MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
MAYALA HESHIMA MBELE LEO UMEANDIKA KAMA WEWE WAKATI WA ENZI HIZO HONGERA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulikuwa mtu wa kusifia kila kitu cha awamu iliyopita.Wanabodi,
Hizi kelele za wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kuhusu hii IGA ya DPW na Bandari zetu, sio za kuzipuuzia!. Katiba hii mbovu tuliyonayo!, Sheria zetu mbovu tuliyonayo, mikataba mibovu ya kimataifa tunayoingia, mwisho wa siku tunajikuta tumepigwa!, tunafunguliwa mashitaka, tunashindwa, tunapigwa tozo za mabilioni ya fedha!, ambazo ni lazim
Nikuishinikiza serekali ya chadema imeshindwa ijiuzulu iingie serekali mpya ya ccm.Wanabodi,
Hizi kelele za wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kuhusu hii IGA ya DPW na Bandari zetu, sio za kuzipuuzia!. Katiba hii mbovu tuliyonayo!, Sheria zetu mbovu tuliyonayo, mikataba mibovu ya kimataifa tunayoingia, mwisho wa siku tunajikuta tumepigwa!, tunafunguliwa mashitaka, tunashindwa, tunapigwa tozo za mabilioni ya fedha!, ambazo ni lazima
Paskali
Mtu ambaye siyo hovyo hawezi kuwa CCM. Labda awe lake jambo.Taasisi pekee inayoweza kuibwekea serikali na ikamtii ni CCM.
Na kwa kuwa Serikali ndiyo CCM, basi kama nchi tuna hasara ya kuwa na Chama cha Hovyo cha CCM.
Chama kikiwa cha hovyo hata Wanachama wake ni wa HOVYO. Paskali ukiwepo.
Nawe ni wa Hovyo.
Mwamba leo nimesoma bandiko lako lote, umeonyesha uzalendo wa hali ya juu