djnehe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 677
- 211
Hilo gari Mkuu acha tu,manufacturer kakomesha mbaya,ukija kwenye VOGUE kisu,SPORT ndio usintanie kabisa,ndio maana hata masuperstar mbele wanapush mandinga haya, na brand zingine kama HUMMER,LAMBOGRIN,BUGGATI,etc,huwakuti wakipush mi-land cruiser aisee
Hata Arabic nation zenye nguvu kifedha ni wachache sana wanatumia m-land cruiser all most wanatumia kama range rover,buggati,Ferrari etc