KATIBA Mpya haitamruhusu Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kugombea urais, CUF mwafa

KATIBA Mpya haitamruhusu Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kugombea urais, CUF mwafa

mtaongea sana ila CUF si chama MBWATUKO wapo kimya na hawatowajibu kwani chama hakiendeshwi kwa VIDEO na JF hiki ni chama makini subirini 2015 mtaingia msituni na MAGWANDA yenu.CUF ina watu makini mtaona 2015 ombeni UHAI.
 
Salute Chief!Mimi kwangu ni maajabu kusikia kuwa Haruna Lipumba ni profesa hasa wa kusoma shuleni na baadaye chuoni. Kipindi cha mwanzo nilidhani ni class moja na Prof. Maji Marefu
hahahaha! nikweli hujakosea kwa mtu ambaye ameangalia ile video akiunadi udini lazima useme hivyo sio kosa lako, kwa hali ile nivigumu sana kumtofautisha na prof maji marefu.
 
mtaongea sana ila CUF si chama MBWATUKO wapo kimya na hawatowajibu kwani chama hakiendeshwi kwa VIDEO na JF hiki ni chama makini subirini 2015 mtaingia msituni na MAGWANDA yenu.CUF ina watu makini mtaona 2015 ombeni UHAI.

Hizi ndoto nyingine bwana kazi kweli, yani unaota mchana wa jua kali!
 
Tokenimapovu mtalala Kama kweli nyinyi Mna Utaifa mbona hamjakemea kanisa lilivyotoa walaka wa Uchaguzi 2010 hadi kingunge akalalamika akalitaka kanisa liungame ilani ni ya chama mkahamasishana makanisani mumchague dr slaa hadi simba wanga waumini walitengwa kwa kuichagua ccm mshasahau
 
Katiba ya Zanzibar itaruhusu mgombea yeyote wa aina ya Lipumba kwa hiyo anaweza kugombea na Seif kule mahala katikati ya maji msijali sana

 
Tumpeni heshima profesa Lipumba kwa elimu yake,tusiponde kwa chuki binafsi na ushabiki usio na mpango,kama mnaunga mkono vyama vingine viungeni lakini sio kwa kumponda mtaalam wa uchumi duniani na wakati nchi yetu ina tatizo la uchumi
 
Salute Chief!

Mimi kwangu ni maajabu kusikia kuwa Haruna Lipumba ni profesa hasa wa kusoma shuleni na baadaye chuoni. Kipindi cha mwanzo nilidhani ni class moja na Prof. Maji Marefu

ulitegemea nini toka kwa Profesa wa wariberali? Hizo ndio Haki sawa kwa wote wakiwamo wale ambao wanatumika kinyume na jinsia zap za kuzaliwa.
 
Hata mfanyaje CUF haichafuliki pigeni kelele tu mwisho mtajuu hii ndiyo tz,udini wenu tumeujua,na kwa hakika hautafanikiwa,mtashindwa vibaya kama mlivyoshindwa 2010,na hapo jahazi liliokolewa mwishoni kabisa.Mkifanya kwa siri sisi tutafanya kwa dhahiri.
 
Back
Top Bottom