Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Mkuu naomba nikuulize, hapo kwenye ACCELATION, SUBARU WRX ikoje? Samahani lakini?
kwenye kuboost at a starting Subaru ipo juu kwani katika 100Kph inaondoka ndani ya seconds 4.9 au 5.0 sec
 
Rene Jr. Mkuu huku huonekani? member wamehama GX tusaidie Range Rover, VX-V8, NISSAN na magari ya SUV lipi bora km Bulldog anavyouliza, kiubora Horsepower, Torque, speed, comfortability, Durability etc
 
Sijawahi ipenda hummer, sijui utendaji kazi wake upande wa injini ukoje, ila muonekano wake kwangu ni turn off.

Ile ni gari ya showoff tu, sio ya kazi kabisa. Huwez kwenda nayo shamba wala kwenda nayo in terrains.
 
Rene Jr. Mkuu huku huonekani? member wamehama GX tusaidie Range Rover, VX-V8, NISSAN na magari ya SUV lipi bora km Bulldog anavyouliza, kiubora Horsepower, Torque, speed, comfortability, Durability etc

Habari mkuu.

Yani hapo naongelea package nzima sio kitu kimoja. Najua kati ya hizo kuna ambayo ni top of class.
 
Napenda magari ila sijui sana kuhusu magari ila huu uzi unanisababisha nisome sana
 

kwan huwa mnaendeshea speed gani na ktk barabara zip jamani
 
Mkuu Jidu, nimecheka, sio tuu dl dl na bd bd tuu, umeisahau na TZ11!.
Pasco
Mkuu wakati vijana wa kileo wakijikata kiu na majitu makakali, umenikumbusha mbali enxi za TZ11 nasi tulikuwa na Kata Mbuga- Arusha mpaka Monduli.
 
kwan huwa mnaendeshea speed gani na ktk barabara zip jamani

Sijaelewa mzeemitomingi kwa mie nimeangalia kwenye lami safari ndefu kama Dar-Makambako na njia ya vumbi say Kibirashi-Kiteto-Simanjiro to Arusha!!
Dodoma-Iringa njia ya Mtera ziko sehemu ukiwa unapanda Nyang'oro uwezo wa turbo utausikia sababu mlima mrefu na unapanda muda mrefu pia!!!!

Speed roho yako tu kuna sehemu unaweza futa hata kisahani kama Ruaha plains mathalan
Dumila kwenda Moro yapo maeneo unalaza mshale kabisa, Gairo-Kibaigwa iko sehemu ya kupimia mapafu ya
mashine pia!!!

Baadhi ya sehemu ni hizo!!!
 
Last edited by a moderator:
Yote zungumzeni kwenye power Nissan~lakini isiwe milima,then vx inatambulika kwenye~versatility~durability~+real off road perfonance~karibuni kwenye VX~~~Range iko mahali pake hasa comfortability nk utaipenda sana offroad lakini inachoka mapema! Ukienda service utatamani uiache gerage~i stand to be corrected,
 
Gx100 ndio mwisho wa matattizo

Nilikuwa naamini sana Beams 2000 ila nilikutana na Forester turbo charged historia ikabadilika, other time nikakutana na VX V8 nikiwa na gari ya petrol 6 cylinder nikaumana nayo. . . .habari yake haikuwa mchezo. . , mie nasoma 160 -170Kph huo mtambo hata wheel cover sikuwa nasoma na ilikuwa na maandishi makubwa tu ya LSRP; kwenye tuta namsogelea ila akipanda tu akashuka inachanganya fasta saana kuliko maelezo na shughuli nyingine inaanza, alipogundua nampa ligi akatokomea mazima sikumuona tenaaa!!!

Siku nyingine na GX 110 Beams 2000 nikakutana na Rx 300 nayo ikanitoa kwenye ligi kama nimesimama, jamaa alikuwa anatoka Zambia so nilipiga naye ligi ndefu tu mpaka nikajitoa tulipofika Chalinze!!!

Hiyo gari uwezo inao ila haiingii kwenye ligi hii ya uzi huu!!
 

Mifumo ya kuturbo ninayojua mimi supercharger ni range rover watumia na jeep pia,kuna turbocharger porshe cayena na audi pia anatumia mfomo huo na kuna twin turbo land cruiser na Mercedes benz G class pia anatumia! iyo turbochager unayongelea kwny cruiser mimi sijaona au unataka kusema turbocharger zikiwa mbili ni twinturbo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…