Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Inawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili kubalansi story yako ingependeza kwenye uzi huu na Magufuli angekuwa hai ,kwa sasa hii ni porojo tuInawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii
View attachment 1770962
Tunafanya rating kwa kuangalia kwenye kauli zao za nyuma. Jitu lipi limekuwa libabe likiongea mauongo tuuu na lisilopenda watu wakweli vs mtu mkweli asiyependa uongo na ambaye huko nyuma kauli zake hazina mawaaa.Inawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii
View attachment 1770962
Katika uhai wake alitoa hata robo ya hizo ?Ili kubalansi story yako ingependeza kwenye uzi huu na Magufuli angekuwa hai ,kwa sasa hii ni porojo tu
Ila mazuri ya Magu yakisemwa kwa Sasa sio porojo. Au inasemaje mkuu?Ili kubalansi story yako ingependeza kwenye uzi huu na Magufuli angekuwa hai ,kwa sasa hii ni porojo tu
Kwa asili viongozi wa CCM ni waongo waongo lakini kwenye hili angalau tunaweza kumwamini mwenye uwezo wa kuzitoa hizo ajira ambaye ni SSH.
Itatuchukua muda kuzoea, lakini mama Samia ameamua kuivua Tanzania gwanda la uwongo na kuivika nguo ya ukweli.Inawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii
View attachment 1770962
Aiseee!Itatuchukua muda kuzoea, lakini mama Samia ameamua kuivua Tanzania gwanda la uwongo na kuivika nguo ya ukweli...
Corona kiboko ya madiktetaMungu mkubwa sana ,huwezi kuamini kuna mtu yupo kwenye udongo na kujitamba kote wadudu wanamla nyama na wamemzunguka
Tena wanasema moja ya sababu ya kuporomoka kiuchumi ni Covid-19 waliyokuwa wakikana kuwepo nchini kwetu..Ni maajabu haya. Zimwi la uchafuzi 28/10 linawasumbua.Halafu wanasema Uchumi umeporomoka ...hizo ni ahadi HEWA ..wanyonge
mupo...
Ni aibu kubwa sana !Kuna mmoja hapo alishawahi pia kudanganya bungeni kuhusu ajira elfu 5000 za walimu! Eti waliajiriwa wiki mbili zilizopita!! Wizi mtupu!! 😞