Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Me kwangu range man kwanza muungurumo wake huwa naupenda sana ni kukosa ela tu ila ninamahaba na hilo gari,
 
Mimi nadhani wanasiasa na watu wengi wa kawaida wengi wanapenda Gari za Mjapani sio kwamba ni bora sana kuliko za Mjerumani au mzungu mwingine yoyote bali ni kutokana na Urahisi wa upatikanaji Vipuri vyake.
Katika hilo magari mengi ya kizungu yanasumbua.
 
NGOJA nijiandae nikishinda ubunge na uwaziri nitaupata,nachukua NISSAN
 
Mi nikija okota hela Nissan wamenibamba sana angalia jiko hiloo !! 2014_nissan_armada_engine.jpg
 
Range pia ingehamishiwa katika kundi hili unalotaja maana tech ya Europe katika magari na hiyo ya Kijapan naona kama ligi mbili tofauti!!!!

Afadhali umesema RR iwekwe pembeni....that thing is out of this world! Naomba vijana waangalie TOP GEAR kwasababu nsjua kui experience hii kitu sio rahisi,RR is always 10yrs ahead of other SUV...BMW walinunua Land Rover purposely baada ya muda mfupi wakatoa X5 then LR ikarudi GB lakini Leo Hi X5 kashaachwa na RR ten years!
 
Mimi nadhani wanasiasa na watu wengi wa kawaida wengi wanapenda Gari za Mjapani sio kwamba ni bora sana kuliko za Mjerumani au mzungu mwingine yoyote kutokana na Urahisi wa upatikanaji Vipuri vyake.
Katika hilo magari mengi ya kizungu yanasumbua.

Hio ndio sababu kuu...UOGA utasikia dwanasema 'likiharibika inakuwaje'...
 
Nissan ni shughuli nyingine kwa offroad. Kinachoeashinda watu ni bei ns bei ya spare parts. Sijawahi kusikia nissan wameita magari yao kea sababu za kiufundi lkn vx zimerudishwa million na ushehe huko ulaya. Nissan ina confortability kubwa kuliko vx, mfano comfort ya old nissan ni zaidi ya hii vx mpya. Nimeshaendesha zote kasoro hii nissan mpya ambayo nayo wametumia wishbon kwenye susprnsion ya mbele tofauti na za zamani. Hivyo itakuwa imeongezwa comfort. Pia ukienda top gears utaona comment kuhusu nissan. Kuhusu mlima inategemea kama ina turbo au ni kavu, kavu haipandi ila turbo ni hatari na engine ni ndogo.
 
Afadhali umesema RR iwekwe pembeni....that thing is out of this world! Naomba vijana waangalie TOP GEAR kwasababu nsjua kui experience hii kitu sio rahisi,RR is always 10yrs ahead of other SUV...BMW walinunua Land Rover purposely baada ya muda mfupi wakatoa X5 then LR ikarudi GB lakini Leo Hi X5 kashaachwa na RR ten years!

Huyo monster kabisa!!!
 
Afadhali umesema RR iwekwe pembeni....that thing is out of this world! Naomba vijana waangalie TOP GEAR kwasababu nsjua kui experience hii kitu sio rahisi,RR is always 10yrs ahead of other SUV...BMW walinunua Land Rover purposely baada ya muda mfupi wakatoa X5 then LR ikarudi GB lakini Leo Hi X5 kashaachwa na RR ten years!

Umetumia vigezo gani kusema range rover inatechnology kubwa kuzidi SUV zingine duniani?
 
Toyota VX au V8 kwangu ndiyo gari za maana wajanja ndiyo watakao nielewa
 
Nissan ni shughuli nyingine kwa offroad. Kinachoeashinda watu ni bei ns bei ya spare parts. Sijawahi kusikia nissan wameita magari yao kea sababu za kiufundi lkn vx zimerudishwa million na ushehe huko ulaya. Nissan ina confortability kubwa kuliko vx, mfano comfort ya old nissan ni zaidi ya hii vx mpya. Nimeshaendesha zote kasoro hii nissan mpya ambayo nayo wametumia wishbon kwenye susprnsion ya mbele tofauti na za zamani. Hivyo itakuwa imeongezwa comfort. Pia ukienda top gears utaona comment kuhusu nissan. Kuhusu mlima inategemea kama ina turbo au ni kavu, kavu haipandi ila turbo ni hatari na engine ni ndogo.
Old Nissan ipi ni kali kuliko VX kaka. . . . . .sijatumia latest model ya Nissan ila zilizopo zinakaa kwa VX 100. . . . .The last model kabla Kilimo kwanza!!

Kwa Nissan speed ipo kwa petrol ya 4.5 lile ndio jini kwa wese na speed hapo utakaa!!
 
Kuna vitu tutapenda rohoni tu kuvimiliki ni ndoto hata ukipata kwa magumashi matunzo yake yatakushinda.lkn. Mpaka upambaanishe haya ni dhahiri upo top level ya kiwango hiki,

Kuna siku alikuja fundi kuomba msaada wa jinsi ya kufungua engine ya nissani,nilimuona huyo boss ndio kilaza unapeleka mtaani kwa watu ambao sio level yao kimatengenezo.
 
Back
Top Bottom