econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mambo ya kiafande afande yale kama yaliovuja jana mitandaoni.
Halafu wanaushabikia kijnga Sana, Hadi msemaji wa ikulu na waziri wa uchukuzi Ni mashoga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kiafande afande yale kama yaliovuja jana mitandaoni.
@ Extrovert bila kuutaja ushoga kwenye comment zako waga hujisikii raha😂😂😂😂.Karibu uchangie mkuuMambo ya kiafande afande yale kama yaliovuja jana mitandaoni.
Sitaki ban maana kila nikilitumia hilo neno wananipeleka selo.Duuuh
@ Extrovert bila kuutaja ushoga kwenye comment zako waga hujisikii raha😂😂😂😂.Karibu uchangie mkuu
Kwahiyo marekani ndio super power kwa sasa kuliko urusi kiuchumiMarekani Ina sifa moja kubwa, Ina diversity ya raia wa Dunia wote kule. Kuna American Japanese, Kuna American Chinese Hadi Kuna China Town, Kuna African Americans, Kuna Spanish Americans etc. Ila Russia Hakuna diversity kule.
Hilo nakubali. Ni sawa na Dar inavyokimbiliwa na wakuja sababu haibagui raia. Kuna ma Don na makupuku at tha same damn time.
Walikupeleka selo mkuu🤣🤣🤣🤣 pole sanaSitaki ban maana kila nikilitumia hilo neno wananipeleka selo.
Marekani ni changanyikeni, kila nasaba ya binadamu ipo huko inatafuta maisha.Marekani Ina sifa moja kubwa, Ina diversity ya raia wa Dunia wote kule. Kuna American Japanese, Kuna American Chinese Hadi Kuna China Town, Kuna African Americans, Kuna Spanish Americans etc. Ila Russia Hakuna diversity kule.
Kwahiyo marekani ndio super power kwa sasa kuliko urusi kiuchumi
vipi mkuu???Marekani ni changanyikeni, kila nasaba ya binadamu ipo huko inatafuta maisha.
Marekani ni changanyikeni, kila nasaba ya binadamu ipo huko inatafuta maisha.
Wazi kabisa.Urusi ipo vizuri kijeshi sio kiuchumi, imeachwa mbali na marekani, China na Japan.
Urusi ipo vizuri kijeshi sio kiuchumi, imeachwa mbali na marekani, China na Japan.
Kama Elon Musk ni mkaburu ila amekuwa tajiri namba moja in the name of America.Na hapo ndipo walipotokea. Maana wanatumia talent za Dunia nzima.
Hutaki ama unahitaji malumbano? Hilo ndo limepelekea NATO kuundwa.Kijeshi inaizidi marekani msomi???
Kijeshi inaizidi marekani msomi???
Land of opportunities...Na hapo ndipo walipotokea. Maana wanatumia talent za Dunia nzima.
Kama Elon Musk ni mkaburu ila amekuwa tajiri namba moja in the name of America.
Land of opportunities...
Washirika wa Urusi ni Iran, Belarus, North Korea na kidogo China (japo hawajampa silaha)...Hapo wapo 50 50. Ila Urusi namkubali maana anasimamia mwenyewe hana washirika kwenye Vita.