mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Nchi zipi duniani kwa mfano zinatenda ulichoongea na zimefanikiwa?Changamoto za Tanesco hazijaanza leo na hazitaisha kesho kama bunge/raisi hatotenganisha production na transmission/distribution. Tanesco ibaki kwenye transmission na distribution tu. Production ya umeme ifanywe na serikali kupitia separate company, pia sector binafsi iendelee zalisha umeme kama sasa ila iwekewe sheria wezeshi.
Yakifanyika hayo basi hata hizi lawama tunazowapa wakurugenzi zitapungua.
Alipendekezwa na kipara kijana jina likapelekwa kwa hangaya ambaye bila kuchimba zaidi akaridhia na kuteua maana ndio mamlaka ya uteuzi kwa wakurugenzi.View attachment 2761437
View attachment 2761435
Salam wakuu.
Naomba kwanza kupandisha clip ya January Makamba akiwa Waziri wa Nishati na pia kuweka barua ya Ikulu ya teuzi.
View attachment 2761435
Baada ya kumsikiliza January Makamba na kurejea barua ya Ikulu,je ni nani haswa alihusika na anahusika na hizi teuzi zinazotangazwa kutoka Ikulu?!!
Kwa sasa tumeona Maharage Chande kapelekwa TTCL,je huko amefanyiwa usaili na ....?!!
Alichoongea January, ni kudhihirisha kuwa mengi ya Tanesco Rais Samia hahusiki na wapo wanaohusika ama ndio kuwa huko kwenye teuzi mambo ni zigzag kila mtu na don wake na barua zinazotoka ni ceremonial tu za kiitifaki?!
Hapo kwenye Production mkuu ungetumia neno generation ingependeza zaidi...Changamoto za Tanesco hazijaanza leo na hazitaisha kesho kama bunge/raisi hatotenganisha production na transmission/distribution. Tanesco ibaki kwenye transmission na distribution tu. Production ya umeme ifanywe na serikali kupitia separate company, pia sector binafsi iendelee zalisha umeme kama sasa ila iwekewe sheria wezeshi.
Yakifanyika hayo basi hata hizi lawama tunazowapa wakurugenzi zitapungua.
Aise member mwenzangu anashambuliwa sana aiseDaaa....jamaa kachukiwa ghafla ....amekosa nini kibaya hivyo ?
View attachment 2761437
View attachment 2761435
View attachment 2761435
Kwa sasa tumeona Maharage Chande kapelekwa TTCL,je huko amefanyiwa usaili na ....?!!
...NAPE
TBC ni ya Pascal,ila inabidi akaoge Deep-sea!Maharage anatakiwa aende TBC
EgyptNchi zipi duniani kwa mfano zinatenda ulichoongea na zimefanikiwa?
List hapa chini
1.....
2.....
3.....
4......
Ngoja wa Egyptian wakusikie kuwa nchi yao unasema iko africa
Alipendekezwa na kipara kijana jina likapelekwa kwa hangaya ambaye bila kuchimba zaidi akaridhia na kuteua maana ndio mamlaka ya uteuzi kwa wakurugenzi.
Samia ana mwamini sn Makamba kupita kiasi ni sawa na Ummy, Aweso, Mchengerwa, Bashe, Nape hawa humwambii kitu mazaYawezekana kweli alipendekezwa Ila ukimsikiliza Makamba,ni kama yeye ndio aliamua!! Huenda pia lile suala la wateule kutangazwa na baadae kutenguliwa kabla hata ya kuhapa chanzo ni hiki,kua watu wanatoa vimemo tu!!
Usipoweka , koma kwenye reply Yako, inaleta tafsiri ingine kabisa, edit weka koma panapostahili.🙏Makamba alimteua Samia yeye alimwapisha pekee
Pengine tumerudi mahali hizi teuzi watu wananunua. Siwezi fikiri mama anaweza kama alivyokua jpm kutolala hadi asubuhi ili kujua nani hao anapendekezewa au anataka wateua. Kama huyo omar issa aliyekua amepewa uenyenyekiti wa bodi tanesco. Sijui hata kama wanauza hao wauzaji wanaelewa uzito wa nafasi kama hiyo.🤔View attachment 2761437
View attachment 2761435
Salam wakuu.
Naomba kwanza kupandisha clip ya January Makamba akiwa Waziri wa Nishati na pia kuweka barua ya Ikulu ya teuzi.
View attachment 2761435
Baada ya kumsikiliza January Makamba na kurejea barua ya Ikulu,je ni nani haswa alihusika na anahusika na hizi teuzi zinazotangazwa kutoka Ikulu?!!
Kwa sasa tumeona Maharage Chande kapelekwa TTCL,je huko amefanyiwa usaili na ....?!!
Alichoongea January, ni kudhihirisha kuwa mengi ya Tanesco Rais Samia hahusiki na wapo wanaohusika ama ndio kuwa huko kwenye teuzi mambo ni zigzag kila mtu na don wake na barua zinazotoka ni ceremonial tu za kiitifaki?!
Makamba ni kati ya viongozi wa hovyo kabisaHizi nafasi za kuteuana kwa kujuana au kuwa na "god faza" ndio maana kila kukicha hakuna cha maana zaidi ya kuzidi kuporomoka na nchi kugubikwa na rushwa. Mfano makamba amewahi kufanya nini zaidi ya kuporomosha utendahi kila anapokaa!