Universities are chartered entities kama UDSM ilivyo hivyo watumishi wake wako excluded kwenye public service by virtue of the Public Service Act
..asante.
..at least wewe unatuelimisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Universities are chartered entities kama UDSM ilivyo hivyo watumishi wake wako excluded kwenye public service by virtue of the Public Service Act
Kumbuka Public Services Act inatakiwa iwe incomformity na katiba ya JMT. JokaKuu anadai ibara ya 116 ya katiba ya JMT imevunjwa, anatia kinyaa.Sheria inayounda Ofisi ya katibu mkuu Kiongozi ni The Public Service Act na uteuzi wake hufanyika kwa mujibu wa kifungu cha nne cha sheria hiyo.
Sheria husika haijaweka sifa za mtu anayetakiwa kuteuliwa katika nafasi ya Katibu Mkuu.
Sheria ya mwaka 2002 iliainisha sifa za mtu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi lakini 2018 na 2019 yalifanyika mabadiliko yaliyoondoa kipengele kinachotaja sifa za mtu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
..lakini wamekula viapo viwili.
..je, unao ushahidi kwamba Dr.Bashiru amekula viapo viwili?
..na kiapo cha balozi ni sawa na kiapo cha katibu mku
..lakini wamekula viapo viwili.
..je, unao ushahidi kwamba Dr.Bashiru amekula viapo viwili?
..na kiapo cha balozi ni sawa na kiapo cha katibu mkuu kiongozi
Katibu mkuu haapi kiapo cha kuwa katibu mkuu wala balozi haapi kuwa balozi, ukiteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi na Balozi kwa wakati mmoja unaapa kuwa mwaminifu kwa serikali na kuitumikia na kiapo cha maadili , kiapo ni kimoja , Rais hana muda wa kufanya duplications ya viapo kwa mtu mmoja kwa wakati mmoja kwa kiapo chenye maana moja...lakini wamekula viapo viwili.
..je, unao ushahidi kwamba Dr.Bashiru amekula viapo viwili?
..na kiapo cha balozi ni sawa na kiapo cha katibu mkuu kiongozi?
The treasonous brethren are really worried, wanatafuta ajenda kila mahali, warajamchoja Bashiru watahamia kwa lile jembe wizara ya afya. Katiba my foot, Presidents don't grow on trees. Wanataka Rais wishy washy, nduhu!Mods naomba tuuache uzi huu ujitegemee ili tuweze kupata mwanga wa kikatiba na kisheria kuhusu uteuzi tajwa.Pamekuwa na kambi mbili katika uteuzi huu na msaada wa wadau wa katiba na sheria unaweza kutupa mwanga.
Najua kuna jukwaa la mambo ya sheria lakini uteuzi huu una athari za kisiasa ambazo inawezekana kwa sasa hazipo wazi.
Tusaidieni tujue ukweli ni upi?
Wanamtumikia nani sasa?Unakumbuka kipindi cha uhakiki wa vyeti?
Mawaziri na wabunge hawakuhakiki vyeti vyao kwa hoja kuwa siyo watumishi wa umma
Hakuna unachokielewa wewe, tofauti na kuandika tu.Sijui unataka kujua nini. Kikatiba raisi anayo haki ya kumteua Katibu kiongozi. Kama matakwa ya kikatiba yamekidhi huenda ya kisheria yamekidhi pia. Anayaeteuliwa anatakiwa awe mwananchi. Aliyeteuliwa ni Nshomile Mtanzania halisi wala si Mganda Kyaka. Hii ina maana naye amekidhi matakwa ya kikatiba na kwa hiyo ya kisheria. Una swali lingine?
..hebu tusaidie kujua kama Dr.Bashiru aliapishwa mara mbili. kwanza kuwa balozi, halafu kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
cc Nyani Ngabu
Wanamtumikia nani sasa?
Kateuliwa kuwa Balozi, cheo ambacho hajakitumikia hata millisecond moja.Nadhani aliteuliwa kuwa Balozi Kwanza ili atimize matakwa ya kuwa Mtumishi wa serikali na baadae kuteuliwa kuwa katibu kiongozi.
Hii hapa mkuuView attachment 1713309
Ok.
Still, Magufuli hajavunja katiba kwa kumteua Dkt. Bashiru.
Natambua kuna watu hawampendi tu Magufuli kwa sababu anuai.
Hivyo, chochote kile akifanyacho, kwao ni kibaya tu.
Vilevile natambua kuna wengine hawajapendezwa na uteuzi huo kwa sababu mteule alikuwa katibu mkuu wa chama kilichopo madarakani.
Lakini kusema kwamba uteuzi huo umevunja katiba, ni kusema uongo.
Huyo nshomile hana lolote buana!! No experience, no international exposure no nothing!!!Kateuliwa kuwa Balozi, cheo ambacho hajakitumikia hata millisecond moja.
Mnajisahaulisha kuwa Bashiru alikuwa Mhadhiri mwandamizi wa Chuo kikuu...Nadhani aliteuliwa kuwa Balozi Kwanza ili atimize matakwa ya kuwa Mtumishi wa serikali na baadae kuteuliwa kuwa katibu kiongozi.
Hana experience ya kuratibu, kuandaa na kuongoza Baraza la Mawaziri kwa vile hajawahi kuwa Waziri wala Katibu Mkuu wa Wizara yoyote....!! Uteuzi huu una Walakini!!!Mnajisahaulisha kuwa Bashiru alijuwa Mhadhiri mwandamizi wa Chuo kikuu...
Sifa hiyo haitoshi kuwa mtumishi mwandamizi!?
Mods naomba tuuache uzi huu ujitegemee ili tuweze kupata mwanga wa kikatiba na kisheria kuhusu uteuzi tajwa.Pamekuwa na kambi mbili katika uteuzi huu na msaada wa wadau wa katiba na sheria unaweza kutupa mwanga.
Najua kuna jukwaa la mambo ya sheria lakini uteuzi huu una athari za kisiasa ambazo inawezekana kwa sasa hazipo wazi.
Tusaidieni tujue ukweli ni upi?
😁😁😁😂🤣asante ndugu kwa kunichekesha usiku huu! Jibu la msingi sana hili!Ndugu yangu utaumiza kichwa jambo la msingi ni kujikinga na corona
Hili jibu lipo sawaNadhani aliteuliwa kuwa Balozi Kwanza ili atimize matakwa ya kuwa Mtumishi wa serikali na baadae kuteuliwa kuwa katibu kiongozi.
Utumushi wa umma upo katika makundi,mojawapo ni kundi la Kisiasa,hivyo bashiru ni afisa mwandamizi anayetoka kundi la Kisiasa😱va.Kwa kifupi JIWE kachemka sana na hakuna mtu wa kumwambia. Chief Secretary ilipaswa atoke miongoni mwa maafisa waandamizi wa serikali siyo mtumishi wa chama cha siasa.
Nafikiri kuna tofauti kati ya Title na Position linapokuja suala la ubalozi. Mpaka sasa Bashiru hana mamlaka au majukumu(POSITION) yoyote ya kibalozi aliyopewa zaidi ya jina na hadhi au STAHIKI (TITLE)ya Ubalozi. Ni sawa na Injinia au Mwanasheria au Daktari au Mwalimu mwenye jina au stahiki hiyo bila kuwa na nafasi ya kiutendaji au utumishi katika Fani tajwa.Hoja iwe ni kushika nafasi mbili za utumishi je ni halali kisheria?
Hoja pia iwe ni je baada ya Bashiru kuapishwa kuwa katibu mkuu kiongozi, ubalozi wake umekoma?
Hoja iwe ni je kwenye payrol ataingia kama balozi au katibu mkuu kiongozi?
Nahisi hayo ndo maswali matatu ya msingi ya kujiuliza lakini siyo uhalali wa kumteua, kwenye kumteua kuwa Katibu mkuu kiongozi hajavunja katiba wala sheria