Katiba inasemaje kuhusu uteuzi wa Bashiru Ally?

Katiba inasemaje kuhusu uteuzi wa Bashiru Ally?

Universities are chartered entities kama UDSM ilivyo hivyo watumishi wake wako excluded kwenye public service by virtue of the Public Service Act

..asante.

..at least wewe unatuelimisha.
 
Sheria inayounda Ofisi ya katibu mkuu Kiongozi ni The Public Service Act na uteuzi wake hufanyika kwa mujibu wa kifungu cha nne cha sheria hiyo.

Sheria husika haijaweka sifa za mtu anayetakiwa kuteuliwa katika nafasi ya Katibu Mkuu.

Sheria ya mwaka 2002 iliainisha sifa za mtu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi lakini 2018 na 2019 yalifanyika mabadiliko yaliyoondoa kipengele kinachotaja sifa za mtu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
Kumbuka Public Services Act inatakiwa iwe incomformity na katiba ya JMT. JokaKuu anadai ibara ya 116 ya katiba ya JMT imevunjwa, anatia kinyaa.
 
..lakini wamekula viapo viwili.

..je, unao ushahidi kwamba Dr.Bashiru amekula viapo viwili?

..na kiapo cha balozi ni sawa na kiapo cha katibu mku

..lakini wamekula viapo viwili.

..je, unao ushahidi kwamba Dr.Bashiru amekula viapo viwili?

..na kiapo cha balozi ni sawa na kiapo cha katibu mkuu kiongozi

..lakini wamekula viapo viwili.

..je, unao ushahidi kwamba Dr.Bashiru amekula viapo viwili?

..na kiapo cha balozi ni sawa na kiapo cha katibu mkuu kiongozi?
Katibu mkuu haapi kiapo cha kuwa katibu mkuu wala balozi haapi kuwa balozi, ukiteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi na Balozi kwa wakati mmoja unaapa kuwa mwaminifu kwa serikali na kuitumikia na kiapo cha maadili , kiapo ni kimoja , Rais hana muda wa kufanya duplications ya viapo kwa mtu mmoja kwa wakati mmoja kwa kiapo chenye maana moja.
 
Mods naomba tuuache uzi huu ujitegemee ili tuweze kupata mwanga wa kikatiba na kisheria kuhusu uteuzi tajwa.Pamekuwa na kambi mbili katika uteuzi huu na msaada wa wadau wa katiba na sheria unaweza kutupa mwanga.
Najua kuna jukwaa la mambo ya sheria lakini uteuzi huu una athari za kisiasa ambazo inawezekana kwa sasa hazipo wazi.
Tusaidieni tujue ukweli ni upi?
The treasonous brethren are really worried, wanatafuta ajenda kila mahali, warajamchoja Bashiru watahamia kwa lile jembe wizara ya afya. Katiba my foot, Presidents don't grow on trees. Wanataka Rais wishy washy, nduhu!
 
Sijui unataka kujua nini. Kikatiba raisi anayo haki ya kumteua Katibu kiongozi. Kama matakwa ya kikatiba yamekidhi huenda ya kisheria yamekidhi pia. Anayaeteuliwa anatakiwa awe mwananchi. Aliyeteuliwa ni Nshomile Mtanzania halisi wala si Mganda Kyaka. Hii ina maana naye amekidhi matakwa ya kikatiba na kwa hiyo ya kisheria. Una swali lingine?
Hakuna unachokielewa wewe, tofauti na kuandika tu.
 
Ok.

Still, Magufuli hajavunja katiba kwa kumteua Dkt. Bashiru.

Natambua kuna watu hawampendi tu Magufuli kwa sababu anuai.

Hivyo, chochote kile akifanyacho, kwao ni kibaya tu.

Vilevile natambua kuna wengine hawajapendezwa na uteuzi huo kwa sababu mteule alikuwa katibu mkuu wa chama kilichopo madarakani.

Lakini kusema kwamba uteuzi huo umevunja katiba, ni kusema uongo.

Swala hapa si kuvunja Katiba. Tatixo Ni mchakato uliotumika kumpata huyu KMK...!!!
Kuna Makatibu Wakuu lukuki toka Wizara mbalimbali. Je. Kwanini MAGUFULI amrshindwa kuteua mmoja wa Makatibu Wakuu wa Wizara ambaye ni Senior kati ya Makatibu Wakuu??
Why Bashiru Ally from CCM? What's so special with CCM Secretary General?? Is there any hidden agenda behind the curtain?
 
Nadhani aliteuliwa kuwa Balozi Kwanza ili atimize matakwa ya kuwa Mtumishi wa serikali na baadae kuteuliwa kuwa katibu kiongozi.
Mnajisahaulisha kuwa Bashiru alikuwa Mhadhiri mwandamizi wa Chuo kikuu...
Sifa hiyo haitoshi kuwa mtumishi mwandamizi!?
Angekuwa profesa Rwekaza Mkandala ndio kateuliwa bado tungesema sio mtumishi wa uma
Au mwalimu sio mtumishi wa umma
 
Mnajisahaulisha kuwa Bashiru alijuwa Mhadhiri mwandamizi wa Chuo kikuu...
Sifa hiyo haitoshi kuwa mtumishi mwandamizi!?
Hana experience ya kuratibu, kuandaa na kuongoza Baraza la Mawaziri kwa vile hajawahi kuwa Waziri wala Katibu Mkuu wa Wizara yoyote....!! Uteuzi huu una Walakini!!!
 
Mods naomba tuuache uzi huu ujitegemee ili tuweze kupata mwanga wa kikatiba na kisheria kuhusu uteuzi tajwa.Pamekuwa na kambi mbili katika uteuzi huu na msaada wa wadau wa katiba na sheria unaweza kutupa mwanga.
Najua kuna jukwaa la mambo ya sheria lakini uteuzi huu una athari za kisiasa ambazo inawezekana kwa sasa hazipo wazi.
Tusaidieni tujue ukweli ni upi?
 
Kwa kifupi JIWE kachemka sana na hakuna mtu wa kumwambia. Chief Secretary ilipaswa atoke miongoni mwa maafisa waandamizi wa serikali siyo mtumishi wa chama cha siasa.
Utumushi wa umma upo katika makundi,mojawapo ni kundi la Kisiasa,hivyo bashiru ni afisa mwandamizi anayetoka kundi la Kisiasa😱va.
 
Hoja iwe ni kushika nafasi mbili za utumishi je ni halali kisheria?

Hoja pia iwe ni je baada ya Bashiru kuapishwa kuwa katibu mkuu kiongozi, ubalozi wake umekoma?

Hoja iwe ni je kwenye payrol ataingia kama balozi au katibu mkuu kiongozi?

Nahisi hayo ndo maswali matatu ya msingi ya kujiuliza lakini siyo uhalali wa kumteua, kwenye kumteua kuwa Katibu mkuu kiongozi hajavunja katiba wala sheria
Nafikiri kuna tofauti kati ya Title na Position linapokuja suala la ubalozi. Mpaka sasa Bashiru hana mamlaka au majukumu(POSITION) yoyote ya kibalozi aliyopewa zaidi ya jina na hadhi au STAHIKI (TITLE)ya Ubalozi. Ni sawa na Injinia au Mwanasheria au Daktari au Mwalimu mwenye jina au stahiki hiyo bila kuwa na nafasi ya kiutendaji au utumishi katika Fani tajwa.
 
Kama katiba imevunjwa kitambo Sana, kilichotumika ni Sheria ndogo Chini ya maamuzi ya rais binafsi.sijui Kama hata mwanasheria mkuu wa serikali alimshauri
 
Back
Top Bottom