Kati ya Viongozi hawa Tumuamini nani , mbona wanatufanya Watanzania ni wajinga kiasi hiki?

Kati ya Viongozi hawa Tumuamini nani , mbona wanatufanya Watanzania ni wajinga kiasi hiki?

Wote waongo waliokithiri.
Hayo ni maswala ya kisekta. Naamini Mama Samia amezungumzia ajira za moja kwa moja toka serikalini. Za Magufuli itakuwa pamoja na zinazoletwa na miradi mikubwa ya uwekezaji, viwanda kilimo nk. Changamsha akili acha kuwa tegemezi hadi ktk kufikiri mambo madogo madogo.
 
Ndani ya CCM kuna ubabaishaji mwingi....inasikitisha saana!!
 
Itatuchukua muda kuzoea, lakini mama Samia ameamua kuivua Tanzania gwanda la uwongo na kuivika nguo ya ukweli.

Magufuli alikuwa anaishi kwenye dunia ya UWONGO. Angalia hapa;
  • Alidanganya PhD yake
  • Alidanganya Makainikia kuwa tunapata Tsh Trilion 450
  • Alidanganya kukua kwa uchumi kuwa unakuwa kwa 7.9% wakati Ni 4.2%
  • Alidanganya kuwa tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu wakati anakopa Benki za kimataifa
-Alidanganya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019
  • Alidanganya uchaguzi Mkuu 2020
  • Alidanganya kuwa COVID 19 haiko Tanzania

Hata alipokufa;
-Majaliwa aliendelea kudanganya kuwa Rais anapitia mafaili

LAKINI:
Ni SSH aliyetuhabarisha kwa mara ya kwanza kuwa Mwendazake anaumwa na anakaguliwa. Hatimaye akatutangazia kuwa Mwendazake HATUNAYE

Na hapo ndiyo mwanzo wa Tanzania kuanza kuishi kwenye Dunia ya UKWELI, tumzoee Mama Samia
We muoga na mjinga ambaye bado unaogopa kivuli cha hayati.
 
Samahani serikali uwa ina watumishi wangapi kwa ujumla?
 
Itatuchukua muda kuzoea, lakini mama Samia ameamua kuivua Tanzania gwanda la uwongo na kuivika nguo ya ukweli.

Magufuli alikuwa anaishi kwenye dunia ya UWONGO. Angalia hapa;
  • Alidanganya PhD yake
  • Alidanganya Makainikia kuwa tunapata Tsh Trilion 450
  • Alidanganya kukua kwa uchumi kuwa unakuwa kwa 7.9% wakati Ni 4.2%
  • Alidanganya kuwa tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu wakati anakopa Benki za kimataifa
-Alidanganya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019
  • Alidanganya uchaguzi Mkuu 2020
  • Alidanganya kuwa COVID 19 haiko Tanzania

Hata alipokufa;
-Majaliwa aliendelea kudanganya kuwa Rais anapitia mafaili

LAKINI:
Ni SSH aliyetuhabarisha kwa mara ya kwanza kuwa Mwendazake anaumwa na anakaguliwa. Hatimaye akatutangazia kuwa Mwendazake HATUNAYE

Na hapo ndiyo mwanzo wa Tanzania kuanza kuishi kwenye Dunia ya UKWELI, tumzoee Mama Samia
Kama unawivu nayeye kwanini usimfuate acha kutufokea. Unamwandikia nani sasa hayo maneno, si umfwate huko ili ukamwambie vizuri kuliko kutupigia kelele hapa.
 
Tena wanasema moja ya sababu ya kuporomoka kiuchumi ni Covid-19 waliyokuwa wakikana kuwepo nchini kwetu..Ni maajabu haya. Zimwi la uchafuzi 28/10 linawasumbua.
Don't be st........ .we r not an island , on economic point of view effects of corona even if we didn't have it, but others did and they continue to have it , hence there are certain business with others which are not operating at the level or in a degraded fashion/way
 
Inawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii.

Mkuu

Usiwe unapenda kuita kama hauna utafiti aushi
1. Ajira mil 8 ni kwa kipindi cha ndani ya miaka mitano tangu 2020-2025 kwa mjibu wa ilani ya chama chao
2. Ajira mil 12 ni kwa mjibu wa uwezo wa kuajiri endapo furasa zinazotegemewa kuwekezwa ndani ya miaka mitano zaweza kufanyika
3. Ajira Elfu 40 ni kwa mwaka wa bajeti kuanzia Julai 2021 sio miaka mitano
4. Ajira Laki 5 ni mujumuiko wa sekta zote za serikali, umma na binafsi kwa bajeti iliyopangwa na fursa za kiuchumi zikiwa tayari

Mwaka haujaisha halafu unadai kudanganywa je, unatumia kigezo gani cha ithibati?
 
Mkuu

Usiwe unapenda kuita kama hauna utafiti aushi
1. Ajira mil 8 ni kwa kipindi cha ndani ya miaka mitano tangu 2020-2025 kwa mjibu wa ilani ya chama chao
2. Ajira mil 12 ni kwa mjibu wa uwezo wa kuajiri endapo furasa zinazotegemewa kuwekezwa ndani ya miaka mitano zaweza kufanyika
3. Ajira Elfu 40 ni kwa mwaka wa bajeti kuanzia Julai 2021 sio miaka mitano
4. Ajira Laki 5 ni mujumuiko wa sekta zote za serikali, umma na binafsi kwa bajeti iliyopangwa na fursa za kiuchumi zikiwa tayari

Mwaka haujaisha halafu unadai kudanganywa je, unatumia kigezo gani cha ithibati?
Porojo wapigie wajinga
 
Back
Top Bottom