Mapambano ya kudai katiba mpya ni mapambano kudai haki, uhuru na demokrasia.
Demokrasia ni kuwa na utawala unaowajibika kwa wananchi. Siyo utawala unaowajibika kwa watawala.
Kwenye demokrasia:
1. tozo za miamala ya simu zisingekuwapo,
2. bambikizaji za kesi zisingekuwapo,
3. polisi wasingejikweza kiasi cha kujengeka kwa chuki kubwa iliyopo baina yao na wananchi,
4. Waziri asinge thubutu kuja na habari za watu kuhamia Burundi,
5. madhila ya gonjwa la Corona yangekuwa jukumu ya serikali na si mzigo kwa wananchi
6. Tusingekuwa na rundo la vigogo wasiolipa kodi,
7. nk.
Ni wazi kuwa hayupo mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuyapinga au hata kutokuwa sehemu ya jitihada hizi.
Wenye maslahi na mfumo uliopo hatuna haja ya kupoteza nao muda kujaribu kuwaelimisha. Hao ndiyo walio kizingiti pekee.
Kwa hakika tunatatizika kwenye organization. Yaani uongozi wa mapambano kumalizia tokea tulipo salama. Chadema wanayo nafasi hii takatifu ya kutoa uongozi unaohitajika kufanikisha hili.
Katika hatua hizi za mwisho ilitosha kuwaunganisha washirika wengine kama ACT, NCCR na wanaoweza kuwa tayari. Tujikite zaidi kwenye kuhamasisha wanachama wetu kutoa uongozi unaohitajika kwenye jitihada hizi.
Ukweli ni lazima uelezwe wazi wazi. Hii vita haiwezi kuwa rahisi. Kutakuwa na machungu. Kuna watakaokamatwa, kuna watakaoteswa, kuna watakao fungwa, kuna watakao kufa, nk. Ni majukumu ya washirika kuona ya kufanya kuhusu haya.
Pamoja na yote, hatutatumia nguvu ila wingi wetu na utayari wetu wa kuyajaza magereza yao ikibidi, vinatosha sana.
Hamasa za machungu (sober) kama hizi zitatufaa sana kama wapambanaji wenye kuhimiza amani kama msingi wa maelewano.
Apumzike kwa amani brigedia Chefe Ali.
Ifahamike halipo kosa kisheria katika kudai haki, hii kama ilivyo kwa mujibu wa katiba.
Shime waungwana hatuko mbali, na ushindi ni dhahiri.
Demokrasia ni kuwa na utawala unaowajibika kwa wananchi. Siyo utawala unaowajibika kwa watawala.
Kwenye demokrasia:
1. tozo za miamala ya simu zisingekuwapo,
2. bambikizaji za kesi zisingekuwapo,
3. polisi wasingejikweza kiasi cha kujengeka kwa chuki kubwa iliyopo baina yao na wananchi,
4. Waziri asinge thubutu kuja na habari za watu kuhamia Burundi,
5. madhila ya gonjwa la Corona yangekuwa jukumu ya serikali na si mzigo kwa wananchi
6. Tusingekuwa na rundo la vigogo wasiolipa kodi,
7. nk.
Ni wazi kuwa hayupo mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuyapinga au hata kutokuwa sehemu ya jitihada hizi.
Wenye maslahi na mfumo uliopo hatuna haja ya kupoteza nao muda kujaribu kuwaelimisha. Hao ndiyo walio kizingiti pekee.
Kwa hakika tunatatizika kwenye organization. Yaani uongozi wa mapambano kumalizia tokea tulipo salama. Chadema wanayo nafasi hii takatifu ya kutoa uongozi unaohitajika kufanikisha hili.
Katika hatua hizi za mwisho ilitosha kuwaunganisha washirika wengine kama ACT, NCCR na wanaoweza kuwa tayari. Tujikite zaidi kwenye kuhamasisha wanachama wetu kutoa uongozi unaohitajika kwenye jitihada hizi.
Ukweli ni lazima uelezwe wazi wazi. Hii vita haiwezi kuwa rahisi. Kutakuwa na machungu. Kuna watakaokamatwa, kuna watakaoteswa, kuna watakao fungwa, kuna watakao kufa, nk. Ni majukumu ya washirika kuona ya kufanya kuhusu haya.
Pamoja na yote, hatutatumia nguvu ila wingi wetu na utayari wetu wa kuyajaza magereza yao ikibidi, vinatosha sana.
Hamasa za machungu (sober) kama hizi zitatufaa sana kama wapambanaji wenye kuhimiza amani kama msingi wa maelewano.
Apumzike kwa amani brigedia Chefe Ali.
Ifahamike halipo kosa kisheria katika kudai haki, hii kama ilivyo kwa mujibu wa katiba.
Shime waungwana hatuko mbali, na ushindi ni dhahiri.