VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Katika hali ambayo sikutarajia nimemsikia Lipumkba akitamka Peopleees, neno linalotumiwa na CHADEMA. It is a good progress
Ye ni raia ka watu wengine bana...
Ni kakobe huyu huyu mwana Nccr au mwingine? Mnakumbika alivyopita kumnadi mgombea wa Urais wa mwaka 1995 Mh.Lyatonga Mrema kwa tiketi ya NCCR?