Mr Lukwaro
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 359
- 629
Wengine wanasema hii ndo ilipangwa kuziangusha Tumu za Tanzania, Japo hakuna uthibitisho.
Wengine wamekuwa na mtizamo chanya na kuona kama Soka la Tanzania limekuwa, na Kuzifunga timu hizo , Italeta furaha mara Dufu.
Kwako wewe Mdau, Bila kujali Itikadi za kishabiki.
Simba vs Al Ahly
Yanga vs Mamelodi
Nani mwenye Posibility ya kupita hatua ya Robo fainali CAF?