Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

 
napenda kuchangia machache kwenye hoja ihi, kwanza kabisa baadhi ya wachangiaji kumkashifu kwa kejeli,mtu wa mungu kakobe, napenda kusema wazi niuchanga wa kufikiri na kutokuya jua maandiko, kwanza kabisa lazima tuhelewe siasa ni maisha, wanasiasa wakiamua tulale mchana tutalalatu,dawa chakula nguo umeme barabara kila kitu ni siasa, wao ndio wanapanga kila kitu, wanasiasa wakiamua kuanzia leo hakuna kuhabudu,hakuna hatakaye fanya chochote, sasa kosa la kakobe ni nini? yeye mbali ya utumishi wa mungu ni mtanzania, anahaki ya kutoa maoni yake na sio dhambi kufanya hivyo, wito wangu nilazima tujue siasa ni maisha yetu na kama ni maisha yetu ni lazima tuwe makini juu ya kutoa maoni juu ya katiba mpya kwamba tunataka tuongozwe namnagani sasa utaona hata viongozi wa dini wanahaki ya kupaza sauti,zao pale wanapoona mambo hayako sawa sawa kwa kuwa hawako mbinguni,sheria zikiwa mbaya na wao watausika kuumia,
 
:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss:
 
Reactions: BAK

mimi nilioona gari iliyomleta Suzuki vitara lakini hata kama ni la kanisa kwani yeye pale aliwakilisha interest za watu wa group gani?
 
Namsifu sana Kakobe, viongozi wa dini ndio jicho la watawala, toka enzi za akina Jeremia, Isaya, Yusufu, Musa, Ezekieli, Elia na Elisha, Mohamad NK.
 

Wewe jamaa ni 'noma'.
Huna kazi zaidi ya kufuatilia 'mipango yote' ya Askofu Kakobe.
Maana unaijua 'mipango' yake yote
 
jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.

Siasa na Neno la Mungu vinaenda pamoja.
Viongozi wetu Tanzania hawana hofu ya Mungu ndio maana tuko hapa tulipo kwenye lindi la umaskini na maovu yaliokithiri.
 
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari

Hakuna anayechanganya 'dini' na 'siasa' kama serikali yetu hapa Tanzania.
Angalia picha hizi hapa chini.

Kiongozi akila kiapo huku ameshika Biblia.
Kiapo cha kisiasa, mtu anaapa kwa kutumia Biblia ...!!!!

 
Kakobe hajawahi na hatakuja kuwa mtu wa Mungu. yeye yupo kimaslahi zaidi. watu wakiingia na gold kanisani kwake anawapora

Peleka 'ushahidi' huu polisi ili akamatwe mara moja.
Vinginevyo, wewe ni mwongo tu.
Hebu jaribu tuone utafikia wapi katika hii.
 
ni makosa pengine uachane na kimojawapo ujikite na kimoja tu.

Hapo kwenye blue,
'Ni makosa' kisheria ??? 'Ni makosa' ki-Biblia ??
Hebu weka vifungu vya sheria, au weka vifungu vya Bibilia tuone..
Vinginevyo, huna hoja yoyote ile..
 
Tusikubali uongo wa maccm kwenye hoja ihi na wengine wakitoa maandiko bila kuyajua maana yake ni nini!!!!!!!!!! Napenda kuwa kumbusha, wanaopotosha na kumwona askf kakobe, kafanya dhambi, someni vitabu ivi,,,[mwanzo 40:>mpakasura ya 50:] [danieli] [nehemia] hawa wote walikua wanasiasa, na watumishi wa mungu, kakobe haishi mbinguni,anaishi tanzania,siasa ni maisha maisha ni siasa yeye hawezi kufanya shuguli za kiroho nje ya siasa maana tunaongozwa na seria zitokanazio na siasa,sasa ni ujinga tena wa hali ya juu, kwa watumishi wa mungu kutokushiriki siasa au kutoa maoni yao pale wanapoona mambo yanapindishwa, mfano kwenye kitabu cha [esta] kwa wale wasomaji wa bibilia watakumbuka mwanasiasa anayeitwa,amani alivyotunga sheria mbaya kwa wayaudi wauwawe, sasa nawashangaa watu kusema heti ni kosa viongozi wa dini kushiriki siasa wakati siasa inagharim maisha yao, tuache ushabiki wa vyama twende kwenye hoja ya msingi,
 
Hivi wafia ccm wote ni lazima wawe wife wa waccm?

Wafia Ccm ni wakulima na wafanyakazi ambao siku hizi ni wafu kwa sababu ya ccm maana hawajui kesho yao. Ccm ya siku hizi ni genge la majambazi wanaotakatisha fedha haranu tu. Sasa tuambie wewe ni mfiwa ccm au mfia ccm au uliyekufa kutokana na ccm?
 

mkuu umemaliza kila kitu na nimekupa like yangu
 
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari

Acha unafki na bibi yako getrude lwekatare yupo bungeni kama nani au muwakilishi wa dini! Shida yenu ccm mnataka kila mtu awatetee nyie akienda upinzani kosa sasa jinyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…