Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
CCM ni matapeli!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii
View attachment 1770962
Kamwambie naye awepo.Ili kubalansi story yako ingependeza kwenye uzi huu na Magufuli angekuwa hai ,kwa sasa hii ni porojo tu
Hayo ni maswala ya kisekta. Naamini Mama Samia amezungumzia ajira za moja kwa moja toka serikalini. Za Magufuli itakuwa pamoja na zinazoletwa na miradi mikubwa ya uwekezaji, viwanda kilimo nk. Changamsha akili acha kuwa tegemezi hadi ktk kufikiri mambo madogo madogo.
We muoga na mjinga ambaye bado unaogopa kivuli cha hayati.Itatuchukua muda kuzoea, lakini mama Samia ameamua kuivua Tanzania gwanda la uwongo na kuivika nguo ya ukweli.
Magufuli alikuwa anaishi kwenye dunia ya UWONGO. Angalia hapa;
-Alidanganya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019
- Alidanganya PhD yake
- Alidanganya Makainikia kuwa tunapata Tsh Trilion 450
- Alidanganya kukua kwa uchumi kuwa unakuwa kwa 7.9% wakati Ni 4.2%
- Alidanganya kuwa tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu wakati anakopa Benki za kimataifa
- Alidanganya uchaguzi Mkuu 2020
- Alidanganya kuwa COVID 19 haiko Tanzania
Hata alipokufa;
-Majaliwa aliendelea kudanganya kuwa Rais anapitia mafaili
LAKINI:
Ni SSH aliyetuhabarisha kwa mara ya kwanza kuwa Mwendazake anaumwa na anakaguliwa. Hatimaye akatutangazia kuwa Mwendazake HATUNAYE
Na hapo ndiyo mwanzo wa Tanzania kuanza kuishi kwenye Dunia ya UKWELI, tumzoee Mama Samia
Tunawadai ccm ajira 18,540,000.00Inawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii
View attachment 1770962
Nani aigope maiti ya yule pimbi Mwendazake ambaye tumemfukia Chato?? Siyo MimiWe muoga na mjinga ambaye bado unaogopa kivuli cha hayati.
Kama unawivu nayeye kwanini usimfuate acha kutufokea.Mungu mkubwa sana ,huwezi kuamini kuna mtu yupo kwenye udongo na kujitamba kote wadudu wanamla nyama na wamemzunguka
Kama unawivu nayeye kwanini usimfuate acha kutufokea. Unamwandikia nani sasa hayo maneno, si umfwate huko ili ukamwambie vizuri kuliko kutupigia kelele hapa.Itatuchukua muda kuzoea, lakini mama Samia ameamua kuivua Tanzania gwanda la uwongo na kuivika nguo ya ukweli.
Magufuli alikuwa anaishi kwenye dunia ya UWONGO. Angalia hapa;
-Alidanganya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019
- Alidanganya PhD yake
- Alidanganya Makainikia kuwa tunapata Tsh Trilion 450
- Alidanganya kukua kwa uchumi kuwa unakuwa kwa 7.9% wakati Ni 4.2%
- Alidanganya kuwa tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu wakati anakopa Benki za kimataifa
- Alidanganya uchaguzi Mkuu 2020
- Alidanganya kuwa COVID 19 haiko Tanzania
Hata alipokufa;
-Majaliwa aliendelea kudanganya kuwa Rais anapitia mafaili
LAKINI:
Ni SSH aliyetuhabarisha kwa mara ya kwanza kuwa Mwendazake anaumwa na anakaguliwa. Hatimaye akatutangazia kuwa Mwendazake HATUNAYE
Na hapo ndiyo mwanzo wa Tanzania kuanza kuishi kwenye Dunia ya UKWELI, tumzoee Mama Samia
Kazi ya binadamu wenye akili na upeo kama mimi ni kusaidia kuelimisha vilaza na vihiyo kama Meneja Wa Makampuni bila choyo wala malipoKama unawivu nayeye kwanini usimfuate acha kutufokea. Unamwandikia nani sasa hayo maneno, si umfwate huko ili ukamwambie vizuri kuliko kutupigia kelele hapa.
Don't be st........ .we r not an island , on economic point of view effects of corona even if we didn't have it, but others did and they continue to have it , hence there are certain business with others which are not operating at the level or in a degraded fashion/wayTena wanasema moja ya sababu ya kuporomoka kiuchumi ni Covid-19 waliyokuwa wakikana kuwepo nchini kwetu..Ni maajabu haya. Zimwi la uchafuzi 28/10 linawasumbua.
Wahuni kabisa Hawa halafu wanajiita waheshimiwaInawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii.
MkuuInawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii.
Porojo wapigie wajingaMkuu
Usiwe unapenda kuita kama hauna utafiti aushi
1. Ajira mil 8 ni kwa kipindi cha ndani ya miaka mitano tangu 2020-2025 kwa mjibu wa ilani ya chama chao
2. Ajira mil 12 ni kwa mjibu wa uwezo wa kuajiri endapo furasa zinazotegemewa kuwekezwa ndani ya miaka mitano zaweza kufanyika
3. Ajira Elfu 40 ni kwa mwaka wa bajeti kuanzia Julai 2021 sio miaka mitano
4. Ajira Laki 5 ni mujumuiko wa sekta zote za serikali, umma na binafsi kwa bajeti iliyopangwa na fursa za kiuchumi zikiwa tayari
Mwaka haujaisha halafu unadai kudanganywa je, unatumia kigezo gani cha ithibati?
Hawajawahi kuzidi laki 6Samahani serikali uwa ina watumishi wangapi kwa ujumla?