kwenda huko mbumbumbu na kilaza mkubwa kichwani kwako kutakuwa kuna matope na sio ubongo ndio maana TWAWEZA wali waweza unaleta upumbavu kwenye ukweli ulio dhairi, kamati kuu ya Chadema ilikutana ikawafukuza hao kovid uanachama,
Katiba ya Nchi ndio sheria mama ya nchi inaeleza wazi mtu akifukuzwa uanachama hastaili kuendelea na ubunge .
kinachofanywa na bunge kwa hawa kovid ni uvunjwaji wa katiba ya nchi, ndio maana bunge liapitisha sheria ya kipumbavu eti spika hawezi kushtakiwa ni hili kuwepa huu uozo alilofanya