Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Sawa ni maamuzi ya mtu....Si ungesema Ushogaa, kwann uogopee???
Ushoga ruksaaa USA. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ni maamuzi ya mtu....Si ungesema Ushogaa, kwann uogopee???
Ushoga ruksaaa USA. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haujawahi kuwepo labda uanze sahizi ambako mashosti wa Ukraine wameomba hifadhi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan Urusi hakuna huo ufalaaaa???
Nataka niende china nikatafute maishaMambo ya kiafande afande yale kama yaliovuja jana mitandaoni.
Nenda blaza ila kule mboga konokonoNataka niende china nikatafute maisha
Wachina tunauza nao matunda hapa mjini wewe ndo uingie kwao kutafuta maisha? Wale ni maskini kama sisi tuNataka niende china nikatafute maisha
😂😂🤣🤣🤣🤣Ngoja Bwana Utam aje kukupa mwongozo🤣
Wachina tunauza nao matunda hapa mjini wewe ndo uingie kwao kutafuta maisha? Wale ni maskini kama sisi tu
Kuna vitu kidogo nirekebishe kuhusu tartar,s,chechen,s na slavic,s kama ukiniruhusu msomi.Alafu ukisema wote humu tunajua urusi ni taifa la wazungu pekee unakosea msomi,nadhani hilo ni kwa wale ambao hawajui historia ya falme za kirusi(Slavic kingdoms) na muingiliano wao na jamii za watu wa asia ya kati pamoja na jamii za asia ya kati zilizokua influenced na ottoman empire era,s.Hakuna mtu na akili timamu ataacha kwenda USA na Ulaya magharibi alafu akaenda Urusi.
1. Jamii ya Kirusi ni jamii ya kibaguzi sana.
Urusi Federation ni moja ya Taifa lenye watu wa jamii nyingi sana, kuna Slavic(wazungu), Turkic (Chechens, Tartars), kuna Mongols (Wachina, Wakorea, Mongoloa) n.k. Licha ya jamii zote hizi; Uchumi, Uongozi, Elimu kwa zaidi ya 90% unatawaliwa na Wazungu (Slavic) ndio maana wote humu tunadhani Urusi ni taifa la wazungu pekee.
Sasa imagine kama mwafrika tena Mtanzania utaishije, utapataje fursa kama Waliozoliwa na kuishi Russia vizazi zaidi ya 4 hawana Fursa sawa na kundi lingine la watu.
2. Lugha
Nilarahisi kuadopt English kuliko Slavic language kwa Mtanzania.
3. Uchumi.
Uchumi wa Russia ni mdogo kutoa Fursa kwa Diaspora or Migrant kabla haujatoa kwa Wananchi wake, so practically sio rahisi Warussia kukupa kazi wakati mwenzao yupo.
4. Kuna uwezekano wa Kufia Ukraine.
Russia hajali maisha ya Raia/askari wake, hivyo kufidia nguvu kazi ya Jeshi lake katika Vita ya Ukraine itatafuta watu ambao ni cheap labour na practically wanafaida ndogo kwa Russia, so kwa kosa dogo sana, utaenda vitani tena Bure
Wapo wamejaa st PetersburgHaujawahi kuwepo labda uanze sahizi ambako mashosti wa Ukraine wameomba hifadhi
Swali zuri,watakujibuNa pia tupe mfano iliyo wazi tojue wale walio US hasa WATANZANIA wana maendeleo yanayo onekana hapa TANZANIA unaweza kusema hii ni Mradi au BIASHARA au Nyumba iliyo standard ni mafanikio ya Jamaa alikuwa anaishi US tujue na sisi.
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Coca wamekukwaza nn???Ufala gan?? Bas muende Urusi kusiko na ufalaa. Lakini hamuendi lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unafikiiiii
Swali la kitoto sana umeuliza
Msomi kuuliza sio ujinga??????Si umeona yaliyomkuta nemes.Yaani ni walewale wamepindisha maneno!