Uchaguzi 2020 Katiba inaposema sifa za mgombea Urais ni kuwa na afya njema, msilidharau hili

Uchaguzi 2020 Katiba inaposema sifa za mgombea Urais ni kuwa na afya njema, msilidharau hili

Kuna mgombea anawafokea na kuwatisha wapiga kura hapa tunapima afya ya akili au mwili
 
Kazi ya Urais ni majukumu mazito. Katiba inaposema sifa ni Mtanzania mwenye afya njema hiki ni kipengele muhimu sana. Uchovu wa kazi unaweza kupelekea kutokuwa na muda wa kuangalia afya yako binafsi na kusababisha madhara makubwa ya afya...
Matumizi ya ile chopper aliyoipost Diamond ya Maccm yanaanza lini ?
 
Hasa afya ya akili ipewe kipaumbele zaidi, maana sijui tutapelekwa wapi tukikosea tena
 
Taili la gari hufungwa na Nut, wakati mwingine nut huweza kufunguka kwa bahati mbaya kisha taili kuchomoka huku gari likiwa katika mwendo. Tunajua nini hutokea baada ya mkasa huo.
Ebu tujiulize, nini kitatokea ikiwa tutapata kiongozi ambaye mwili wake umefungwa na NUT na kwa bahati mbaya NUT zingafunguka pengine bila yeye kujua?
Kwani yeye ni gari?
 
Katika taarifa yake kwa Taifa kuhusu kifo cha Rais JPM kuwa kimetokana na Ugonjwa wa MFUMO WA MOYO WA UMEME kwa zaidi ya miaka10(2010) iliyopita zinashangaza!

Hii inadhihirisha kuwa marehemu Magufuli aliteuliwa kuwa mgombea wa Urais akiwa na ugonjwa huo(2010-2021). Kwanini CCM waliamua kufanya hivi? Mtu anayeteuliwa kugombea nafasi muhimu na nyeti kama hii anatakiwa kuwa na Afya madhubuti. Rais ni Taasisi, ni Mkuu wa Muhimili wa Serikali, ni Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote ya Ulinxi na Usalama.

Huu ulikuwa uzembe mkubwa ulofanywa na CCM kuwateuliwa Watz mtu aliekuwa na afya isiyo madhubuti. Hii ilikuwa ni kutowatendea Haki Watanzania.

Tunataka CCM na vyama vote wanapoteua Wagombea wa Urais wawe watu wenye afya madhubuti.
 
Katika taarifa yake kwa Taifa kuhusu kifo cha Rais JPM kuwa kimetokana na Ugonjwa wa MFUMO WA MOYO WA UMEME kwa zaidi ya miaka10(2010) iliyopita zinashangaza!

Hii inadhihirisha kuwa marehemu Magufuli aliteuliwa kuwa mgombea wa Urais akiwa na ugonjwa huo(2010-2021). Kwanini CCM waliamua kufanya hivi? Mtu anayeteuliwa kugombea nafasi muhimu na nyeti kama hii anatakiwa kuwa na Afya madhubuti. Rais ni Taasisi, ni Mkuu wa Muhimili wa Serikali, ni Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote ya Ulinxi na Usalama.

Huu ulikuwa uzembe mkubwa ulofanywa na CCM kuwateuliwa Watz mtu aliekuwa na afya isiyo madhubuti. Hii ilikuwa ni kutowatendea Haki Watanzaniaz.

Tunataka CCM na vyama vote wanapoteua Wagombea wa Urais wawe watu wenye afya madhubuti.
 
Kazi ya Urais ni majukumu mazito. Katiba inaposema sifa ni Mtanzania mwenye afya njema hiki ni kipengele muhimu sana. Uchovu wa kazi unaweza kupelekea kutokuwa na muda wa kuangalia afya yako binafsi na kusababisha madhara makubwa ya afya.

Ningeshauri wagombea wawe wanafanyiwa upimaji wa afya pia katika mchujo wapewe nafasi ya kujieleza na sera zao katika lugha itakayokubalika.

Mgombea Urais anapofahamika hana afya njema, kumruhusu kuendelea na kampeni ni kuvunja katiba.
Una akilinsana we mtu, tunapochagua mtu asiye na afya nzuri hii inatucost sana sababu angalia kwa mfano JPM afya yake haikuwa nzuri na madharau yake hata kampeni alipiga za kimagumashi, then akafanya kazi November ilipofika December akaenda kwao kupumzika amerudi mjini almost February ndio akapatwa na umauti na taarifa ya kifo imetamka alikuwa na kibetri kwa zaidi ya miaka kumi but in fact akiwekewa alipokuwa uingereza anasoma miaka ya 1992/3.

Effect yake ni kuingiza taifa kwenye mtikisiko mkubwa unaoweza kusababisha machafuko heri ishindi wa kwenye kura ila sio huu anaopewa mama wa mezani hii inawapa husuda wengine, pia tunajikuta kwenye mvurugano sana.
 
Kazi ya Urais ni majukumu mazito. Katiba inaposema sifa ni Mtanzania mwenye afya njema hiki ni kipengele muhimu sana. Uchovu wa kazi unaweza kupelekea kutokuwa na muda wa kuangalia afya yako binafsi na kusababisha madhara makubwa ya afya.

Ningeshauri wagombea wawe wanafanyiwa upimaji wa afya pia katika mchujo wapewe nafasi ya kujieleza na sera zao katika lugha itakayokubalika.

Mgombea Urais anapofahamika hana afya njema, kumruhusu kuendelea na kampeni ni kuvunja katiba.
CCM wamevunja sana katiba maana waliangalia umaarufu wa mgombea na sio afya njema
 
Lori la mkaa tripu shamba tripu gereji.
Limezima mazima..💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾💃🏾
 
Back
Top Bottom