Kwanza hao waliomfungulia kesi kakobe hawana akili, tena majinga sana, wanamshtaki kakobe kwa kifungu kipi kutoka wapi??
Sadaka sio michango, ukishatoa hupaswi kuuliza utendaji kazi wake, sadaka inatolewa kiimani na ili ubarikiwe na Mungu,
na kama huna imani hutajua kama umebarikiwa, na sadaka haina risiti sasa unashtaki kwa reference ipi?
Kakobe anaongozwa na roho, aongozwi na watoa sadaka, kakobe anafungwa na mamlaka ya Mungu sio ya ki binadamu,
Kakobe anamtumikia umemaliza
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari
Uombe Mungu Kikwete asikie vilio vya Watanzania walio wengi na hivyo kutosaini muswada huo wa katiba ya CCM hivyo kutoa muda zaidi wa Watanzania mbali mbali kuendelea kutoa maoni yao. Vinginevyo nina wasiwasi utabadili sana makanisa maana siku za usoni kama Kikwete atausaini mkataba huo basi viongozi wa madhehebu mbali mbali ya dini nchini wataungana na umoja huu wa vyama vitatu ili kuongeza nguvu katika kumshinikiza Kikwete ili asiingize nchi katika mgogoro mkubwa wa kikatiba. Hata kwa sekunde moja Kakobe hakuzungumzia katiba ya CHADEMA, CUF au NCCR katika mkutano ule bali alizungumza kuhusu katiba ambayo itakubalika na kila Mtanzania.
Pamoja na kuhitilafiana kwenye hili mimi heshima yangu kwako itabaki pale pale.
Alutta continua! continua!!!
😛eace:😛eace:😛eace:
Have a great day Mamndenyi 🙂🙂
Kakobe alionekana mkutano wa jangwani ulioitishwa na vyama vya siasa akihutubia.Swali alienda na gari ya kanisa au binafsi? Maana ana kesi aliyoshitakiwa ya kutumia mali za kanisa kisiasa kuzunguka nazo wakati wa kumpigia kampeni za uraisi Augustino Lyatonga Mrema miaka ile.
Ni muhimu kujua jibu la swali hili kujua kama mali za kanisa hazijatumika ndivyo sivyo.
yeye kama mwanaharakati wa dini kwa nini asitumie forum yake ya dini kumshauri rais anakwenda majukwaani kujumuika na wanasiasa.
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.
Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari
Kakobe hajawahi na hatakuja kuwa mtu wa Mungu. yeye yupo kimaslahi zaidi. watu wakiingia na gold kanisani kwake anawapora
ni makosa pengine uachane na kimojawapo ujikite na kimoja tu.
ni makosa pengine uachane na kimojawapo ujikite na kimoja tu.
Hivi wafia ccm wote ni lazima wawe wife wa waccm?
Kwanza hao waliomfungulia kesi kakobe hawana akili, tena majinga sana, wanamshtaki kakobe kwa kifungu kipi kutoka wapi??
Sadaka sio michango, ukishatoa hupaswi kuuliza utendaji kazi wake, sadaka inatolewa kiimani na ili ubarikiwe na Mungu,
na kama huna imani hutajua kama umebarikiwa, na sadaka haina risiti sasa unashtaki kwa reference ipi?
Kakobe anaongozwa na roho, aongozwi na watoa sadaka, kakobe anafungwa na mamlaka ya Mungu sio ya ki binadamu,
Kakobe anamtumikia Mungu hamtumikii Mwanadamu, poleni sana mnaomuonea wivu Kakobe
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari