Kati ya Waziri January Makamba na Rais Samia, nani alimteua Maharage kuwa Mkurugenzi Tanesco?

Kati ya Waziri January Makamba na Rais Samia, nani alimteua Maharage kuwa Mkurugenzi Tanesco?

Changamoto za Tanesco hazijaanza leo na hazitaisha kesho kama bunge/raisi hatotenganisha production na transmission/distribution. Tanesco ibaki kwenye transmission na distribution tu. Production ya umeme ifanywe na serikali kupitia separate company, pia sector binafsi iendelee zalisha umeme kama sasa ila iwekewe sheria wezeshi.

Yakifanyika hayo basi hata hizi lawama tunazowapa wakurugenzi zitapungua.
Nchi zipi duniani kwa mfano zinatenda ulichoongea na zimefanikiwa?

List hapa chini
1.....
2.....
3.....
4......
 
View attachment 2761437
View attachment 2761435
Salam wakuu.

Naomba kwanza kupandisha clip ya January Makamba akiwa Waziri wa Nishati na pia kuweka barua ya Ikulu ya teuzi.
View attachment 2761435
Baada ya kumsikiliza January Makamba na kurejea barua ya Ikulu,je ni nani haswa alihusika na anahusika na hizi teuzi zinazotangazwa kutoka Ikulu?!!

Kwa sasa tumeona Maharage Chande kapelekwa TTCL,je huko amefanyiwa usaili na ....?!!

Alichoongea January, ni kudhihirisha kuwa mengi ya Tanesco Rais Samia hahusiki na wapo wanaohusika ama ndio kuwa huko kwenye teuzi mambo ni zigzag kila mtu na don wake na barua zinazotoka ni ceremonial tu za kiitifaki?!
Alipendekezwa na kipara kijana jina likapelekwa kwa hangaya ambaye bila kuchimba zaidi akaridhia na kuteua maana ndio mamlaka ya uteuzi kwa wakurugenzi.
 
Changamoto za Tanesco hazijaanza leo na hazitaisha kesho kama bunge/raisi hatotenganisha production na transmission/distribution. Tanesco ibaki kwenye transmission na distribution tu. Production ya umeme ifanywe na serikali kupitia separate company, pia sector binafsi iendelee zalisha umeme kama sasa ila iwekewe sheria wezeshi.

Yakifanyika hayo basi hata hizi lawama tunazowapa wakurugenzi zitapungua.
Hapo kwenye Production mkuu ungetumia neno generation ingependeza zaidi...
 
Makamba ni janga la taifa. Yeye anafanya usaili wa kumpata Mkurugenzi mtendaji wa umeme nchini, anajua nini kuhusu umeme? Kwanini nafasi isitangazwe na usaili ukafanywa na wenye sifa za utalaamu huo?

DSTV ni kampuni ya Afrika Kusini na dada yake yuko huko. Kwa hiyo dada kamtafutia mshikaji wake ukurugenzi wa tanesco kupitia kwa kaka yake. Raisi kachomekewa tu. Teuzi za watendaji wakuu wa serikali na tasisi za serikali sasa zimekuwa za kisiasa. Hata huko mambo ya nje Makamba kaenda na watu wake.
 
Alipendekezwa na kipara kijana jina likapelekwa kwa hangaya ambaye bila kuchimba zaidi akaridhia na kuteua maana ndio mamlaka ya uteuzi kwa wakurugenzi.

Yawezekana kweli alipendekezwa Ila ukimsikiliza Makamba,ni kama yeye ndio aliamua!! Huenda pia lile suala la wateule kutangazwa na baadae kutenguliwa kabla hata ya kuhapa chanzo ni hiki,kua watu wanatoa vimemo tu!!
 
Yawezekana kweli alipendekezwa Ila ukimsikiliza Makamba,ni kama yeye ndio aliamua!! Huenda pia lile suala la wateule kutangazwa na baadae kutenguliwa kabla hata ya kuhapa chanzo ni hiki,kua watu wanatoa vimemo tu!!
Samia ana mwamini sn Makamba kupita kiasi ni sawa na Ummy, Aweso, Mchengerwa, Bashe, Nape hawa humwambii kitu maza
 
View attachment 2761437
View attachment 2761435
Salam wakuu.

Naomba kwanza kupandisha clip ya January Makamba akiwa Waziri wa Nishati na pia kuweka barua ya Ikulu ya teuzi.
View attachment 2761435
Baada ya kumsikiliza January Makamba na kurejea barua ya Ikulu,je ni nani haswa alihusika na anahusika na hizi teuzi zinazotangazwa kutoka Ikulu?!!

Kwa sasa tumeona Maharage Chande kapelekwa TTCL,je huko amefanyiwa usaili na ....?!!

Alichoongea January, ni kudhihirisha kuwa mengi ya Tanesco Rais Samia hahusiki na wapo wanaohusika ama ndio kuwa huko kwenye teuzi mambo ni zigzag kila mtu na don wake na barua zinazotoka ni ceremonial tu za kiitifaki?!
Pengine tumerudi mahali hizi teuzi watu wananunua. Siwezi fikiri mama anaweza kama alivyokua jpm kutolala hadi asubuhi ili kujua nani hao anapendekezewa au anataka wateua. Kama huyo omar issa aliyekua amepewa uenyenyekiti wa bodi tanesco. Sijui hata kama wanauza hao wauzaji wanaelewa uzito wa nafasi kama hiyo.🤔
 
Back
Top Bottom