Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #21
Anatabiri league kuu huku akitazama upepo.Vipi bilionea shillah nae hajasema lolote mpaka sasa??
Unabii wa upepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatabiri league kuu huku akitazama upepo.Vipi bilionea shillah nae hajasema lolote mpaka sasa??
Sasa hapo ametabiri nn,hivi mnasoma biblia kweli, urus ya kisoviet ilishakuwa taifa kubwa ikasambaratishwaIlishatabiriwa na mchungaji fulan enzi hizo kuwa Urusi itainuka na kuwa taifa kubwa na vita itakayoanzisha itagawanya dunia katika mataifa manne(japo yeye alisema mataifa mane) hakutiliwa maanani coz alikuwa kilocal sana
bongo hakuna nabiiMbona walitabiri.
Mtazame Mch Rolinga
Sasa hapo ametabiri nn,hivi mnasoma biblia kweli, urus ya kisoviet ilishakuwa taifa kubwa ikasambaratishwaTafuta clip ya Moses Kurola kuna kitu utakipata
Na nchi hiyo lilikuwa upande wa kaskazini mwa Asia na Ulaya, ambayo sasahivi ni Maeneo ya nchi ya Urusi. Hatima ya hilo Taifa la Magogu, biblia haijaieleza, lakini ni wazi kuwa lilikuja kupotea kama yalivyopotea mataifa mengine yaliyokuwa hodari kama Babeli.Ezekieli 38:1 “Neno la Bwana likanijia, kusema,
2 Mwanadamu, kaza uso wako, umwelekee GOGU, wa NCHI YA MAGOGU, mkuu wa Roshi, Mesheki, na Tubali, ukatabiri juu yake”,
tapeli huyo bongo hakuna nabiiKuna mmoja anajiita nabii wa ishara tanzania alitabiri ukimgugo utaona na alisema mara mbili kabla ya vita
Sawa mkuuSasa hapo ametabiri nn,hivi mnasoma biblia kweli, urus ya kisoviet ilishakuwa taifa kubwa ikasambaratishwa
biblia inatabiri super power ni USA
unabii kuhus urusi kwenye bibli soma daniel na ezekiel ,na bado haujatimia
alichoeleza moses kolola ni alichosema daniel
Mfalme wa kaskazini na kusini wote ni watenda madhara, hupigana na kuitana mezani kuzungumza halafu wanaambiana uongo kwenye vikao. Na mapatano yao hayadumu, huvunjika, na Mfalme wa kusini siku zote ni mkorofi na anaogopeka, maana vita ndio suluhu yake lakini mfalme wa kaskazini humshinda kirahisi. Daniel 11:27 KJV
Mfalme wa Kaskazini ni tajiri zaidi na anao washirika wengi, wa kusini anao uwezo wa kivita ambao ndio kinga yake kuu na utisho. Lakini mwisho hukimbiwa na wengi na kumwacha mfalme wa Kaskazini katika ukuu wa dunia.
Na zamani zile watu wengi watasimama ili kumpinga mfalme wa kusini;...Dan 11:14 SUV
Hivyo mwisho wa mfalme wa kusini ni kukataliwa na kubakia bila nguvu na kuwa chini ya mfalme wa Kaskazini ambaye atatawala hadi wakati ulio amriwa.
Pichani ni Bush na Reagan wakiwa na Rais wa Umoja wa Kisovieti Mikhail Gorbachev huko Lower Manhattan, nyuma ya Minara Pacha. 1988
View attachment 2165507