Kati ya simu tatu zinazopigwa, mbili ni za mtu anayetaka apewe pesa

Kama kweli huna pesa mwambie ukweli kwamba huna pesa, ila kama unazo na una uwezo wa kumsaidia lakn bado ukakataa sio sawa, huwezi kusaidia kila mtu katika hii dunia lakn inapotokea nafasi ya kusaidia na umethibitisha kweli muombaji ana changamoto mi naona saidia tu.
personally mm nikisaidia alafu mtu akasema asante sana huwa napata feelings flani za furaha na hunitokea automatically.
Bottom line kama unaweza kusaidia fanya hvyo kama huna uwezo kuwa mkweli, what goes around comes around.
 
Hongera sana, Mungu akulinde leo,kesho++
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…