Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmndenyi.....................[TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]Warumi[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]12[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Kwa kuwa wote waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na wote waliokosa, wenye sheria, watahukumiwa kwa sheria. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
naona kakobe amegonga kwenye ikulu ya magamba alipompa bwana maendeleo mtihani na kumpa alternative 2,kusaini mswaada =kufeli kwa bwana maendeleo. Kutosaini=kufaulu kwa bwana maendeleo. Kwa kuwa inasemekana bwana maendeleo ni gentle material,tayari jibu linajulikana i.e amefeli tayari maana mtu anafeli mtihani kwenye maandalizi na si siku ya mtihani
Kakobe hajawahi na hatakuja kuwa mtu wa Mungu. yeye yupo kimaslahi zaidi. watu wakiingia na gold kanisani kwake anawapora
jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.
kwa hiyo tatizo lako ni kwa nini alijumuika na wanasiasa au kwa nini alitoa maoni yake akiwa jukwaa moja na wanasiasa? mbona watumishi wa Mungu kama D.Tutu Afrika kusini ametoa mchango mkubwa katika ukombozi wa taifa hilo?,vipi Martin luther si alikuwa mtumishi wa Mungu na mwanaharakati?
jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.
mmndenyi.....................
adhabu ya watu kama kakobe yaja yeye yupo kwenye kundi gani kati ya hawa wakosefu wawili.
Kakobe ni mtu kama wengine, mpeni uhuru wa kutoa mawazo yake
[TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]Ezra
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]7
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]26
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Na kila mtu asiyekubali kuitenda sheria ya Mungu wako, na sheria ya mfalme, na apatilizwe hukumu kwa bidii, kwamba ni kuuawa, au kwamba ni kuhamishwa, au kuondolewa mali yake, au kufungwa.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.
Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.
Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
Kwani unamfundisha namna ya kufanya kazi? Raia yeyote ikiwa ni pamoja na watumishi wa Mungu anasehemu katika siasa,kwani athari za siasa(mfano mnapochagua kiongozi mbaya) huwa kwa kila mtu bila kujali ni raia wa kawaida au Watumishi wa Mungu.Ingekuwa mbaya labda angeamua kuacha hiyo kazi ya Mungu na kuhamia katika siasa moja kwa moja.Tangu zamani(za biblia na Qurani) watumishi wa Mungu walikuwa na mchango mkubwa katika siasa.jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.