It was very hard kutegua mtego ule.Hakuna kitu kibaya kama hicho.
Yaani Hadi mkeo anajua kuwa mumewe ni kibaraka, yupo kwenye payrol analipwa kuhujumu HAKI kutamalaki ktk Nchi.
CDM akili mingi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It was very hard kutegua mtego ule.Hakuna kitu kibaya kama hicho.
Yaani Hadi mkeo anajua kuwa mumewe ni kibaraka, yupo kwenye payrol analipwa kuhujumu HAKI kutamalaki ktk Nchi.
100%Wengi wenye nia nzuri na Taifa hili wanataka Katiba mpya.
Hayatuhusu maisha ya wakenya sisi tunataka katiba mpya periodKenya wabakatiba nzuri vip maisha yao
USSR
Bora lipande, tuachane na hii Katiba ya mkoloni, tumekuwa taifa la kijinga sana kuendelea kuishi kwenye kivuli cha mkoloni huku tukijitapa tuko huru, uhuru gani wakati bado tunaendeshwa kwa sheria za mkoloni?
Mkiishiwa hoja mnatoa virojaa,
Sisi tutawajibu Kwa hoja zisizo na kejeri.
Yeye mwenyewee hajitambui
Yeye mwenyewee hajitambui
Mimi huwezi nilinganisha na hiyo sub uffer yenuIla wewe siyo?
Hao ndio size yenu
Kama Zitto, Lowassa na wengine....
Mwizi wa kuku anapigwa na kuchomwa na petrol wakati wezi(mafisadi) wa fedha za umma wakipeta mtaani bila kuguswa. Kama nimeielewa vizuri.Wiki mbili hizi zimekuwa muhimu sana kwetu sote hapa nchini.
View attachment 2509213
Tumesikia ya wanaotaka katiba mpya na ya wasiotaka katiba mpya. Wote kwa umahiri kabisa.
"Ama Kwa hakika mwenye macho haambiwi tazama."
Kwamba asiyetaka katiba mpya ndiye pia mficha mapesa ya dhuluma China?
View attachment 2509211
Kwa hiyo ni kusema angependa kazi hiyo iendelee na wala asiwe anabughudhiwa?
Anatutakia mema huyo?
Mwizi wa kuku anapigwa na kuchomwa na petrol wakati wezi(mafisadi) wa fedha za umma wakipeta mtaani bila kuguswa. Kama nimeielewa vizuri.
Hahahaaa wanataka Kenya na sisi tuwe sawaHayatuhusu maisha ya wakenya sisi tunataka katiba mpya period