Waache kazi yakuelekeza watu mambo ya ufalme wa Mungu waamue kufanya tu siasa.
Sina wasiwasi na Mbowe mwenye ugomvi na Dk. Slaa anayetumia mkono wa chuma kujiimarisha ndani ya CHADEMA. Sina hofu na Mbatia a.k.a "Kura za Maruhani," na Lipumba a.k.a "Msinipigie kura ya ndiyo, zangu mpeni Kikwete" (2010). CHADEMA INASAMBARATISHWA KISAYANSI.
Huwezi kunielewa iwapo upeo wako ni kiwango cha ushabiki na matumaini hewa.
Kakobe ni mwana Nccr wa siku nyingi tangu wakati wa Lyatonga Mrema.Sasa kwa sisi waelewa wala hatushangai kwani alihangaika sana kumnadi Mrema kipindi kile akaambulia patupu.Pia ana hasira ya kupitishwa kwa umeme wenye voltage kubwa ingawa aliwadanganya waumini wake eti umeme hautawaka napo kabaki kushangaa tu kwani umeme unapita kama kawa.Atahangaika sana lakini hatafanikiwa.Aingie akagombee jimbo aone nguvu a kura zilivyo.
Waache kazi yakuelekeza watu mambo ya ufalme wa Mungu waamue kufanya tu siasa.
Waache kazi yakuelekeza watu mambo ya ufalme wa Mungu waamue kufanya tu siasa.
Jamani Kakobe ni mwana NCCR kama walivyo wanachama wengi wala hana jipya.Angekwenda mzee wa Upako ningepatwa na mshangao na kuamini kinachoendelea hapo kwani mzee wa upako hajawahio kushabikia chama chochote.Lakini Kakobe na Mbatia ni wamoja sana klupitia hama chao vcha Nccr.
Waache kazi yakuelekeza watu mambo ya ufalme wa Mungu waamue kufanya tu siasa.
Wewe ulikuwepo?? Na je hiki ulichoandika ndicho ulichosikia? Naona una presha tulia ndugu tujadili kwa faida ya watz wote au kuwa mpole dawa inakuingia...Ujadiri na nani wakati hujasikia vizuri alichoongea ? nenda jangwani updates kuna kila kitu
Naona akili ndogo kuongoza akili kubwa ametoa trh rasmi ya maandamano nchi nzima.
Katika hali isiyotarajiwa, askofu Kakobe ametia timu kwenye mkutano wa wapinzani juu ya katiba mpya. Akiwa anaingia ilibidi Lipumba asitishe hotuba ghafla akisubiri raia wamalize kushangilia. CCM kwisha
Jamani Kakobe ni mwana NCCR kama walivyo wanachama wengi wala hana jipya.Angekwenda mzee wa Upako ningepatwa na mshangao na kuamini kinachoendelea hapo kwani mzee wa upako hajawahio kushabikia chama chochote.Lakini Kakobe na Mbatia ni wamoja sana klupitia hama chao vcha Nccr.
Sina wasiwasi na Mbowe mwenye ugomvi na Dk. Slaa anayetumia mkono wa chuma kujiimarisha ndani ya CHADEMA. Sina hofu na Mbatia a.k.a "Kura za Maruhani," na Lipumba a.k.a "Msinipigie kura ya ndiyo, zangu mpeni Kikwete" (2010). CHADEMA INASAMBARATISHWA KISAYANSI.
Huwezi kunielewa iwapo upeo wako ni kiwango cha ushabiki na matumaini hewa.
Katika hali isiyotarajiwa, askofu Kakobe ametia timu kwenye mkutano wa wapinzani juu ya katiba mpya. Akiwa anaingia ilibidi Lipumba asitishe hotuba ghafla akisubiri raia wamalize kushangilia. CCM kwisha