Katiba mbovu, sheria mbovu, mikataba mibovu. Leo tumetozwa zaidi ya Tsh. Bilioni 260. Kufanywa kichwa cha Mwendawazimu hadi lini?

Kaka Mayala umeandika mambo kwa uzalendo mkubwa sana. Lakini nimepata shida kutafsiri uzalendo wako maana umekuwa ukibadilika badilika kulingana na upepo, hiyo hali sijaipenda. Amua moja kaka. Hapa duniani tunaishi mara moja tuuu
 
Mimi nazungumzia mbuzi wewe unasema kuku Sidhani kama umenielewa kwa hiyo endelea na mindset yako it’s your prerogative
Nadhani kama ambavyoRasbamba na Mayor Quimby mlivyoshindwa kuelewana hata hao wataalamu wetu kwenye mikataba huwa wanashindwa kuelewana na mwisho wa siku wanatumbukia kwenye mikataba nyonya damu !!

Sasa ni muda muafaka wa kutafuta wataalamu kutoka Umoja wa mataifa au kokote duniani ili tusaidiwe tusiingie kwenye mikataba nyonya damu tena !!

Ndugu Paskali alipata kusema mtu akishindwa kufanya kitu ni lazima asaidiwe !!

Na mhe Tibaijuka naye kabla hajaingia kwenye politics alipata kusema huko UN kipo kitengo cha kusaidia Nchi zilizoingia kwenye mikataba kichwa kichwa bila kuielewa vizuri !!

Kama tumeshindwa ni muda muafaka tuombe tusaidiwe !!
 
We ngoja tu kunasiku tutakulupua ofisini mwao wakae gerezani.
 
Shida ni unaposema BIT ni mkataba kwangu it’s a Treaty between nations and mkataba contract between two parties for a particular business could be state or individual’s and is subject to the Treaty’s basta
 
Hizi kesi niz fedha nyingi zinahitaji uzalendo na uqdilifu mkubwa hasq kukiwa na uhakika wa kulipwa!
 
Shida ni unaposema BIT ni mkataba kwangu it’s a Treaty between nations and mkataba contract between two parties for a particular business could be state or individual’s and is subject to the Treaty’s basta
Kiswahili kina shortage of ‘vocabulary’, but then I had just explained from the post you quoted a BIT doesn’t have key terms which forms a ‘contract’ therefore it’s beyond me even tacitly how you came to that conclusion.

Unaposoma post za wenzako jaribu kun’gamua kilichoandikwa sio kutafsiri vitu ambavyo havipo na kuweka maana zako.

Ukiweza kujua aina ya terms tofauti zinazowekwa kwenye hizo unazoita ‘contracts’ ndio utaelewa how a BIT fits in; hint nimeshakueleza several times including the post you quoted some of its articles (from a BIT) are part of implied terms in future contracts.

👋
 
Katika hili Paskali ameamua liwalo na liwe na hajadeclare interest kama ilivyo kawaida yake. Kwa kweli ni mambo ya kusikitisha kwamba kesi zinafanyika nje na huko tunashindwa pamoja na kuwa kwenye mikataba inaelezwa wazi kwamba matatizo yanayoweza kujitokeza yatasuluhishwa ndani ya nchi. Kuna kesi ziliamliwa hapa nchini ambapo maamuzi yalikuwa upande wetu. Baadae zikapelekwa kwenye International Court of Arbitration huko tukakwaa kisiki na kuamliwa kulipa. Nafikia mahali naona kuna mapungufu katika kuandaa mikataba. Wanasheria wetu bado tupo mbali Sana. Tukapeleka Maprofesa wa Sheria kwenye lile sakata la Makinikia, kilichojitokeza ni kinyume kabisa na matarajio ya wengi. Hatuna budi kujifunza toka katika makosa ya awali ili kuweza kufanya vizuri huko mbele. Vinginevyo wajanja wataendelea kuvuna bila jasho toka kwetu.
 
Ukiacha kutetea DP world tutakuunga mkono
Mkuu JakiDubai, kuna watu wanaandika jf ili waungwe mkono?, utaniunga mkono ili iweje?.
Anyway karibu, hili ni moja ya mabandiko yangu kuunga mkono IGA ya DPW na Bandari zetu, angalia tuu tarehe ya bandiko hili ili ulinganishe na wengine, na ikitokea una uwezo wa kusoma contents, soma contents uone jinsi ninavyoisupport DPW na Bandari zetu!.

Karibu

P
 
Hivi Ng'wakitolyo maana yake nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…