Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.

Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.

Siku zote mshindi ni yule ambaye akianguka huinuka na kuendelea na mashindano kwa maana kama atakata tamaa na asiinuke hawezi kushinda.
 
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.

Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.

Small minds will always discuss people
 
kwa hiyo tatizo lako ni kwa nini alijumuika na wanasiasa au kwa nini alitoa maoni yake akiwa jukwaa moja na wanasiasa? mbona watumishi wa Mungu kama D.Tutu Afrika kusini ametoa mchango mkubwa katika ukombozi wa taifa hilo?,vipi Martin luther si alikuwa mtumishi wa Mungu na mwanaharakati?

WELL SAID; In all circumstances we should not be judgmental instead let's tolerate and harmonize our differences as thinking is both an art and science! kuna watu wana wanadhani siasa ina wenyewe nao ni wanasiasa. labda wanapaswa kujiuliza; SIASA ni nini hasa? kwa nini siasa? vyovyote watakavyojibu, watagudua kuwa kwa namna moja au nyingine SIASA is all about life process, i.e. good leadership, excellent decisions, distribution of resources equitably, is all about creating a fair and equal society etc. Hii yote hujengwa na philosophy inayoaminiwa na wananchi, sera nzuri na uchumi imara. Binadamu anapaswa kuwa kamili kama personality zifuatazo zitapata well-being/welfare 1. Physical 2. Social 3. Spiritual 4. Cognitive 5. Emotions/Psychological. Viongozi wa makundi mbalimbali ya watu wanapaswa kuwa sehemu ya siasa ambayo ndo maisha in totality, mf. viongozi wa dini watamuhubiria nani katika nyumba za ibada kama watu wana sumbuliwa na njaa, magonjwa, umaskini, ujinga, nk. Ili spiritual perspective iwe sawasawa ni lazima pespective zingine za personality ziwe sawasawa! Tusiposhiriki SIASA kwa madai kuwa wapo wenye dhamana kutuliko, tutakuwa tumewaruhusu wanyonge watawale (na siyo kuongoza) kundi kubwa la watu wenye uwezo! tusifunge milango wala madirisha, kwani kwa kufanya hivyo ni kama kulazimisha kushawishi watu kwa kusema MWANASIASA asiende kwenye nyumba za ibada! Lililo muhimu hapa, tusichanganye madesa, tukiwa kwenye nyumba za ibada tufanye yaliyo ya 'spirit' na tukiwa kwenye majukwaa ya kisiasa tusiingize ya ki-spirit and vise versa. Tukifanya hivyo TUTAKUWA salama..,
 
Kakobe hajawahi na hatakuja kuwa mtu wa Mungu. yeye yupo kimaslahi zaidi. watu wakiingia na gold kanisani kwake anawapora

Duh!!..vp hao walioporwa mbona hawatoi report kwa Kova..tena ww ndo utakuwa shahidi wa kwanza...
 
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari

kawaambie hivyo wanaopitapita kanisani na vijisenti kuwahadaa waumini waje wawachague 2015. Huwa nashangaa kitu kimoja, Viongozi wa kisiasa wakienda kwenye madhabahu, hatu waambii maneno hayo lakini kiongozi wa dini akisimama kwenye jukwaa la wanasiasa, CCM wanatoka povu mdomoni! Waacheni watoe maoni yao kwani na wao wanahaki hiyo ka watanzania wengine. KAKOBE USIOGOPE, TOA MAONI YAKO POPOTE PANAPOSTAHILI!

Wanasema alifeli 2015 si kweli, wakati ule Mrema alishinda ila hakujuwa kuwa tume ya uchaguzi ni ya CCm, walimchakachua mpaka basi!
 
Ni heri ya Kakobe aliyekwenda kujumuika na watanzania wenzake kuhimiza umuhimu wa kupata katiba isiyo ya kiccm kuliko Balozi wa China aliyekwenda kudandia yasiyomhusu kutaka wananchi wa shinyanga warudishe imani yao kwa huyu bi kizee ccm ambaye siku zake si nyingi hapa duniani.
 
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.

Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
Tumefika hapa tulipo sasa kwa sababu ya watanzania wengi ni mbumbu , hawana elimu na hivyo kukosa kuwa na uelewa wa kutosha, umenisikitisha sana, kufikiria katiba ni suala la kisiasa ? nani hatalikomboa taifa hili kama watu wake upeo wao wa kuelewa mambo ni kama huo wa kwako ? Katiba ni ya kila mwananchi awe ana dini hana dini, awe ana chama hana chama , katiba ni mali ya watanzania wote
 
Hakuna kosa lolote kwa Kakobe kutoa maoni yake kuhusu suala la KAtiba,yeye ni Mtanzania hata kama ni Askofu wa Dhehebu fulani,tusuhukumu watu kwa kigezo cha DINI zao,tuwahukumu kwa vigezo vya UZALENDO WAO.
 
jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.

Kama issue ni siasa basi Mungu anayetumikiwa na Kakobe ndo mwanasiasa nambari moja maana biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu...alimtumia Nabii Samweli kumchaguwa Sauli awe mfalme na Sauli alilpokosea Mungu akamtuma Samweli amchaguwe Daudi badala ya Samweli...ilivyo ni kwamba Mungu hawezi kuja mwenyewe akasimama jukwaani ila huwatumia watumishi wake kunena yale yanayotakiwa kufahamika na ni hiari ya mtu kusadiki au lah!!..maana kuna wkt wanaIsraeli walimkataa Mungu hasiwatawale wakataka Mfalme..na Mungu hakuwalazimisha akawapa lile walilolihitaji...
 
Tatizo moja ni kwamba mtumishi wa Mungu kakobe sio kama watumishi wengi ambao wanajipendekeza ikulu kwenda kula futari yeye anaangalia mwenendo mzima wa taifa na mustakabali wa maendeleo kwa ujumla,angali jinsi mtumishi huyu alivyo pangua kuhusu walaka wa pengo,akapangua deci,akapangua hoja na siasa nyepesi kuhusu wanasiasa ambao wana wake ambao sio wao kwa kufundisha somo la mkristo na uchaguzi mkuu watu tukaelimika na mengi yanayofanana na hayo.sasa leo ubaya upo wapi kwa mtumishi huyu wa Mungu kupangua udhalimu unaopangwa na serikali ya ccm kuhusu katiba mpya kosa lipo wapi yeye ana haki kuchangia kama wananchi wengi wanavyochangia.cha ajabu hapa akichangia kakobe sumu lakini akichangia pengo na wengine wapo sawa.kwani sio watumishi wa Mungu wao kama ilivyo kwa mtumishi wa Mungu kakobe kwa Mungu wake.achieni mambo yenu mmesoma lakini hamjaelimika
 
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.

Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.



Wewe umefanikiwa kwa lipi? Majungu au kwa kufuatilia wanaume wenzio? Tumia akili kufikiri sio ------

Badala ya kuongelea masuala ya muhimu unawafuatilia tu watu makalioni,maisha aliyonayo Kakobe kqenu hamuqezi kuyaishi hata alivyo navyo wewe huna unasema ni mtu wa kufeli

Kabla ya kumsema mtu jiangalie una nini wewe kati kati acha kuwa na akili za kizembe
 
Last edited by a moderator:
yeye kama mwanaharakati wa dini kwa nini asitumie forum yake ya dini kumshauri rais anakwenda majukwaani kujumuika na wanasiasa.

Kama mawazo,malengo,mbinu na mikakati inafanana ya nini ajitenge??. Rais Ana watu wengi wa kuwasikiliza hivyo kuungana na vyama vya upinzani sioni tatizo hapo.
Kama ulikuwepo au ulipata fursa ya kumsikiliza alisema ameungana kwenye mkutano ule kwakua ni wa watanzania wenye nia njema ya kupinga muswada usisainiwe kwani unamapungufu mengi. Kwa kusisitiza aliweka bayana kwmb amechelewa kufika kwani alijua ni vyama vya upinzani pekee kumbe haikuwa hivyo. wengine ni Shura ya Maimamu,TEC nk.
Sasa wewe hayo sijui unayatoa wapi,vinginevyo utwambie una lako jambo.
 
Kama mawazo,malengo,mbinu na mikakati inafanana ya nini ajitenge??. Rais Ana watu wengi wa kuwasikiliza hivyo kuungana na vyama vya upinzani sioni tatizo hapo.
Kama ulikuwepo au ulipata fursa ya kumsikiliza alisema ameungana kwenye mkutano ule kwakua ni wa watanzania wenye nia njema ya kupinga muswada usisainiwe kwani unamapungufu mengi. Kwa kusisitiza aliweka bayana kwmb amechelewa kufika kwani alijua ni vyama vya upinzani pekee kumbe haikuwa hivyo. wengine ni Shura ya Maimamu,TEC nk.
Sasa wewe hayo sijui unayatoa wapi,vinginevyo utwambie una lako jambo.

kweli kabisa ana lake jambo huyu
 
It is when watawala starts to attack clericsbecause they know they have big ushawishi.
 
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.

Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
Mimi tangu nimjue Kakobe sijawahi kuona amefeli ktk mipango yake ila wale walioshindana naye ndio walioferi...mfano pale ambapo serikali iliposhindwa kulifuta kanisa la FGBF pamoja na kutangaza hadharani kwamba wangefanya hivyo mwaka 1999...pia umeme kushindwa kupita mbele ya kanisa hilo pamoja na kwamba serikali ilipitisha nyaya kwa mabavu na mpk leo wanaona aibu kuziondoa na km zingekuwa chinichini watu wangeanikia nguo(nenda ukamuulize Badra Masood na Tanesco watakuelezea vizuri)..hayo ni baadhi tu ya mambo machache ambayo Kakobe ameyasimamia na yamefanikiwa..kuhusu Mrema..ikiwa wanadamu walimkataa Mungu hasiwe mfalme wao na wakamtaka Sauli ndo awatawale pamoja na uwezo aliokuwa nao hakuwalazimisha bali aliwapa kile walichokihitaji...Km Mrema hakuwa raisi km Kakobe alivyosema si ajabu..ajabu ni kwamba Mungu ameweka moto na Mbingu lakini watu wanachaguwa kwenda motoni kwa hiari yao na bado Mungu hakulazimishi japo hachoki kutukumbusha kupitia watumishi wake
 
Enyi wanadam jichungeni ndimi zenu kuwanena mabaya wa2mishi wa Mungu..hata kama kunaanalokosea sio jukumu lenu kumnyoshea vidole muachieni aliye mwita atamuhukumu Mwenyew.Mungu ana namna yake ya kudeal n watu wake ebu tumwachie Mwenyewe.Tukumbuke kilichowapata Miriamu na Haruni walipomnena mtumishi wa Mungu Musa,hasira ya Mungu iliwaka juu yao wakapata ukoma.HESABU 12:1-10.Naomba usome hapa itakusaidia kutokumsaidia Mungu kazi
 
Askofu kakobe,hana kosa yeye amteuliwa na Mungu kufundisha haki na kuitetea.nyie mnaompinga hamjui hata historia za mitume na manabii walio kuwa wanaharakati.tatizo ccm imeisha wapumbaza sana! Watumishi wa mungu kabisa ya kuonyesha njia sahihi kwa jamii zao ktk nyanja zote,kijamii,kiroho,kisiasa na kiuchumi.so kama hamuelewi kaeni kimya tu.
 
Back
Top Bottom