Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Nimevutiwa na hii hoja, shida watu hamjaelewa mwenye uzi anataka nn. Kwa elimu yangu ya autos BONGO gari ilioko practical ni VX hilo halina ubishi. Lakini the best SUV dunia nzima itaendelea kua na hakuna nyingine zaid ya Range rover. Izi story za mtaani sijui Nissan ama VX V8 kuzifananisha na RR ni kumkosea heshima Range rover, toka lini turbocharger ikamkuta Supercharge ni bora ukajua tofauti kwanza thn ucompare Nissan na VX ni turbocharge while Range rover ni Supercharge apa namaanisha kuna extraboost ya uchomaji in cylinder in addition to extra air, wakati turbocharge its only extra air uchomaji unabaki constant.

Tukija kwny suala la comfortability na luxurious Range ni next level Just compare zinapopita kwa road jinsi VX V8 ilivyo plastic na range ikoje. NIssan Kosa lao kubwa wanasuccumb to pressure hili toleo lao jipya engine ni very OK but shida ni power to weight ratio. nissan body zito so more power needed wakati range wamesolve suala la power to weight ratio body made of aluminium na also wametumia composite material so gari ni more lighter.

Kwa hali ya bongo na upractical au uhalisia VX V8 is the logical choice kuanzia terrain issues mpka maintanance BUT kwa best SUV heshima inabaki kwa Range rover. na watu waache kuangalia uzuri wa body ni vizuri ukajua technical stuff na technology kucompare vitu. Mwisho wa siku mtakuja kusema Yutong ni nzuri Kulko Scania Irizar au Volvo bus.

Turbocharger na supercharger zote sawa tuu(forced induction) tofauti turbo inaendeshwa na moshi wa exhaust wakati supercharger inaendeshwa na belt iliyounganishwa na engine.
 
We mshamba unafananisha V8 na V6? Unajua horsepower nini kwanza ?

Nilijua MTU Kama wewe utakuja tu! Kuna siku nilikuwa nasafiri na rafiki yangu Ana discovery 4 3.0tdv6 hio vx v8 tulikuwa tunaipita tukiamua tena kwenye mlima inabaki inatoa moshi tu! Kuna mahali tulisimama jamaa wa vx akauliza hii discovery v8 akaambiwa no v6 hakuamini! BTW horse power sio mbio vinginevyo kuna vitu zaidi ya horse power! Magari ya F1 yote yana power saw a lakini Kama unafuatilia gari ya Hamilton ilikuwa haishikiki!
 
haya ndo mambo ninayoyapenda kwenye JF, MODs jukwaa la magari vipi hamuoni wadau walivyo wengi?
 
Turbocharger na supercharger zote sawa tuu(forced induction) tofauti turbo inaendeshwa na moshi wa exhaust wakati supercharger inaendeshwa na belt iliyounganishwa na engine.

Correct...ingawa turbo charger huwa Ina lag kidogo before kicking wakati supercharger Ina kick immediately,ila function in moja
 
Range ndio gari yangu ya ndoto,hayo mengine madebe tu kwangu

Ngoja mwaya nije tulale.........tunaweza kuota range na hiyo kilimo kwanza..........

wahenga walisema........ndoto mbili si sawa na moja...............
 
Hii kwangu ni the best topic kwa wiki hii...sichoki kusoma comment za wataalam hapa, endeleeni kutupa utaalam hadi mfike page ya 500, sijui sana technological issues kwenye haya magari...Toyota, Nissan, Range rover na Benz wote wana SUV Kali sana, Benz wana SUV matata sana ila hapa bongo zipo chache sana unaweza ukazihesabu zote
 
Range Rover iko juu japo cyo zote. Mfano Range Rover Autobiography ya 2013 ni comfortable seat zake zina massage, zinaslide zote hadi za nyuma, ina wireless music system kwamba watu wote wanne wanaweza kusikiliza musiki tofauti bila kuathiriana unavaa hear phone za wireless, screen yake mnaweza kuwatch vitu tofauti, dreva ataona map na abiria wa mbele ataweza kuangalia movie on the same screen on the same time na wengine wataangalia wanavyovichagua wao. Pia ni all weather, unaweza kupita rough road, unaeza kupita njia za tope na milimani nk. Ukiwa upo high speed mfano speed 140kph ghafla kukawa na bumps au gari au kitu kingine itapunguza speed yenyewe hadi minimum speed ambayo ni 80 kph hata kama umekanyagia mafuta hadi mwisho. Pia ina camera ndani na nje both sides of which unaweza kurekodi matukio hata ukivamiwa na majambazi au mtu kukusababishia ajali isipokuwa lazima uziprogam na kuziaweka on. Pia ni economical kwenye fuel consumption. Average ya 12 km per 1 liter. Bei yake hapa ni $ 160 bila ushuru. Tatizo ukilinunua hadi na maushuru ni zaidi ya Tsh 350 m. Wasiwasi wangu ni ukishalinunua haliuziki ni lako unless uuze nusu ya bei ya kununulia

Inafatiwa na Toyota Vx v8 land cruiser hizi nazo ni comfortable japo cyo zote na ni all weather. Kuna zingine cyo comfortable. Fuel consumption cyo mbaya ni 10-12 km/liter. Bei yake pamoja na ushuru yaweza fika Tsh 260m. Nalo ukilinunua haliuziki kwa faida.

Nissan cjaichunguza sana hii mpya ila bei nadhani ni karibia million 300 pamoja na ushuru.

Mkuu magari hayauziki kwa faida labda uchane spare parts ukitaka huge ROI wekeza kwenye Real Estate
 
hahahahahah! umenifurahisha! kwaiyo unapima nguvu ya gari kwasababu ililipita ulivyokuwa unasafiri!nyinyi ndio mnasemaga basi fulani linakimbia sana kuliko lingine kwasababu 2lilipita tulipokuwa tunasafiri! unapima gari kama linakimbia kwa kucheki accelation yake kutoka 0-100km/h. SASA CHEKI ACCELATION ZA IYO DISCOVARY 4 YAKO NA LAND CRUISER
DISCOVARY 4 (2013) 3.0 TDV6 0-100Km/h ni 9.60sec WAKATI LAND CRUISER VX V8 (2013) 0-100Km/h ni 8.4sec.
 
Mkuu magari hayauziki kwa faida labda uchane spare parts ukitaka huge ROI wekeza kwenye Real Estate

Ni kweli mkuu hayo ni kama cm ila kwa wale wafanya biashara haya magari faida huonekana kwenye kushow off, utaletewa deal nyingi sana coz watz wengi huamini mtu mwenye mkoko wa ghali ni tajiri na cash ipo 24/7
 
Nilijua MTU Kama wewe utakuja tu! Kuna siku nilikuwa nasafiri na rafiki yangu Ana discovery 4 3.0tdv6 hio vx v8 tulikuwa tunaipita tukiamua tena kwenye mlima inabaki inatoa moshi tu! Kuna mahali tulisimama jamaa wa vx akauliza hii discovery v8 akaambiwa no v6 hakuamini! BTW horse power sio mbio vinginevyo kuna vitu zaidi ya horse power! Magari ya F1 yote yana power saw a lakini Kama unafuatilia gari ya Hamilton ilikuwa haishikiki!

hahahahahah! umenifurahisha! kwaiyo unapima nguvu ya gari kwasababu ililipita ulivyokuwa unasafiri!nyinyi ndio mnasemaga basi fulani linakimbia sana kuliko lingine kwasababu 2lilipita tulipokuwa tunasafiri! unapima gari kama linakimbia kwa kucheki accelation yake kutoka 0-100km/h. SASA CHEKI ACCELATION ZA IYO DISCOVARY 4 YAKO NA LAND CRUISER
DISCOVARY 4 (2013) 3.0 TDV6 0-100Km/h ni 9.60sec WAKATI LAND CRUISER VX V8 (2013) 0-100Km/h ni 8.4sec. acha story za zamani za kitoto
 
Humu ndani kuna watu wamehama kwenye mada badala ya kuchambua kitaalamu wameanza kutolea wengine maneno makali, wengine wanaita magari ya kijapan ya watoto kuendea shule nk.

Ushauri wangu;
Kwa wingi huu ambao nimeuona hapa ukisapoti RR, BMW, Benz G Class nina imani kabisa Watanzania uchumi unakua hasa wana JF sina shaka siku tukiandaa Get Together Party Car Parking itapendeza.
Vinginevyo tusiishi maisha ya kwenye Top Gear wakati hali halisi haiko hivyo. Kuna mdau amenifurahisha hapo juu at least amepromote na kaSUV kangu Lexus RX, ahsante sana. Tukutane barabarani, tukutane filling station....

Kaka grafani kuna wakati inabidi ujue dunia ya mbele inafananaje. Kujadili kuhusu magari sio lazima umiliki. Nimeleta humu nijue mawazo ya wengine hasa kwenye haya magari. Kuna sehem jana nlipita nikaona Nissan Patrol hii new model nikajiuliza inamaana hii ndo best kuliko RR? VX? Nikasema ngoja nilete hii mada humu nione mawazo ya wengine.

Na pia kujadili kitu haimaanishi lazima ukimiliki, unaweza siku "ukaokota" hela ukasema na mimi ngoja nivute RR yangu kulingana na mchango wa wana JF.

Jf inasaidia sana kaka, i'm here to learn and explore the world.
 
Haya makitu sisi wengine wenu ni kutuumiza tuu mioyo tukaishia kujilaani na ma umasikini yetu yaliyo topea!,
Kuna baadhi ya choices sio uzuri, ubora au uimara wa gari, bali ni brand tuu, kwenye saloon cars mimi ni Benz, kwenye SUV ni RR!, ila pia sisi African families, mke, kimada, watoto lukuki, huwezi kuiepuka option ya Japanese cars kushughulikia mambo ya nyumbani na vigari vya watoto kuendea collage!.

Kwenye SUV, umeziacha hizi zifutazo

Compact SUVs

Affordable Compact SUVs
Affordable Compact SUVs

Generally priced below $30,000.

See full rankings»

Luxury Compact SUVs

Generally priced above $30,000.

See full rankings»



Midsize SUVs

Affordable Midsize SUVs
Affordable Midsize SUVs

Generally priced below $40,000.

See full rankings»

Luxury Midsize SUVs

Generally priced above $40,000.

See full rankings»



Large SUVs

Affordable Large SUVs
Affordable Large SUVs

Generally priced under $55,000.

See full rankings»

Luxury Large SUVs

Generally priced above $55,000.

See full rankings»



Hybrid SUVs

Hybrid SUVs
Hybrid SUVs


See full rankings»



Crossover SUVs

Affordable Crossover SUVs
Affordable Crossover SUVs

Generally priced below $35,000.

See full rankings»

Luxury Crossover SUVs

Generally priced above $35,000.

See full rankings»



Off-Road SUVs

Off-Road SUVs
Off-Road SUVs


See full rankings»



2-Row and 3-Row SUVs

Affordable SUVs with 2 Rows
Affordable SUVs with 2 Rows


See full rankings»

Affordable SUVs with 3 Rows


See full rankings»


Luxury SUVs with 2 Rows


See full rankings»

Luxury SUVs with 3 Rows


See full rankings»




Pasco
mkuu haya mavitu tuwaachie wenye ka escrow, siye zetu dl dl na bd bd.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya european cars and japanese cars, and the difference will always remain there, hata leo hii kaendeshe Range Rover old model zn uje uendesh new model ya mjapan zn compare the comfortability, mzungu anaheshimu sana quality ya gari kuliko quantity of sales.
 
Kaka grafani kuna wakati inabidi ujue dunia ya mbele inafananaje. Kujadili kuhusu magari sio lazima umiliki. Nimeleta humu nijue mawazo ya wengine hasa kwenye haya magari. Kuna sehem jana nlipita nikaona Nissan Patrol hii new model nikajiuliza inamaana hii ndo best kuliko RR? VX? Nikasema ngoja nilete hii mada humu nione mawazo ya wengine.

Na pia kujadili kitu haimaanishi lazima ukimiliki, unaweza siku "ukaokota" hela ukasema na mimi ngoja nivute RR yangu kulingana na mchango wa wana JF.

Jf inasaidia sana kaka, i'm here to learn and explore the world.

Mkuu wewe unajua ninakukubali, tatizo ni baadhi ya vijana wako walianza kutoleana maneno makali. Ndiyo na mimi nikawapa angalizo dogo tu.
Ukisoma comment yangu ya kwanza na zilizofuatia utaona nilikuwa nalenga nini. Kikubwa ni kuelimishana na si kutoa maneno kama 'wewe mjinga'. Kuna mdau alitoa neno hilo...
 
Nilijua MTU Kama wewe utakuja tu! Kuna siku nilikuwa nasafiri na rafiki yangu Ana discovery 4 3.0tdv6 hio vx v8 tulikuwa tunaipita tukiamua tena kwenye mlima inabaki inatoa moshi tu! Kuna mahali tulisimama jamaa wa vx akauliza hii discovery v8 akaambiwa no v6 hakuamini! BTW horse power sio mbio vinginevyo kuna vitu zaidi ya horse power! Magari ya F1 yote yana power saw a lakini Kama unafuatilia gari ya Hamilton ilikuwa haishikiki!

rrondo nakuunga mkono..kuwa v8 or v6 cyo sababu ya moja kwa moja..kuna additional accessories engine tuneups zinaweza fanya hata gari ya cylinder nne kuwa balaa kuliko v8...cheki nissan gtr35 a v6 car ila hamna v8 toyota ya kuisumbua kwenye normal road
 
yaani hata mm nimneshangaa mkuu wangu

hapo tuitoe Range rover kisha tushindanishe Nissan na toyota V 8 ambapo V8 itampita kwa mbali Nissan...RR mambo mengine kabisa

Kuna sehemu nilisoma wanasema RR ndo the fastest SUV in the world. Inazizidi sports cars nyingi sana.
RRONDO
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom