Katiba Mpya joto lazidi kupanda

Katiba Mpya joto lazidi kupanda

Katiba mpya itaondoa UHUNI huu, haiwezekana tukapata maendeleo kwa bajeti za KIJUHA namna hii

Bajeti.PNG

Uongozi.jpg
 
Bora lipande, tuachane na hii Katiba ya mkoloni, tumekuwa taifa la kijinga sana kuendelea kuishi kwenye kivuli cha mkoloni huku tukijitapa tuko huru, uhuru gani wakati bado tunaendeshwa kwa sheria za mkoloni?
 
Bora lipande, tuachane na hii Katiba ya mkoloni, tumekuwa taifa la kijinga sana kuendelea kuishi kwenye kivuli cha mkoloni huku tukijitapa tuko huru, uhuru gani wakati bado tunaendeshwa kwa sheria za mkoloni?

Ni wazi kuwa tunasonga mbele na hatuko mbali. Uelekeo uko wazi zaidi Sasa kuliko wakati mwingine wowote.
 
Kama Zitto, Lowassa na wengine....

Hatahivyo, karata hizo za mbichi hizi sizitaki, ni mlolongo mrefu wa mchakato wa kuipa nyuso CCM huko mbeleni. Wapo wanahudhuri humu ambao wameelezea vizuri ni nini kitawatokea CHADEMA. Mfano mzuri ni zile kelele zao za 'Ufisadi'....tunajua nani aliifanyia kazi na Kushinda kwa kishindo cha kuigizwa Afrika. Halipingiki

Kuna watu wana kaza zao, wengine mpo humu, wengine wamo bungeni.

we piga kura kwa uangalifu 2025
minus Tundu Lissu.
 
Wiki mbili hizi zimekuwa muhimu sana kwetu sote hapa nchini.

View attachment 2509213

Tumesikia ya wanaotaka katiba mpya na ya wasiotaka katiba mpya. Wote kwa umahiri kabisa.

"Ama Kwa hakika mwenye macho haambiwi tazama."

Kwamba asiyetaka katiba mpya ndiye pia mficha mapesa ya dhuluma China?

View attachment 2509211

Kwa hiyo ni kusema angependa kazi hiyo iendelee na wala asiwe anabughudhiwa?

Anatutakia mema huyo?
Mwizi wa kuku anapigwa na kuchomwa na petrol wakati wezi(mafisadi) wa fedha za umma wakipeta mtaani bila kuguswa. Kama nimeielewa vizuri.
 
Back
Top Bottom