi kuna turbocharger,supercharger na twintubo for normal cars,mm nawajua washikaj fulan wanafunga turbo tofaut hapa bongo kwa bei nzur, kama unagari wapelekee wambie wakuwekee supercharger utafulai jinsi kitu kitakavyo chomoka

Really Mdau are u serius unaeza kufunga turbo kwny conventional engine iliotolewa na manufacturer. an jinsi unavyochanganya izi technical terms inaelekea elimu ulionayo ya magari ni ya mtaani sio technician. an kama suala langu la kwanza nilipokuask maana ya twin turbo. twin maana yake 2 so apo inamaanisha kuna turbo 2 ambazo zimefungwa kwa each exhaust manifold katika gari ambayo ina V-ENgine thus why inaitwa twin turbo kama ilivyo watoto mapacha(twin kids). an apa kwny hii text are u sure corolla unaeza ukafunga twin turbo au Supercharge. Ni vizuri ukitaka kuwa mtaalam wa kitu jitahid kusoma na kudadisi kwa undani elimu ya mtaani na kijiweni apa BONGO most of time ni Uzushi mwingi. Use google vizuri na ushinde gereji kma mafund u ll get priceless education abt cars
 
mimi huwa naona mmiliki gari anayeendeshwa kama waheshimiwa wanajua zaidi bei za magari na spea,dereva anajua utendaji kazi wa gari,fundi anajua zaidi mambo ya kiufundi ya gari...umeona umuhimu wa kujua uhusiano wa mleta posti na gari analosifia????
Mkuu tunatumia majina magumashi hapa ntashangaa sana kama unatarajia mtu akuwekee hayo unayotaka after all uzi ni technical zaid kuliko nani anamiliki nini we mkuu kama unataka kweli kujua who owns what, since when and how was it acquired mahala sahihi ni TRA labda sio JF!

Kama mie nimekuambia ni dereva hili jibu validity na reliability yake we una hakiki vipi??!!
Mi nadhani tumuachie mwenye uzi wake na wengine sie wapenda motors tujadili haya makitu!!!

Kama kuna umuhimu wa correlation between knowing and owning basi tuanzishe uzi wake tujimwaye huko ila hapa ni kama gari ya diesel kuijaza petrol!!!
 
Mkuu twende kote ila hapo kwenye RANGE ROVER lazima ukae na utulie kabisa mkuu, kuanzia , comfortability, Horce power, taking off, ni habari nyingine mkuu.

Hilo wala sijabisha ila i said clearly mimi range sijatumia hata km 10 tu na nilitoa hiyo comment kwa experience yangu tu. Nimeona nyingi sana tu za watu wa mbali na wa karibu features nyingi tu za kuvutia sana ukisoma ina mambo mengi tu including carl zeis featured lens kwa taa zake. . . .
. So technology imo sana tu. Rover type nimetumia sana 200tdi naijua vizuri ambayo ni mbali mno kwa RR lakini naweza project kuanzia hapo ila sikutaka kuwa muongo mkuu.

Najua ina sifa zake na heshima pia ila mimi siijui kaka mkubwa! !!!
 
terrain ya africa ipi?? wamiliki wa rr na landcruiser vx v8 wengi wanaishi mjini na wanatumia hayo magari muda mwingi hapa hapa/humu humu mjini sasa mimi huwa sioni hio sehemu ambayo land cruiser v8 itapita lakini rr isipite,kifupi hakuna!

hii habari ya vx ni gari ngumu ya porini ni kasumba tu wamiliki wengi wa hayo magari tunawaona mijini ndio maana siku hizi zinawekwa kila kitu ambacho utakikuta kwenye luxury executive saloon.

Mkuu hebu nijuze kitu kaka, hivi kuna organization inaingiza gari machakani kuliko serikali???!!!
Why wanatumia sana Vx kuliko range hata kwa mawaziri japo??!!!
Kwa uelewa wangu mfupi Discovery 3&4 zina tuzo za off road sikumbuki tittle yake ila RR sijawahi sikia imeshinda hiyo maneno na Rover kama niko sahihi wanaitumia hiyo Discovery kutangaza durability ya hizo gari why not RR??!!
Unless "the best" iwe blind on context. . . . . Lakini kama ni context sensitive basi best yaweza kuwa Discovery . I stand to be enlightened
 
Kuna kitu Cadillac Escalade. Siijui sana kuhusu specifications zake lakini kwa muonekano dude la mmarekani linatisha kuliko V8 na RR
 
Off-road ni off-road tu kaka

Mkuu ukiambiwa off road ni off road kataa asee ndio maana kuna accessories za gari kwa ajili ya off road "ngumu" hizo zinazoitwa gari kwa ajili ya off raod mathalan Hilux new model 2.5G (??!!) kuna ambazo ukiitia kwenye tope radiator inajaa tooe vibaya kabisa inaweza hata kuchemsha. . . . . Ila kwenye vumbi na lami safi tu. . . . .Kuna off road zina ditches bonet inabaki pua tu ndio maana kuna "mkonga" unawekwa claener inapumulia usawa wa roof, gari inawekwa remote controlled winch kama itakalia diff. . . . .Off raod sio general term mkuu wangu ziko off road dume na jike nadhani
 
Really Mdau are u serius unaeza kufunga turbo kwny conventional engine iliotolewa na manufacturer. an jinsi unavyochanganya izi technical terms inaelekea elimu ulionayo ya magari ni ya mtaani sio technician. an kama suala langu la kwanza nilipokuask maana ya twin turbo. twin maana yake 2 so apo inamaanisha kuna turbo 2 ambazo zimefungwa kwa each exhaust manifold katika gari ambayo ina V-ENgine thus why inaitwa twin turbo kama ilivyo watoto mapacha(twin kids). an apa kwny hii text are u sure corolla unaeza ukafunga twin turbo au Supercharge. Ni vizuri ukitaka kuwa mtaalam wa kitu jitahid kusoma na kudadisi kwa undani elimu ya mtaani na kijiweni apa BONGO most of time ni Uzushi mwingi. Use google vizuri na ushinde gereji kma mafund u ll get priceless education abt cars

Google sasa uone corolla inaturbocharger ziko nyingi sana usifikili corolla inaengine moja! Kuna engine tofauti za corolla zinazosupport turbo system,ningekutajia hapa bt unaweza google hukaona alafu! Usipendeku underestiment watu kijana,tulia ule shule vizur,watafute hawa jamaa waitwa gear tech performance wapo kijitonyama wafungua turbo kwny magar so wapelekee gar watakwambia ni engine gan inaweza wekwa au kwmy iyo corolla na hukawekewa turbo
 
Back
Top Bottom