Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Kuna vitu tutapenda rohoni tu kuvimiliki ni ndoto hata ukipata kwa magumashi matunzo yake yatakushinda.lkn. Mpaka upambaanishe haya ni dhahiri upo top level ya kiwango hiki,

Kuna siku alikuja fundi kuomba msaada wa jinsi ya kufungua engine ya nissani,nilimuona huyo boss ndio kilaza unapeleka mtaani kwa watu ambao sio level yao kimatengenezo.

Wengine madereva sie, tunapiga vyuma vipya kuliko matajiri unaowadhania!!!!
Kazi yetu inatufanya tuwe na uzoefu, sana hatupo kiwango hicho ila tunajua.
 
Katika mchuano huo ukiingiza Range Rover umeharibu, kwenye boxing ni sawa na kumpambanisha Matumla Snakeman na Iron Mike Tyson enzi hizo, sio fait! Range Rover is way ahead of the pack katika SUV's.
 
Hii kitu ata wheels zinakubar balaa
 

Attachments

  • 1424543814790.jpg
    1424543814790.jpg
    75.3 KB · Views: 475
picha ulizo ziweka ma price haziendani ila kimsingi land cruse ni gari bora sn kuanzia kui run mpaka spare parts zake ni cheep compared na hizo nyingine
 
picha ulizo ziweka ma price haziendani ila kimsingi land cruse ni gari bora sn kuanzia kui run mpaka spare parts zake ni cheep compared na hizo nyingine

Hizo bei nimezitoa kwenye mtandao wa kampuni
 
Naona kimtindo wameiiga VX V8. Si unaona morphology yake? Toyota wanatisha kwa kubuni muonekano Wa GARI aisee...

Mmmh mimi huwa naona hiyo Nissan Patrol imefanana na Infinity QX80 kwa muonekano...
 
Hiyo Mercedes GL350 ni mwisho wa matatizo.. Nyie pigeni kelele na hizo za Mjapan tu ila hapo hagusi. Akina Mzee Mengi wenye wana Special Order za Mercedes. Kuna siku nilikutana na Regina Mengi na hiyo Benz ilibidi nitoe macho tu. Hata kama we ni mshamba kutoka Nanjilinji leo ukikutana nayo lazima usimame uitumbulie macho
 
Old Nissan ipi ni kali kuliko VX kaka. . . . . .sijatumia latest model ya Nissan ila zilizopo zinakaa kwa VX 100. . . . .The last model kabla Kilimo kwanza!!

Kwa Nissan speed ipo kwa petrol ya 4.5 lile ndio jini kwa wese na speed hapo utakaa!!

Tatizo kubwa la Nissan ni silence rpm! Iko juu sana! Ukipata VX V8 ya Petrol nakuambia hata siku moja hautaitamani gari ingine!
 
Kuna vitu tutapenda rohoni tu kuvimiliki ni ndoto hata ukipata kwa magumashi matunzo yake yatakushinda.lkn. Mpaka upambaanishe haya ni dhahiri upo top level ya kiwango hiki,

Kuna siku alikuja fundi kuomba msaada wa jinsi ya kufungua engine ya nissani,nilimuona huyo boss ndio kilaza unapeleka mtaani kwa watu ambao sio level yao kimatengenezo.

Mkuu ulichoongea kilimkuta rafiki yangu ana BMW SUV moja matata sana, alisafiri kwa mwaka 1 gari alimwachia mkewe ambaye hakujali kuangalia service hasahasa maji injini ikakorofisha.

Mafundi kadhaa walichemka, ndipo alimpata fundi mmoja kijana msomi kidogo atumiaye compyuta kutroubleshoot hata hivyp naye ilibidi agoggle kiwandani akaingiza model ya gari, injini nk akaelekezwa A-Z.

Magari mengine bongo ufundi pia tatizo.
 
Nimevutiwa na hii hoja, shida watu hamjaelewa mwenye uzi anataka nn. Kwa elimu yangu ya autos BONGO gari ilioko practical ni VX hilo halina ubishi. Lakini the best SUV dunia nzima itaendelea kua na hakuna nyingine zaid ya Range rover. Izi story za mtaani sijui Nissan ama VX V8 kuzifananisha na RR ni kumkosea heshima Range rover, toka lini turbocharger ikamkuta Supercharge ni bora ukajua tofauti kwanza thn ucompare Nissan na VX ni turbocharge while Range rover ni Supercharge apa namaanisha kuna extraboost ya uchomaji in cylinder in addition to extra air, wakati turbocharge its only extra air uchomaji unabaki constant.

Tukija kwny suala la comfortability na luxurious Range ni next level Just compare zinapopita kwa road jinsi VX V8 ilivyo plastic na range ikoje. NIssan Kosa lao kubwa wanasuccumb to pressure hili toleo lao jipya engine ni very OK but shida ni power to weight ratio. nissan body zito so more power needed wakati range wamesolve suala la power to weight ratio body made of aluminium na also wametumia composite material so gari ni more lighter.

Kwa hali ya bongo na upractical au uhalisia VX V8 is the logical choice kuanzia terrain issues mpka maintanance BUT kwa best SUV heshima inabaki kwa Range rover. na watu waache kuangalia uzuri wa body ni vizuri ukajua technical stuff na technology kucompare vitu. Mwisho wa siku mtakuja kusema Yutong ni nzuri Kulko Scania Irizar au Volvo bus.
 
Back
Top Bottom