Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Aiseeee........umeweka magari magumuuu...........khaaaa.......

cc MANI..........

Kwa zilizo tajwa hapo vx ndio mbabe lakini nissan anazo nzuri zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Sijatumia Range ila Nissan na Vx nimeendesha. . . . . .VX iachwe iitwe VX!!!
Power, Grip, Take off yake pia ni hatari, braking system ni poa sana na inashika haswaa na haiyumbi upon braking, milimani ni kama uko tambarare. . . . .Ingawa kwa Nissan wana toleo la 4.5 petrol nayo si haba kwa mpambano wa speed!!!

My money on VX
 
Nimetembelea GARI nyingi but hiyo VX V8 ni habari nyingine aisee comfortability yake si mchezo.

Hujatumia Nissan wewe kwenye off road utaipenda. Toyota kwenye off road nyepesi.
 
Hujatumia Nissan wewe kwenye off road utaipenda. Toyota kwenye off road nyepesi.

Nissan toleo gani na Toyota ipi maana ukiweka SGLD na Mkonge au LX utaona hivyo sababu ya base zao ila ukiweka same Nissan na GXc majibu yatakiwa siyo haya unayotoa sasa
 
Kwa hapo Range Rover ni gari nzuri kwa off terrain Europe na sio Africa kwa hio unabakiza choice mbili Landcriser na Patrol.Patrol inasumbua spare parts na utengenezaji sababu haziko nyingi kama Landcruiser. Ukiwa na Patrol most likely utakuwa na fundi mmoja tu DT DOBIE lakini kwa landcruiser ni habari nyingine. Kwa hio landcruiser ndio kila kitu kuanzia comfortability, Durability na Compactibility. Watu wengi tunanunua magari bila kuangalia running costs. Ukiangalia running costs za landcruiser Zipo chini ukilinganisha na hizo chini.
 
Sijatumia Range ila Nissan na Vx nimeendesha. . . . . .VX iachwe iitwe VX!!!
Power, Grip, Take off yake pia ni hatari, braking system ni poa sana na inashika haswaa na haiyumbi upon braking, milimani ni kama uko tambarare. . . . .Ingawa kwa Nissan wana toleo la 4.5 petrol nayo si haba kwa mpambano wa speed!!!

My money on VX

VX ni shida mkuu
 
Mkuu hebu tujuze maana ya MSRP ili tuelewe.
Hata hivyo kwa kawaida Toyota LC200 ina bei kubwa kuliko Nissan Patrol.
Range Rover tatizo lake kubwa ni kuharibika kwa electrical/electronic systems zake, na hapa nchini wengi wamelizwa.
Baki njia kuu, baki magari ya Kijapani.

Manufactured Suggested Retail Price - MSRP
 
Hakuna SUV duniani inaweza kushindana na range rover... Range Rover ni kama Rolls Royce SUV! Technology,comfortability in RR is just ridiculous!
yaani hata mm nimneshangaa mkuu wangu

hapo tuitoe Range rover kisha tushindanishe Nissan na toyota V 8 ambapo V8 itampita kwa mbali Nissan...RR mambo mengine kabisa
 
Angalizo hiyo sio evoque ni range rover ila ya kawaida new model. Bei yake ni zaidi ya kilimo kwanza. Sport new model ndo kabisa ile kitu ni full electrical mwanzo mwisho.kila kitu ni cha sport hadi nut ya kufungia tyre. Na body yake ni
 
Range kwa bongo ni show off tu maana hata wese la kuchakachua kwake ni ugonjwa inakufa fuel pump hapo hapo hufiki mbali. So bora kubaki na kilimo kwanza ya mjapan
 
Range rover ni nzur kwa takeoff ya kukimbia na kuchanganya kwa haraka kuzidi nissan na land cruseir tena range rover iwe supercharger ni noma sana na range rover wametoa gari lingine mwaka huu ina engine ya SVR ni noma coz nw hawatengenezi izo superchager nw ni SVR ninoma kwa speed bt nissan ni nzur imebase kwa range rover technology nayo inawai kuchanganya sana na speed sana kuliko cruiser bt kwa bongo land cruiser n ni mwisho wa matatizo upate twin turbo petrol ni noma man yani inaenda sana na land cruiser naipendea offland hakuna mtu anaweza kwenda nae hapo kati ya range rover na nissan
Kwa choice yangu coz niko bongo ningechukua land cruiser naipenda sana coz ni nzur kwa offroad na speed siyo baya,kama unapenda mbwembwe chukua range rover na nissan lakin cruiser noma ww
LAND CRUISER VX V8 TWIN TURBO PETROL NI NOMA SICHUKUI UCHAFU WA ENGLAND NA MJAPAN NISSAN
 
All in all range rover the best car
am done

Range Rover ni the best lakini ni sawa na kuwa na Toyota Ist ambayo ina interiors za Mercedes kwa bongo. Ni wastage ya hela kununua Range bongo. Ukiipiga off terrain kidogo inasumbua si kidogo tena sana. Watu wanaojua kutumia hela zao vizuri wanaenda kwenye Landcruiser VX mkuu. Wauza madini ndo wananunuaga Range. BTW kama ingekuwa tupo ulaya unatafuta gari ya off road mambo ya barabara mbovu unayaweka pembeni unaangalia interiors na tech lakini kwa Africa Range sio Gari." You can not compare off terrain Europe and off terrain Africa " hata Siku moja never.
 
Back
Top Bottom