Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #61
Amadala naenda chicago pale uptown kuna click kibao wapo watanzania wengi as gang banger,s, kwenye fiction tofauti tofauti nikabangaize some dollar's.Maana urusi kushakua nongwa naweza nikajikuta wagner group au kama kakangu mrisho ambae mpaka leo yuko kule siberia anakata magogo.Sawa nenda USA mama zangu wapo huko wanapiga uber na wapo vizuri