Kati ya Pacome na Chasambi ni vita kali sana

Kati ya Pacome na Chasambi ni vita kali sana

Mzee unatumia nguvu kubwa kujiaminisha
Natumia nguvu gani?

Kwani Chama na Pacome wanacheza mpira chumbani kwako kiasi kwamba unawaona peke yako tu?

Mpira ni mchezo wa wazi.

Mambo anayofanya Pacome kila mtu anayaona na kuyafahamu.

Pacome mpaka sasa CAFCL ana goli 3 na assist mbili.

Je chama ana goli na assist ngapi?

Unafikiri Pacome kuingia kwenye kikosi cha wiki cha CAFCL kwa zaidi ya mara tatu wamempendelea na hawakumuona Chama?

Ukiwa mwanasoka lazima ukubali ukweli kwamba kwa sasa Pacome ni bora kuliko Chama.
 
ORODHA YA WACHEZAJI WALIOFANANISHWA NA CHAMA.

1. HARUNA NYONZIMA.
2. SAODO NTIBAZONKIZA.
3. FEISAL SALUM.
4. AZIZI KI STEPHEN.
5. MAX NZEGELI.
6. PAKOME ZIZUUU.
7.....
8........
100
 
Natumia nguvu gani?

Kwani Chama na Pacome wanacheza mpira chumbani kwako kiasi kwamba unawaona peke yako tu?

Mpira ni mchezo wa wazi.

Mambo anayofanya Pacome kila mtu anayaona na kuyafahamu.

Pacome mpaka sasa CAFCL ana goli 3 na assist mbili.

Je chama ana goli na assist ngapi?

Unafikiri Pacome kuingia kwenye kikosi cha wiki cha CAFCL kwa zaidi ya mara tatu wamempendelea na hawakumuona Chama?

Ukiwa mwanasoka lazima ukubali ukweli kwamba kwa sasa Pacome ni bora kuliko Chama.
Pacome mechi 6 goli 3
Onana mechi 1 goli 2
 
Mchezaji gani Bora haitwi kwenye timu ya Taifa lake asa kwenye michuano ya kimataifa au Ndugu yangu Hujui kuwa mchezaji kuchezea Timu yake Taifa inamuongezea CV na thamani asa ukitaka kumuza kwenye mpira wa Dunia Simba imetoa mchezaji kacheza mechi Hadi ya Nusu fainali ya Africon unakuja kusema eti pacome ni mchezaji bora kuliko wachezaji wote wa Simba Mchezaji wako hajui ata Africon inafananaje unakuja mlinganisha na Wachezaji wa Simba
Ayubu amewahi kuitwa timu ya Taifa?

Cc Aden Rage
 
Back
Top Bottom