Niambieni
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 625
- 170
Kama Kakobe ni mtu wa Mungu, mbona anachanganya ya Kaisari na ya Mungu?
Kakobe ni mwana mazingaombwe, hana lolote ni anajua mazingaombwe. Kwani wanamazingaombwe wengi si wamejiingiza kuwa maaskofu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Kakobe ni mtu wa Mungu, mbona anachanganya ya Kaisari na ya Mungu?
Kama Kakobe ni mtu wa Mungu, mbona anachanganya ya Kaisari na ya Mungu?
Kakobe ni opportunist
Kwani Kakobe kakosa nini kumshauri rais juu ya katiba? sini raia wa Tanzania kama wengine? mbona wengi tu wanashauri?
Kakobe ni mwana mazingaombwe, hana lolote ni anajua mazingaombwe. Kwani wanamazingaombwe wengi si wamejiingiza kuwa maaskofu.
Uko sahihi sana...jamaa ana uchu na pesa...na anatafuta mavumba kwa nguvu zote!!! maana hata dini ni mwamvuli wake tu wa kujificha...na ndio maana waumini walikuwa hawaavai madhahabu kanisani kwake wanaogopa watachangia kanisa bila kupenda!
sasa hivi karudi kwenye siasa kwanini? anatafuta pesa maana siasa ni pesa!!!
BAK huwa nakupa respect siku zote,
lakini hili la kusema viongozi wa dini waanze kusimama
kwenye majukwa ya siasa siwezi kukubaliana na wewe hata kwa ncha ya upanga;
Kama wanatumia maneno ya Mungu wawahubirie watu wao kutenganisha mchele na pumba
lakini kwenda kwenye majukwaa ya siasa kwangu ni hapana, na once ningekuwa muumini wake
ningehama kanisa lake mara moja kwa kuwa haelewi hata anachokifanya. Kuweka Bibilia kando
na kuanza kufundisha katiba ya chama?????????
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari
kama hujui mambo bora ukae kimya...ni sawasawa na kutaka mikate na chapati vipatikane counter ya Bar...ameongea siasa akatumia jukwaa la siasa..kanisani anahubiri biblia...kukutana naye kwani Raisi atakutana na wangapi!!?..km kuna mahara pa kuwasilisha maoni kwa pamoja kwa nn hasifanye hivyo!!?..Amekosea kumashauri kupitia majukwaa ya kisiasa, kama anajiona ananafasi ktk jamii angemshauri yeye kama yeye kwa kuomba kuonana nae au kupitia madhabahu ya kanisa lake
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.
Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari
Kakobe alionekana mkutano wa jangwani ulioitishwa na vyama vya siasa akihutubia.Swali alienda na gari ya kanisa au binafsi? Maana ana kesi aliyoshitakiwa ya kutumia mali za kanisa kisiasa kuzunguka nazo wakati wa kumpigia kampeni za uraisi Augustino Lyatonga Mrema miaka ile.
Ni muhimu kujua jibu la swali hili kujua kama mali za kanisa hazijatumika ndivyo sivyo.
Kakobe alionekana mkutano wa jangwani ulioitishwa na vyama vya siasa akihutubia.Swali alienda na gari ya kanisa au binafsi? Maana ana kesi aliyoshitakiwa ya kutumia mali za kanisa kisiasa kuzunguka nazo wakati wa kumpigia kampeni za uraisi Augustino Lyatonga Mrema miaka ile.
Ni muhimu kujua jibu la swali hili kujua kama mali za kanisa hazijatumika ndivyo sivyo.