Katiba Mpya joto lazidi kupanda

Katiba Mpya joto lazidi kupanda

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Wiki mbili hizi zimekuwa muhimu sana kwetu sote hapa nchini.

FoHH77fXEAAHMqJ.jpeg


Tumesikia ya wanaotaka katiba mpya na ya wasiotaka katiba mpya. Wote kwa umahiri kabisa.

"Ama Kwa hakika mwenye macho haambiwi tazama."

Kwamba asiyetaka katiba mpya ndiye pia mficha mapesa ya dhuluma China?

FoVixEVWAAAou0r.jpeg


Kwa hiyo ni kusema angependa kazi hiyo iendelee na wala asiwe anabughudhiwa?

Anatutakia mema huyo?
 
Wiki mbili hizi zimekuwa muhimu sana kwetu sote hapa nchini.

View attachment 2509213

Tumesikia ya wanaotaka katiba mpya na ya wasiotaka katiba mpya. Wote kwa umahiri kabisa.

"Ama Kwa hakika mwenye macho haambiwi tazama."

Kwamba asiyetaka katiba mpya ndiye pia mficha mapesa ya dhuluma China?

View attachment 2509211

Kwa hiyo ni kusema angependa kazi hiyo iendelee na wala asiwe anabughudhiwa?

Anatutakia mema huyo?
Kenya wabakatiba nzuri vip maisha yao

USSR
 
Ninakazia:

"Kwamba aliyekuwa kinara wa kutotaka katiba mpya ndiye pia huyu huyu mficha mapesa ya dhuluma China?"

Hapana aisee, hamtuambii kitu!
Wanaoitaka hata pesa ya kula Ulaya hawana na wameishi miaka yote wakiwa wabunge

USSR
 
Wanaoitaka hata pesa ya kula Ulaya hawana na wameishi miaka yote wakiwa wabunge

USSR

Mkuu tunaoitaka tuko hapa hapa hata ubunge hatujawahi kuota, tunakamuliwa Kodi na tozo lukuki kumbe zingine zinaishia China?

Sasa tunataka uwajibikaji kamili kwa mujibu wa sheria yaani kwa mujibu wa katiba.

Haiwezekani!
 
Wiki mbili hizi zimekuwa muhimu sana kwetu sote hapa nchini.

View attachment 2509213

Tumesikia ya wanaotaka katiba mpya na ya wasiotaka katiba mpya. Wote kwa umahiri kabisa.

"Ama Kwa hakika mwenye macho haambiwi tazama."

Kwamba asiyetaka katiba mpya ndiye pia mficha mapesa ya dhuluma China?

View attachment 2509211

Kwa hiyo ni kusema angependa kazi hiyo iendelee na wala asiwe anabughudhiwa?

Anatutakia mema huyo?
Watu wanataka maishaa Bora siokatiba mpyaa
 
Mkuu tunaoitaka tuko hapa hapa hata ubunge hatujawahi kuota, tunakamuliwa Kodi na tozo lukuki kumbe zingine zinaishia China?

Sasa tunataka uwajibikaji kamili kwa mujibu wa sheria yaani kwa mujibu wa katiba.

Haiwezekani!
Huko kwenye katiba mpya hakuna wizi sio USA,UK Norway na n.k


USSR
 
Wiki mbili hizi zimekuwa muhimu sana kwetu sote hapa nchini.

View attachment 2509213

Tumesikia ya wanaotaka katiba mpya na ya wasiotaka katiba mpya. Wote kwa umahiri kabisa.

"Ama Kwa hakika mwenye macho haambiwi tazama."

Kwamba asiyetaka katiba mpya ndiye pia mficha mapesa ya dhuluma China?

View attachment 2509211

Kwa hiyo ni kusema angependa kazi hiyo iendelee na wala asiwe anabughudhiwa?

Anatutakia mema huyo?
LISSU: Baada ya Kukikataa kikosi KAZI, kikundi hicho Cha mchongo KIMEYEYUKA.

LISSU: Kama Hadi Tunafika 2024 na 2025 hatujapata Katiba mpya na TUME HURU ya UCHAGUZI,

Wakilazimisha uchaguzi kufanyika, Nchi itakuwa ktk Hali ngumu sana.

LISSU: KATIBA mpya kwake ni muhimu kuliko Kujadili mgombea Urais Kwa tiketi ya CDM 2025.

Mungu wa Mbinguni AKUBARIKI, Tundu Antipas Lissu.

Aaamen
 
LISSU: Baada ya Kukikataa kikosi KAZI, kikundi hicho Cha mchongo KIMEYEYUKA.

LISSU: Kama Hadi Tunafika 2024 na 2025 hatujapata Katiba mpya na TUME HURU ya UCHAGUZI,

Wakilazimisha uchaguzi kufanyika, Nchi itakuwa ktk Hali ngumu sana.

LISSU: KATIBA mpya kwake ni muhimu kuliko Kujadili mgombea Urais Kwa tiketi ya CDM 2025.

Mungu wa Mbinguni AKUBARIKI, Tundu Antipas Lissu.

Aaamen

"Hakutaki Katiba mpya. Kumbe ni ma-mwizi!"

Inafikirisha sana.
 
Back
Top Bottom