Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sawa mkuuUsipoweka , koma kwenye reply Yako, inaleta tafsiri ingine kabisa, edit weka koma panapostahili.🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuUsipoweka , koma kwenye reply Yako, inaleta tafsiri ingine kabisa, edit weka koma panapostahili.🙏
Kwamba tuamini hata Foreign affairs alijipeleka mwenyewe huko?Samia ana mwamini sn Makamba kupita kiasi ni sawa na Ummy, Aweso, Mchengerwa, Bashe, Nape hawa humwambii kitu maza
Upo sahihi huyu huwa analetewa tu anakubaliana naoPengine tumerudi mahali hizi teuzi watu wananunua. Diwezi fikiri mama anaweza kama alivyokua jpm kutolala hadi asubuhi ili kujua nani hao anapendekezewa. Kama huyo omar issa aliyepewa uenyenyekiti wa bodi tanesco. Sijui hsta hao wauzaji wanaelewa uzito wa nafasi kama hiyo.🤔
Hapo alipewa maelekezo na JKKwamba tuamini hata Foreign affairs alijipeleka mwenyewe huko?
TumuombeeNaamini akipewa support anaweza kufanya kitu....maana ametokea telecom anaijua vizuri sana....kuna wakati JK ilikuwa apewe TTCL sijui nini kilitokea
Kapelekwa kuizika TTCL maana tayari ilishakufaKwa sasa tumeona Maharage Chande kapelekwa TTCL,je huko amefanyiwa usaili na ....?!! MOSTLY!
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti kipara kabisa naye anaamini anaweza kuwa CEO!!Hapo alipewa maelekezo na JK
Sahivi unaongozwa na watu gani?Eti kipara kabisa naye anaamini anaweza kuwa CEO!!
Tusiruhusu kuingia uchaguzi wowote bila KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi,
Tunaweza ongozwa na majizi one day!!
Hapo kwenye majizi, weka machizi!!Sahivi unaongozwa na watu gani?
Kwa sasa tumeona Maharage Chande kapelekwa TTCL,je huko amefanyiwa usaili na ....?!!
Bw.Paschal Mayala,baada ya yaliyotokea kwenye wizara ya Nishati bado msimamo wako kuhusiana na Januari uko pale pale?Duh!.
P
Kuna wakati mie nawaza je kama sie watu wa nje tuona ni utendaji mbovu je kweli yye kma kiongozi wa ngazi ya juuu kweli haoni?
Viongozi wengi wakuu wa nchi nyingi,hasa za kiafrika, wanatafuta madaraka au Dola kwa kusaidiana na watu wenye mlengo unaofanana.Kwamba tuamini hata Foreign affairs alijipeleka mwenyewe huko?
Magu aliwatosa waliokuwa wakitengeneza matokeo fake kumbeba!!Viongozi wengi wakuu wa nchi nyingi,hasa za kiafrika, wanatafuta madaraka au Dola kwa kusaidiana na watu wenye mlengo unaofanana.
Na wanapofanikiwa kukamata Dola mara nyingi wanapenda kuwateau washirika waliowasaidia kushika Dola kwa njia moja au nyingine, katika nafasi mbali mbali,zikiwemo uwaziri au washauri wa Karibu.
Sometimes inakua ngumu kwa mteuaji kuwapotezea watu wa aina hiyo, especially kama bado Wana ambitions za kisiasa. Na inakua even extra difficult ikitokea kama ilivyotokea Tanzania, manake mchango wa wapiga kura hubadirika kadri siku na hali ya kisiasa inavyokua kwa wakati husika.
Nani angependa kufuata nyayo za magufuli!? Inahitajika uthubutu wa kiwango cha juu sana.Magu aliwatosa waliokuwa wakitengeneza matokeo fake kumbeba!!
Yule ndo anahitajika wa vile!!
Wapo wengi tu,Nani angependa kufuata nyayo za magufuli!? Inahitajika uthubutu wa kiwango cha juu sana.
Wafu huambatana na wafu wenzao!View attachment 2761437
View attachment 2761435
Salam wakuu.
Naomba kwanza kupandisha clip ya January Makamba akiwa Waziri wa Nishati na pia kuweka barua ya Ikulu ya teuzi.
Baada ya kumsikiliza January Makamba na kurejea barua ya Ikulu, je ni nani haswa alihusika na anahusika na hizi teuzi zinazotangazwa kutoka Ikulu?
Kwa sasa tumeona Maharage Chande kapelekwa TTCL, je huko amefanyiwa usaili na?
Alichoongea January, ni kudhihirisha kuwa mengi ya Tanesco Rais Samia hahusiki na wapo wanaohusika ama ndio kuwa huko kwenye teuzi mambo ni zigzag kila mtu na don wake na barua zinazotoka ni ceremonial tu za kiitifaki?