Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Kati ya Urusi na Marekani ni nchi ipi inaongoza kwa watu duniani kuomba hifadhi. Hivi vijana wa dunia hii ukiwaambia wachague kuishi marekani au urusi,watakimbilia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasahivi utatupiwa jina lá ushoga wakati huyo anaeita watu hivyo anatumia vya wawesti kumiliki na kuhudumiwa ni hawohawo.Kati ya urusi na marekani ni nchi ipi inaongoza kwa watu duniani kuomba hifadhi.Hivi vijana wa dunia hii ukiwaambia wachague kuishi marekani au urusi,watakimbilia wapi?????
Mimi nimeuliza tu mkuu.Tukiwapa vijana fursa wachague wakatafute maisha kati ya marekani na urusi watachagua wapi???Sasahivi utatupiwa jina lá ushoga wakati huyo anaeita watu hivyo anatumia vya wawesti kumiliki na kuhudumiwa ni hawohawo.
Swali la kitoto sana umeulizaKati ya urusi na marekani ni nchi ipi inaongoza kwa watu duniani kuomba hifadhi.Hivi vijana wa dunia hii ukiwaambia wachague kuishi marekani au urusi,watakimbilia wapi?????
Nadhani jibu unalo ila unataka attention ya watu tu....Kati ya urusi na marekani ni nchi ipi inaongoza kwa watu duniani kuomba hifadhi.Hivi vijana wa dunia hii ukiwaambia wachague kuishi marekani au urusi,watakimbilia wapi?????
Watakimbilia Marekani.Kati ya Urusi na Marekani ni nchi ipi inaongoza kwa watu duniani kuomba hifadhi. Hivi vijana wa dunia hii ukiwaambia wachague kuishi marekani au urusi,watakimbilia wapi?
Swali la kitoto sana umeuliza
Sio urusi msomi???Watakimbilia Marekani.
Nimeuliza tu sababu kuna watu wanaipinga marekani na kuiunga mkono urusi ila wanapenda kuishi huko marekani na sio urusi.Nadhani jibu unalo ila unataka attention ya watu tu....
Ulishawahi sikia wahamiaji haramu Urusi?
Kwa nini utasikia ni ulaya na Marekani?
Marekani ni ndoto ya kila binadamu aliye tayari kutimiza ndoto zake kutimia.Nimeuliza tu sababu kuna watu wanaipinga marekani na kuiunga mkono urusi ila wanapenda kuishi huko marekani na sio urusi.
Kwahiyo msomi urusi sio ndoto ya kila binadamu?????Maana watu hawaendi huko kwa wingi kama wanavyoenda USAMarekani ni ndoto ya kila binadamu aliye tayari kutimiza ndoto zake kutimia.
Kwako Mwandishi,
Ukishapata jibu unampangi Gani na itasaidia nini
Kila mtu anataka kuishi marekani,kuna nini huko mkuu???Nani aende Urusi, ubaguzi Kama wote. Marekani ndio kwenyewe.
Marekani wana mambo ya kifala ndio shida yao. Sema hata Urusi ikiwa taifa namba moja kiuchumi wengi watakimbilia huko.Nimeuliza tu sababu kuna watu wanaipinga marekani na kuiunga mkono urusi ila wanapenda kuishi huko marekani na sio urusi.
Mambo ya kifala kama yapi msomi???Marekani wana mambo ya kifala ndio shida yao. Sema hata Urusi ikiwa taifa namba moja kiuchumi wengi watakimbilia huko.
Mambo ya kiafande afande yale kama yaliovuja jana mitandaoni.Mambo ya kifala kama yapi msomi???
Kila mtu anataka kuishi marekani,kuna nini huko mkuu???
Hilo nakubali. Ni sawa na Dar inavyokimbiliwa na wakuja sababu haibagui raia. Kuna ma Don na makupuku at tha same damn time.Marekani Ina sifa moja kubwa, Ina diversity ya raia wa Dunia wote kule. Kuna American Japanese, Kuna American Chinese Hadi Kuna China Town, Kuna African Americans, Kuna Spanish Americans etc. Ila Russia Hakuna diversity kule.