Kati ya Urusi na Marekani ni nchi ipi inaongoza kwa vijana kwenda kutafuta fursa?

Kati ya Urusi na Marekani ni nchi ipi inaongoza kwa vijana kwenda kutafuta fursa?

Sawa nenda USA mama zangu wapo huko wanapiga uber na wapo vizuri
Amadala naenda chicago pale uptown kuna click kibao wapo watanzania wengi as gang banger,s, kwenye fiction tofauti tofauti nikabangaize some dollar's.Maana urusi kushakua nongwa naweza nikajikuta wagner group au kama kakangu mrisho ambae mpaka leo yuko kule siberia anakata magogo.
 
Hutaki ama unahitaji malumbano? Hilo ndo limepelekea NATO kuundwa.
Nato haikuundwa sababu Urusi aliizidi Marekani, Urusi nayo iliunda umoja wake wa kujihami pia sema ukaja kuvunjika na nchi nyingi zilizokuwa upande wa Urusi zikahamia upande wa Marekani, na Urusi ambayo ilikuwa Umoja wa Usovieti kipindi hicho ikasambaratika
 
Nato haikuundwa sababu Urusi aliizidi Marekani, Urusi nayo iliunda umoja wake wa kujihami pia sema ukaja kuvunjika na nchi nyingi zilizokuwa upande wa Urusi zikahamia upande wa Marekani, na Urusi ambayo ilikuwa Umoja wa Usovieti kipindi hicho ikasambaratika
Urusi iliunda USSR na USA iliunda NATO
 
Kati ya Urusi na Marekani ni nchi ipi inaongoza kwa watu duniani kuomba hifadhi. Hivi vijana wa dunia hii ukiwaambia wachague kuishi marekani au urusi,watakimbilia wapi?
Huwa ninashangaa sana kwa mfano kwenye hii vita mtu anashabikia Urusi, ukiwambia kuna VISA ya bure kwenda Urusi hakubali😀😀😛
 
Kati ya Urusi na Marekani ni nchi ipi inaongoza kwa watu duniani kuomba hifadhi. Hivi vijana wa dunia hii ukiwaambia wachague kuishi marekani au urusi,watakimbilia wapi?
Na pia tupe mfano iliyo wazi tojue wale walio US hasa WATANZANIA wana maendeleo yanayo onekana hapa TANZANIA unaweza kusema hii ni Mradi au BIASHARA au Nyumba iliyo standard ni mafanikio ya Jamaa alikuwa anaishi US tujue na sisi.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Marekani wana mambo ya kifala ndio shida yao. Sema hata Urusi ikiwa taifa namba moja kiuchumi wengi watakimbilia huko.
Ufala gan?? Bas muende Urusi kusiko na ufalaa. Lakini hamuendi lol.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unafikiiiii
 
Halafu wanaushabikia kijnga Sana, Hadi msemaji wa ikulu na waziri wa uchukuzi Ni mashoga.
Wako very proud, hutaki kunywa sumu, na hawajakulazilisha uende huko, shobo zako ndo zitakupelekaaaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Marekani ina uhuru wa kila jambo liwe jema au baya ili mradi huvunji sheria za Marekani zilizowekwa..

Ni wewe uamue ufanye mema au mabaya within the laws...

Note:Ubaya hapa sizungumzii uhalifu.ila kuna mambo yaliyo kinyume na tamaduni na maadili ya kiafrika Marekani yana ruhusiwa kabisa.
Si ungesema Ushogaa, kwann uogopee???
Ushoga ruksaaa USA. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom