Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #21
Mtani au unatuonea gere???Ubingwa pia una namna nyingi za kuupata.historia ya soka la Tanzania ilikuwa na mengi toka enzi za kina NDIMBO ZAMA HIZO.Ndio maana timu moja ilikuwa vizuri sana kimataifa kuliko nyingine.