Kati ya Viongozi hawa Tumuamini nani , mbona wanatufanya Watanzania ni wajinga kiasi hiki?

Kati ya Viongozi hawa Tumuamini nani , mbona wanatufanya Watanzania ni wajinga kiasi hiki?

Hayo ni maswala ya kisekta. Naamini Mama Samia amezungumzia ajira za moja kwa moja toka serikalini. Za Magufuli itakuwa pamoja na zinazoletwa na miradi mikubwa ya uwekezaji, viwanda kilimo nk. Changamsha akili acha kuwa tegemezi hadi ktk kufikiri mambo madogo madogo.
Huu ndio unaitwa uvivu wa kufikiri aliousema Hayati Mkapa.

Jamaa kachukua picha kama ilivyo na kuianzishia uzi bila hata kujiongeza.
 
Itatuchukua muda kuzoea, lakini mama Samia ameamua kuivua Tanzania gwanda la uwongo na kuivika nguo ya ukweli.

Magufuli alikuwa anaishi kwenye dunia ya UWONGO. Angalia hapa;
  • Alidanganya PhD yake
  • Alidanganya Makainikia kuwa tunapata Tsh Trilion 450
  • Alidanganya kukua kwa uchumi kuwa unakuwa kwa 7.9% wakati Ni 4.2%
  • Alidanganya kuwa tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu wakati anakopa Benki za kimataifa
-Alidanganya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019
  • Alidanganya uchaguzi Mkuu 2020
  • Alidanganya kuwa COVID 19 haiko Tanzania

Hata alipokufa;
-Majaliwa aliendelea kudanganya kuwa Rais anapitia mafaili

LAKINI:
Ni SSH aliyetuhabarisha kwa mara ya kwanza kuwa Mwendazake anaumwa na anakaguliwa. Hatimaye akatutangazia kuwa Mwendazake HATUNAYE

Na hapo ndiyo mwanzo wa Tanzania kuanza kuishi kwenye Dunia ya UKWELI, tumzoee Mama Samia
ubarikiwe kwa jina la jamuhuri ya muungano wa tanzania
 
Inawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii.

Tatizo letu tunadhani kuwa ajira ni serikali pekee, nadhani hapo walikuwa wanazumgumzia in private sectors na serikalini na hii ni baada ya kukua kwa uchumi...
 
Tatizo letu tunadhani kuwa ajira ni serikali pekee, nadhani hapo walikuwa wanazumgumzia in private sectors na serikalini na hii ni baada ya kukua kwa uchumi...
Private sector ipi unayoisema ?
 
Back
Top Bottom