Natumia nguvu gani?Mzee unatumia nguvu kubwa kujiaminisha
Usimlinganishe Chasambi na awilo longomba maana pacome ni kisinda anaye cheza kati.......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usimlinganishe Chasambi na awilo longomba maana pacome ni kisinda anaye cheza kati.......
Pacome mechi 6 goli 3Natumia nguvu gani?
Kwani Chama na Pacome wanacheza mpira chumbani kwako kiasi kwamba unawaona peke yako tu?
Mpira ni mchezo wa wazi.
Mambo anayofanya Pacome kila mtu anayaona na kuyafahamu.
Pacome mpaka sasa CAFCL ana goli 3 na assist mbili.
Je chama ana goli na assist ngapi?
Unafikiri Pacome kuingia kwenye kikosi cha wiki cha CAFCL kwa zaidi ya mara tatu wamempendelea na hawakumuona Chama?
Ukiwa mwanasoka lazima ukubali ukweli kwamba kwa sasa Pacome ni bora kuliko Chama.
Chama ndiyo Onana?Pacome mechi 6 goli 3
Onana mechi 1 goli 2
Ayubu amewahi kuitwa timu ya Taifa?Mchezaji gani Bora haitwi kwenye timu ya Taifa lake asa kwenye michuano ya kimataifa au Ndugu yangu Hujui kuwa mchezaji kuchezea Timu yake Taifa inamuongezea CV na thamani asa ukitaka kumuza kwenye mpira wa Dunia Simba imetoa mchezaji kacheza mechi Hadi ya Nusu fainali ya Africon unakuja kusema eti pacome ni mchezaji bora kuliko wachezaji wote wa Simba Mchezaji wako hajui ata Africon inafananaje unakuja mlinganisha na Wachezaji wa Simba
Pacome ninoumaaaaaaaaaaa