Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Range Rover inaongoza ikifuatiwa na Land Cruiser VX V8 ya petrol. Nissan Patrol ni cha mtoto kwa hizo nyingine. Tatizo kubwa la Nissan Patrol ni kupoteza nguvu wakati wa kupanda mlima. Kiboko ya Nissan ni milima, yaani mpaka utaihurumia, haiendi kabisa.

Tiba

Inaelekea unazifahamu sana
 
kwanini range rover haijabamba kisiasa????yaani haijakubalika kwa wanasiasa wengi bongo...huwa najiuliza sana

Ni gari ya kifahari sana kwa huku kwetu, ila kwa mfanyabiashara kumiliki Range Rover ni Superbly!

Hiyo VX black dah😛
 
Naona kimtindo wameiiga VX V8. Si unaona morphology yake? Toyota wanatisha kwa kubuni muonekano Wa GARI aisee...

Mkuu mbona Nissan ndio wanatisha kwenye kubuni gari kali? Sema tu sisi huku kwa sababu Toyota ndio zimejaa... Nissan ni habari nyingine
 
Aiseeee........umeweka magari magumuuu...........khaaaa.......

cc MANI..........
 
Last edited by a moderator:
Toyota Land Cruiser 79,000$ MSRP

Range Rover 90,000$ MSRP

Nissan Patrol New Model 120,000$ MSRP

Japo bei inaweza isiwe kigezo.

Mkuu hebu tujuze maana ya MSRP ili tuelewe.
Hata hivyo kwa kawaida Toyota LC200 ina bei kubwa kuliko Nissan Patrol.
Range Rover tatizo lake kubwa ni kuharibika kwa electrical/electronic systems zake, na hapa nchini wengi wamelizwa.
Baki njia kuu, baki magari ya Kijapani.
 
best suv kwa maana gani, practicality, performance, reliability au luxury? mtu yeyote anayeelewa atakwambia vx ni maneno tofauti kabisa, hizo zingine ni za kwendea sokoni tu!
 
Mkuu hebu tujuze maana ya MSRP ili tuelewe.
Hata hivyo kwa kawaida Toyota LC200 ina bei kubwa kuliko Nissan Patrol.
Range Rover tatizo lake kubwa ni kuharibika kwa electrical/electronic systems zake, na hapa nchini wengi wamelizwa.
Baki njia kuu, baki magari ya Kijapani.

kuwa specific, kwenye "electrical/electronic" huwa zina tatizo gani? wakina nani hao walolizwa? wamelizwa vipi?...au ndiyo kukariri?
 
Mkuu mbona Nissan ndio wanatisha kwenye kubuni gari kali? Sema tu sisi huku kwa sababu Toyota ndio zimejaa... Nissan ni habari nyingine

mkuu me sidhani...nissan anajitahidi ila toyota kamzidi.. nissan ambayo imetisha so far ni nissan gtr35 ila cheki vitu ka toyota ft1 design ni hatari
 
Back
Top Bottom