Katiba Mpya joto lazidi kupanda

Katiba Mpya joto lazidi kupanda

Wiki mbili hizi zimekuwa muhimu sana kwetu sote hapa nchini.

View attachment 2509213

Tumesikia ya wanaotaka katiba mpya na ya wasiotaka katiba mpya. Wote kwa umahiri kabisa.

"Ama Kwa hakika mwenye macho haambiwi tazama."

Kwamba asiyetaka katiba mpya ndiye pia mficha mapesa ya dhuluma China?

View attachment 2509211

Kwa hiyo ni kusema angependa kazi hiyo iendelee na wala asiwe anabughudhiwa?

Anatutakia mema huyo?
Akili kubwa sana hapa inatumika, wengi wetu ni walinda ugali na wasaka fursa.
 
Tukiwa tunaendelea kudai KATIBA mpya,

Mwigulu anaendelea kutukopea bila ridhaa yetu na pesa hazijulikani zilipo,

Magari ya wagonjwa zaidi ya 500 waliyoliambia Bunge yatanunuliwa Kwa pesa za MKOPO hayajulikani yalipo.😳😳😳😳
 
Baadhi ya wana CCM hasa wakongwe wanalilia vifuani sababu ya KATIBA, hivi leo ni nani mwana CCM ambaye akitofautiana mawazo na mwenyekiti wake atathubutu hata kwenda kwenye vikao vya juu vya chama chake kudai haki?
Tumeshuhudia wakongwe wakinyolewa nywele mchana kweupe bila maji na wapo kimyaaa...
Hawa ningetegemea wawe watu wa kwanza kabisa kudai Katiba mpya. Katiba mpya kwa sasa ni takwa la msingi la watanzania wote tena wana CCM wangekuwa mstari wa mbele kuidai.
 
Tafuteni katiba ya chama chenu, yawanchi tutaitaguta wenyewee.

Kulikoni kutaka kutuondoa njiani kuwabana wezi wetu wakati tumewakaribia?

Fnn4deYWYAE-Pmf.jpeg


FnzAtagX0AIXEAW.jpeg


With impunity wanalindwa na katiba hii wakituletea sisi ugumu wa maisha.

Hatutachoka katiba mpya ni sasa.
 
Kwani ndooo mtakamata wezi au ni vyombo vya dola
Ninakazia:

"With impunity wanalindwa na katiba hii wakituletea sisi ugumu wa maisha."

Kwa katiba mpya na kwa mujibu wa sheria tutawafurusha majizi wa namna hii bila kujali vyeo vyao kama mapanya!
 
Ninakazia:

"With impunity wanalindwa na katiba hii wakituletea sisi ugumu wa maisha."

Kwa katiba mpya na kwa mujibu wa sheria tutawafurusha majizi wa namna hii bila kujali vyeo vyao kama mapanya!
Unakumbuka kwenye MKUTANO WA kufungua siasa pale uwanja wa mbagala zakem jamaa yenu alitulazimisha wananchi tutoe fedha kwenye zile ndoo nyeupe, lakini Cha ajabu mpaka Leo hajatuambia mapato na matumizi yake, Yuko anadandia dandia katiba huku hajatuma mdadafuo wa mapato na matumizi, ilikua 2020
 
Unakumbuka kwenye MKUTANO WA kufungua siasa pale uwanja wa mbagala zakem jamaa yenu alitulazimisha wananchi tutoe fedha kwenye zile ndoo nyeupe, lakini Cha ajabu mpaka Leo hajatuambia mapato na matumizi yake, Yuko anadandia dandia katiba huku hajatuma mdadafuo wa mapato na matumizi, ilikua 2020
Una maana huyu hapa?

FoXp-J0XsAAB-Xr.jpeg


Hivi mnadhani majizi hatuyajui?

Ngoja tupate katiba mpya. Mbona tutaelewana tu?
 
LISSU: Baada ya Kukikataa kikosi KAZI, kikundi hicho Cha mchongo KIMEYEYUKA.

LISSU: Kama Hadi Tunafika 2024 na 2025 hatujapata Katiba mpya na TUME HURU ya UCHAGUZI,

Wakilazimisha uchaguzi kufanyika, Nchi itakuwa ktk Hali ngumu sana.

LISSU: KATIBA mpya kwake ni muhimu kuliko Kujadili mgombea Urais Kwa tiketi ya CDM 2025.

Mungu wa Mbinguni AKUBARIKI, Tundu Antipas Lissu.

Aaamen
TL alisema hatuwezi kukutana na Rais na vyama vya akina Dovutwa😅😅😅
 
TL alisema hatuwezi kukutana na Rais na vyama vya akina Dovutwa😅😅😅
Hakuna kitu kibaya kama hicho.

Yaani Hadi mkewe anajua kuwa mumewe ni kibaraka, yupo kwenye payrol analipwa kuhujumu HAKI kutamalaki ktk Nchi.
 
Back
Top Bottom