Katiba Mpya: Mapambano yako katika Hatua za Mwisho

Katiba Mpya: Mapambano yako katika Hatua za Mwisho

🤣🤣🤣🤣, mngekua mshachukua nchi mapema sana, kiufupi ni kwamba hamna anaewapenda ndo maaana mnabaki kufungua spaces online mkiita maandamano mnabaki wenyewe! nani mwenye akili timamu akaunge maslahi ya mwenyekiti wa milele

IMG_20210721_112817_344.jpg
 
Mzee wa mashairi na kurudia rudia maandishi, endelea! But hamna katiba mpya soon na msilete pua zenu kwenye uchaguzi 2024 na 2025, maana mlishasema hamtoshiriki bila katiba mpya.
IMG_20210905_124828_276.jpg
 
Tatizo woga ndio mana nawaambia hamko tayari bila damu nyingi hiyo katiba mtaishia kuiimba tuu
Hii ni TANZANIA tunasema Kwa uthabiti na wanafanya tutakavyo. Silalamiki tena, SIOGOPI tena, maana kumwogopa mwanadamu ni dhambi mbele za Mungu.

Usidharau WHISTLE BLOWERS, Kwa taarifa Yako watu zaidi ya ml 50 kelele zao hata kama ni ndani ya vyumba vyao, inatosha kuwafanya viongozi wakose USINGIZI, MWOVU afumbapo macho huona maluweluwe ndomana hutumia POMBE Kali na kuvuta mioshi mbalimbali. Haezi lala vzr.
 
Lianzisheni kwanza nikuone pale mbele kabisa na mimi niatapata morali wa kuingia
Njia ya vurugu haifai, TUTASEMA Kwa msisitizo, wakiziba masikio, Tunaingia MAGOTINI, Mungu husikia na kutenda. Amen
 
Chadema haiwatambui wale wabunge 19 kina mdee au covid 19. Kwamba CDM ina mbunge 1 kati ya 390 waliopo bungen. Ukiangalia upinzan ktk ujumla wake wana wabunge 13 tu ukitoa wale covid 19 kati ya wabunge 467 wa bunge la katiba ambao hujumuisha bunge la jamhuri 390 na baraza la wawakilishi ZANZIBAR lenye wajumbe 77 ambalo ndan yake kuna wapinzan 5 tu,..
Labda tuulizane hapa unaweza kuomba mechi wakati timu yako ina wachezaji 13 ikapambane na mpinzani anayeingiza wachezaji 454.
Jaman tuache utani tukumbuke ni kipi kilifanya UKAWA watie mpira kwapan na kukimbia mechi mwaka kwenye bunge la katiba.
Tusijifanye hatujui sheria ya kutunga KATIBA... hata tukisema itungwe mpya, JEE hatujui nani anatunga hiyo sheria mpya?
Katiba mpya Si MALI ya Wabunge wasiotokana na idhini ya wananchi, ni takwa la wananchi HAIKWEPEKI.
 
Haupo woga, tunasonga mbele tuko vizuri na tunakuwa vizuri zaidi kila siku ipitayo. Hatukuwahi kuwa hapa. Leo:

1. Tunajua vita vyetu ni vya amani
2. Tunajua wingi wetu na utayari wetu wa kuyajaza magereza yao ni silaha na ngao yetu kuu
3. Tunajua kuwa hakuna mtanzania mwenye akili timamu asiyetaka haki, usawa, uhuru na demokrasia
4. Tunajua kuwa hatuna haja ya kushughulika na kuelimisha watu tena kwani walio vizingiti ni kwa sababu ni wanufaika wa mfumo uliopo
5. Tunajua kuwa vyama kama NCCR, ACT na vingine vipo tunaweza kufungamanisha jitihada hizi
6. Tunajua kuwa wigo wa ushiriki ni shuruti upanuliwe kuwahusisha wote wenye maslahi na katiba mpya
7. Nk

Tunaweza kuimba nyimbo za hamasa zenye kumtia kiwewe adui na kutia hamasa ya kutosha.

Apumzike kwa amani brigedia Chefe Ali.
Niliposoma ....vita hii ni ya amani..
Nimesikitika sana. Hujui gharama za unachotafuta.
Kifup ni hivi njia ya kujadiliana imeshafeli.
Sikjui vita ya aman ipi unaongelea.
Kama huon sabab ya wewe kufa kwa ajiri ya watakaobak jua hakuna aliye tayar kwa hilo.
Tumaini pekee ninalokupatia ni ...MUDA. Utatoa majibu.
La tuendelew na soga kupata daily bread.
Usisahau kuwa Katiba ni kitendea kaz tu. Tatizo kubwa ni uzalendo, uaminifu na uadilifu wetu.
Hali mbaya au nzuri kwa sasa ni zao la hayo. Si Katiba per se.
 
Back
Top Bottom