Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Mjinga ni wewe ambaye hueleweiPorojo wapigie wajinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga ni wewe ambaye hueleweiPorojo wapigie wajinga
Kwi Kwi KwiMjinga ni wewe ambaye huelewei
Huu ndio unaitwa uvivu wa kufikiri aliousema Hayati Mkapa.Hayo ni maswala ya kisekta. Naamini Mama Samia amezungumzia ajira za moja kwa moja toka serikalini. Za Magufuli itakuwa pamoja na zinazoletwa na miradi mikubwa ya uwekezaji, viwanda kilimo nk. Changamsha akili acha kuwa tegemezi hadi ktk kufikiri mambo madogo madogo.
ubarikiwe kwa jina la jamuhuri ya muungano wa tanzaniaItatuchukua muda kuzoea, lakini mama Samia ameamua kuivua Tanzania gwanda la uwongo na kuivika nguo ya ukweli.
Magufuli alikuwa anaishi kwenye dunia ya UWONGO. Angalia hapa;
-Alidanganya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019
- Alidanganya PhD yake
- Alidanganya Makainikia kuwa tunapata Tsh Trilion 450
- Alidanganya kukua kwa uchumi kuwa unakuwa kwa 7.9% wakati Ni 4.2%
- Alidanganya kuwa tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu wakati anakopa Benki za kimataifa
- Alidanganya uchaguzi Mkuu 2020
- Alidanganya kuwa COVID 19 haiko Tanzania
Hata alipokufa;
-Majaliwa aliendelea kudanganya kuwa Rais anapitia mafaili
LAKINI:
Ni SSH aliyetuhabarisha kwa mara ya kwanza kuwa Mwendazake anaumwa na anakaguliwa. Hatimaye akatutangazia kuwa Mwendazake HATUNAYE
Na hapo ndiyo mwanzo wa Tanzania kuanza kuishi kwenye Dunia ya UKWELI, tumzoee Mama Samia
Una chuki zaidi ya shetani BwasheeeMungu mkubwa sana ,huwezi kuamini kuna mtu yupo kwenye udongo na kujitamba kote wadudu wanamla nyama na wamemzunguka
Tatizo letu tunadhani kuwa ajira ni serikali pekee, nadhani hapo walikuwa wanazumgumzia in private sectors na serikalini na hii ni baada ya kukua kwa uchumi...Inawezekana ni kweli kwamba Watanzania ni wajinga na hawatunzi kumbukumbu kutokana na ujinga wao , lakini siamini kama watu hawa ni mbumbumbu kiasi cha kudanganywa kibwege namna hii.
Private sector ipi unayoisema ?Tatizo letu tunadhani kuwa ajira ni serikali pekee, nadhani hapo walikuwa wanazumgumzia in private sectors na serikalini na hii ni baada ya kukua kwa uchumi...
Watu binafsi na ofisi zao..Private sector ipi unayoisema ?
Kazi ya binadamu wenye akili na upeo kama mimi ni kusaidia kuelimisha vilaza na vihiyo kama Meneja Wa Makampuni bila choyo wala malipo