Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Kakobe alionekana mkutano wa jangwani ulioitishwa na vyama vya siasa akihutubia.Swali alienda na gari ya kanisa au binafsi? Maana ana kesi aliyoshitakiwa ya kutumia mali za kanisa kisiasa kuzunguka nazo wakati wa kumpigia kampeni za uraisi Augustino Lyatonga Mrema miaka ile.

Ni muhimu kujua jibu la swali hili kujua kama mali za kanisa hazijatumika ndivyo sivyo.


Kamuulize mkeo, hili ni jukwa la Great Thinkers with Great Ideas we unatuletea nyuzi za kimbea mbea.......
 
Kakobe ni kiongozi wa dini mwenye uthubutu wa kutetea wananchi....!
 
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.

Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.

Da nafikiri mnaomchukia kakobe mlikuwa mnasubiri kwa hamu sana kupata nafasi ya kusema chochote, aisee angalau sasa muandike andike maana mmemkosa siku nyingi.
 
jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.
Kakobe ni mtumishi wa Mungu anaongozwa na neno la Mungu si misemo kama huo wako,biblia inasema hamwezi kuwatumikia mabwana wawili pesa(mali) na Mungu na si siasa na Mungu.
 
Kakobe ni mtumishi wa Mungu anaongozwa na neno la Mungu si misemo kama huo wako,biblia inasema hamwezi kuwatumikia mabwana wawili pesa(mali) na Mungu na si siasa na Mungu.

Kama Kakobe ni mtu wa Mungu, mbona anachanganya ya Kaisari na ya Mungu?
 
Tanzania we still have a long way to go, kwa mawazo kama haya ya mleta uzi Mungu atujalie.

Yan wewe badala ya kujadil maudhui ya mkutano ule na katiba kwa mustakabal wa Taifa unaongea kuhusu gar la kakobe? Ni dhahir kuwa hata sadaka hutoi kaz kelele tu.
 
Kakobe hajawahi na hatakuja kuwa mtu wa Mungu. yeye yupo kimaslahi zaidi. watu wakiingia na gold kanisani kwake anawapora
 
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.

Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.

naona kakobe amegonga kwenye ikulu ya magamba alipompa bwana maendeleo mtihani na kumpa alternative 2,kusaini mswaada =kufeli kwa bwana maendeleo. Kutosaini=kufaulu kwa bwana maendeleo. Kwa kuwa inasemekana bwana maendeleo ni gentle material,tayari jibu linajulikana i.e amefeli tayari maana mtu anafeli mtihani kwenye maandalizi na si siku ya mtihani
 
Utaifa kwanza wakati anaanzisha kanisa ulitoa mchango? Anzisha na wewe.
 
Kakobe ni opportunist

Nani ambaye si opportunist?

The fact that he has been able to fool and squeeze a good number of people proves that he is smart, and those who can fool many people and use them, always make good politicians. So by definition you should call him Politician, not opportunist.
 
Kakobe hana kosa ametumia haki yake kutoa mawazo yake kwani waliokuja jangwani wote ni wanasiasa? Ameshauri vizuri tu jeikei kwamba asisaini huo muswada maana akisaini watanzania watajua kwamba hakuwa na nia ya dhati katika kupata katiba mpya.
 
Kama Kakobe ni mtu wa Mungu, mbona anachanganya ya Kaisari na ya Mungu?

Ukitaka kujenga hoja ya neno la Mungu lazima ulijue neno kwanza unacho zungumzia ni pale Wayahudi walipotaka kujua kama ni halali kulipa kodi kwa Kaisari ama la ndo wakaambiwa wampe Kaisari kodi yake na kile wanatakiwa kutoa kwa Mungu watoe mfano sadaka nk.na siyo unachotaka kutuaminisha wewe.
 
hawa vijana wa buku saba na point zao nyepesi nyepesi sio wa kujibiwa, mbona yule imamu hamjamsema? harafu kakobe sio saizi yenu. watu wapo kimaslahi ya nchi na sio propoganda za hela za kula. buku saba nyoie wote joined date 2013
 
[TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]Warumi[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]12[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Kwa kuwa wote waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na wote waliokosa, wenye sheria, watahukumiwa kwa sheria. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.

Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
 
Kakobe ni mtumishi wa Mungu anaongozwa na neno la Mungu si misemo kama huo wako,biblia inasema hamwezi kuwatumikia mabwana wawili pesa(mali) na Mungu na si siasa na Mungu.

ulishaona wapi mtu mchawi na mwenyekutumia nguvu za giza anakuwa mtu wa mungu au umeamua kujifariji kiaina na kudanganya watu,
kakobe anapongozwa na nguvu za giza na mungu hapendi hayo mambo sasa uhusiano wao uko wapi.
 
Back
Top Bottom