Kati ya Spika mstaafu Pius Msekwa na Spika Dkt. Tulia nani anasema ukweli kuhusu Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18?

Kati ya Spika mstaafu Pius Msekwa na Spika Dkt. Tulia nani anasema ukweli kuhusu Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18?

Dr wa n

Dr wa mirathi ananizidi Nini? . Shida mnaogopa title isiyokuwa na lolote. Tuna madoctor wangapi wameandikiwa thesis?.

Kuwa doctor haimanishi anajua kila kitu. Mambo mengi yanamshinda. Doctor mzima utasemaje unasubiri mchakato wa chama wakati chama kilishawavua uanachama?. Walitakiwa kusubiria Rufaa wakiwa nje ya bunge na sio ndani ya bunge maana sio wanachama.

Hahaha but ngoja tujadili this thing

Vile viti maalum ni halali Kwa chadema hapo tunakubaliana,

Sasa kama ni halali Kwa chadema kuna kosa gani Kwa mtu kama mdee, bulaya na wengine kwenda bungeni? Coz zile nafasi ni zao
 
Vile ni viti maalum halali Kwa chama cha chadema na waliokwenda walikuwa ni wanawake wa chadema sasa shida yako nn?
Walishafukuzwa CHADEMA sio wanachama tena, wanamwakilisha nani?
 
Hahaha but ngoja tujadili this thing

Vile viti maalum ni halali Kwa chadema hapo tunakubaliana,

Sasa kama ni halali Kwa chadema kuna kosa gani Kwa mtu kama mdee, bulaya na wengine kwenda bungeni? Coz zile nafasi ni zao
Sawa ni viti vya CHADEMA lakini kina Mdee na wenzake walishafukuzwa na sio wanachama tena wa CHADEMA, kitu gani huelewi hapo? imeshatokea huko nyuma kwa wabunge wa CCM kufukuzwa ubunge kwa sababu ya kupoteza uwanachama wao
 
Sawa ni viti vya CHADEMA lakini kina Mdee na wenzake walishafukuzwa na sio wanachama tena wa CHADEMA, kitu gani huelewi hapo? imeshatokea huko nyuma kwa wabunge wa CCM kufukuzwa ubunge kwa sababu ya kupoteza uwanachama wao

Walifukuzwa baada ya nafasi kutoka au kabla ya nasafi kutoka ?
 
Wale wapo Kwa maslahi ya gavamenti kuonyeaha kwamba demo-kratos ipo nchini na si Chama kimoja
 
Walifukuzwa baada ya nafasi kutoka au kabla ya nasafi kutoka ?
Baada ya nafasi kutoka wapi!

Chadema wanakia na tume ya uchaguzi iliyompelekea majina Ndugai

Msekwa anakia na Halima James Mdee kwa vitendo vya ukibaka akiwa kama mwenyekiti wa Bawacha alielewa kabisa kwamba chama hakijapeleka majina NEC lakini yeye akawabeba wenzake wakaenda gerejini kwa Job!
 
Dr wa n

Dr wa mirathi ananizidi Nini? . Shida mnaogopa title isiyokuwa na lolote. Tuna madoctor wangapi wameandikiwa thesis?.

Kuwa doctor haimanishi anajua kila kitu. Mambo mengi yanamshinda. Doctor mzima utasemaje unasubiri mchakato wa chama wakati chama kilishawavua uanachama?. Walitakiwa kusubiria Rufaa wakiwa nje ya bunge na sio ndani ya bunge maana sio wanachama.

Rufaa yao ni kudhihilisha kuwa kama wao ni wanachama halali wa Chadema au sio; hivyo hawakutakiwa kuwa bungeni kwani uanachama wao hajaamuliwa!!
 
Baada ya nafasi kutoka wapi!

Chadema wanakia na tume ya uchaguzi iliyompelekea majina Ndugai

Msekwa anakia na Halima James Mdee kwa vitendo vya ukibaka akiwa kama mwenyekiti wa Bawacha alielewa kabisa kwamba chama hakijapeleka majina NEC lakini yeye akawabeba wenzake wakaenda gerejini kwa Job!

Bado swali langu liko pale pale, je nafasi na kufukuzwa kipi kilianza ?
 
Ukumbuke chama kinafata sheria za inchi, sio mambo ya kuua Mtoto wako just because ww ndio umemzaa so Una mamlaka nae hapana,

Uwez Tu kuamka asubuh ukaanza kufukuza watu hakuna hayo mambo
Sasa kwa muktadha huo hao Covid19 walipaswa waende mahakamani kupingwa kufutwa kawo uanachama meanwhile wakiwa nje ya bunge mpaka pale hukumu itakapotoka, big question ni imekuwaje hawajakata rufaa na hapo bungeni wapo kwa sheria ipi.
Tz hakuna independent MPs hii ni kutokana na katiba iliyopo, mpaka pale watakapopinga kufukuzwa kwao kisheria na wakashinda kwa sasa si wanachama wa CHADEMA.
 
Mbunge akivuliwa uanachama na ubunge wake unakoma hapo hapo. Kama mhusika hakubaliani na maamuzi ya chama chake anapaswa kwenda kuupigania uanachama kwenye sheria.
Kuweka kumbukumbu sawa hapa JF ni kuwa:
1. Mdee na wenzake 18 hawakuteuliwa na CHADEMA kuwa wabunge wa viti maalum. (Toka mwanzo mpaka leo hii msimamo wa Chadema umebakia ule ule kuwa, hawayatambui matokeo yote ya uchaguzi mkuu wa 2020, hawataingia bungeni, hawatateua mbunge wa viti maalum na hawatafanya mchakato wowote ndani ya chama chao kupendekeza majina ya wabunge wa viti maalum)

2. CHADEMA ilishakaa chini kikatiba na kuwavua uanachama wakina mdee na genge lake.
 
Sasa kwa muktadha huo hao Covid19 walipaswa waende mahakamani kupingwa kufutwa kawo uanachama meanwhile wakiwa nje ya bunge mpaka pale hukumu itakapotoka, big question ni imekuwaje hawajakata rufaa na hapo bungeni wapo kwa sheria ipi.
Tz hakuna independent MPs hii ni kutokana na katiba iliyopo, mpaka pale watakapopinga kufukuzwa kwao kisheria na wakashinda kwa sasa si wanachama wa CHADEMA.

Wameshakata rufaa kwenye kamati kuu Yao, and kamati kuu haijakaa mpaka Leo kuamua rufaa Yao so mpaka kamati kuu ikikaa na kuamua ndio mambo ya mahakamani yatafuata
 
Wameshakata rufaa kwenye kamati kuu Yao, and kamati kuu haijakaa mpaka Leo kuamua rufaa Yao so mpaka kamati kuu ikikaa na kuamua ndio mambo ya mahakamani yatafuata
Kamati kuu ndio imewafukuza.

Rufaa inakatwa kwa mkutano mkuu!
 
Jikite kwenye mada bwashee.

Mambo ya Lumumba usiyachukulie poa bwashee!
Hakuna mada hapo, Nchi yenye kufuata misimgi ya katiba na Sheria ni aibu kuendelea kujadili jambo lilowazi kisheria. Huyu Tulia hakiwepo kipindi cha Sofia Simba?.
 
Dr wa n

Dr wa mirathi ananizidi Nini? . Shida mnaogopa title isiyokuwa na lolote. Tuna madoctor wangapi wameandikiwa thesis?.

Kuwa doctor haimanishi anajua kila kitu. Mambo mengi yanamshinda. Doctor mzima utasemaje unasubiri mchakato wa chama wakati chama kilishawavua uanachama?. Walitakiwa kusubiria Rufaa wakiwa nje ya bunge na sio ndani ya bunge maana sio wanachama.
Kwani uwepo wao wewe unaathirikaje? Au hizo posho wasipopewa utafaidikaje nazo, hizo posho iwe iwavyo bado zitapitia kwa wengine na wala si kwako!! Karibu kwa lolote
 
Mzee Msekwa: Halima James Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa Chadema kwahiyo hawana chama. Uwepo wao bungeni ni kinyume cha katiba ya JMT ya 1977 niliyoshiriki kuitengeneza.

Dr Tulia Ackson: Halima James Mdee na wenzake 18 ni wanachama wa Chadema hivyo ni wabunge halali kwa mujibu wa katiba ya JMT ya 1977 PAMOJA na marekebisho yake.

Kati ya maspika hawa wawili yupi anasema UKWELI kutoka ndani ya moyo wake huku akimuhofu Mungu wa mbinguni?

Maendeleo hayana vyama!

Pia soma
Wapuuzi sana na wewe ni Mpuuzi kumlinganisha Mzee Msekwa na huyo Bettina
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mzee Msekwa: Halima James Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa Chadema kwahiyo hawana chama. Uwepo wao bungeni ni kinyume cha katiba ya JMT ya 1977 niliyoshiriki kuitengeneza.

Dr Tulia Ackson: Halima James Mdee na wenzake 18 ni wanachama wa Chadema hivyo ni wabunge halali kwa mujibu wa katiba ya JMT ya 1977 PAMOJA na marekebisho yake.

Kati ya maspika hawa wawili yupi anasema UKWELI kutoka ndani ya moyo wake huku akimuhofu Mungu wa mbinguni?

Maendeleo hayana vyama!

Pia soma
Tusiiililie COVID-19 wala wastaafu wetu, Wala watawala wetu ila tulililie jasho la Kodi ya mlala hoi wa taifa letu tanzania🏋️.
 
Back
Top Bottom